Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all articles
Browse latest Browse all 32622

STAA ZARI THE BOSS LADY ADAI YEYE NA MAMA MKWE MAMBO SAFI TU

$
0
0
15306132_1301467143238055_8512285212535685120_n
Kuliwahi kuwepo uvumi kuwa Zari na mama yake Diamond Platnumz hawaelewani.

Tetesi hizo zilikuwa kubwa zaidi hivi karibuni baada ya Bi. Sandra kumchunia Zari kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa lakini akamtumia salamu ex wa mwanae, Wema Sepetu.
Lakini tangu Diamond na mama yake waende Pretoria, Afrika Kusini kwaajili ya kumwangalia Zari aliyejifungua Jumanne hii mtoto wa kiume, mambo yameonekana kuwa shwari.
Kwanza Diamond aliweka picha kwenye Instagram akiwa na wanawake hao wawili muhimu maisha mwake na mama yake kuirepost. Kwenye picha hiyo Diamond aliandika: Earlier today with my Favorite ladies, the ladies behind my success….. @kendrah_michael 💞 @zarithebosslady.”
Jumatano hii Zari ameweka picha na hiyo juu na kuandika: Snacking with mama in law @kendrah_michael what a laid back & chilled day.”
Ni furaha na amani tu kwenye familia ya Chibu kwa sasa.
zari-1


Viewing all articles
Browse latest Browse all 32622

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>