Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Browsing all 32622 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII MANDIJA NA DOMOKAYA WA MKUBALI ALI KIBA NA DIAMOND PLATNUMZ

Wasanii wa muziki waliowahi kufanya vizuri na wimbo ‘Nikupe Nini’, Mandojo na Domokaya wamemtaja AliKiba na Diamond kuwa ni miongoni mwa wasanii ambao wanatamani kufanya nao kazi.Wakizungumza na On...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAPA WITNESS ACHORA TATOO KIUNONI KWAKE ILI ASICHEPUKE

Mwanamuziki wa muziki wa kufoka foka nchini Tanzania, Witness, a.k.a Witness kibonge Mwepesi, ameelezea sababu ya kuchora tattoo yenye jina la mpenzi wake wa sasa Ochu Sheggy katika kiuno...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YADHAMINI TIMU YA MASHUA KWENYE MASHINDANO YA MASHUA AFRIKA

Kwa kutambua umuhimu wa michezo kwa vijana nchini, benki ya NMB imedhamini vijana watano kutoka nchini kwa ajili ya kwenda kushiriki mashindano ya mashua ya Afrika yanayotarajiwa kufanyika Luanda,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA ASITISHA UJENZI WA SEKONDARI NDANI YA SHULE MSINGI MABATINI

Majengo yaliyojengwa yatumiwe na shuleYA msingi Simike na sekondari itajengwa palipokuwa shule YA msingi simikeNi mgogoro na mvutano wa muda miaka 4 kati ya watalaam wa Jiji na madiwani Asema GN namba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JOHN MAGUFULI ALIVYOMPOKEA RAIS WA CONGP JOSEPH KABILA

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Joseph Kabila Kabange, amewasili hapa nchini leo October 03 2016 kwa ziara rasmi ya kiserikali ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HILI NDIO VAZI LA KIM KARDASHIAN ALILOVAA KWENYE SHOW YA HUKO UFARANSA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

STAA KIM KARDASHIAN ALIZWA NA MAJAMBAZI HUKO PARIS

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII TUNDA MAN AKIMBILIA KWENYE MZIKI WA SINGELI

Msanii wa muziki anayefanya vizuri na wimbo ‘Mama Kijacho’ Tunda Man ameuzungumzia muziki wa Singeli huku akihaidi siku moja ataingia studio na kuandaa wimbo wa Singeli.Akizungumza na Bongo5 Jumapili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII INSPEKTA HAROUN AREJEA RASMI KWA DULLY SYKES

Msanii mkongwe wa muziki, Inspekta Haroun baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Sharubu za Babu’ ulioandaliwa na Prince Dully Sykes, amerudi tena kwa producer huyo na kuandaa wimbo mpya ambao atauachia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DIAMOND PLATNUMZ ATUPA KIJEMBE HIKI CLOUDS TV

Katika kipindi cha D'wikend chat show cha clouds TV, ameulizwa " Meneja wako Sallam analalamikiwa yupo too hasrh and over protective to you. Unalizungumziaje?". Amejibu " Sallam yupo kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDIO MAISHA YA MREMBO VERA SIDIKA NA MPENZI WAKE WA SASA

  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAPA BILL NASS AMALIZA TOFAUTI ZAKE NA TID(+VIDEO)

Mtoto akikinyea kiganja cha mamaye, haimaanishi kuwa mama atakikata. Atachukua maji na sabuni na kukiosha, na maisha yataendelea – mapenzi tele!Ndicho hicho ambacho TID amekifanya kwa mwanae kimuziki,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIKI NDICHO ALICHOFANYA STAA DIAMOND PLATNUMZ KWENYE BIRTHDAY YAKE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII NUH MZIWANDA ANDIKA UJUMBEE HUU MTANDAONI KWA ALI KIBA (SOMA HAPA)

Msanii wa Bongo Fleva Nuh MziwandaKupitia Instagram ya Nuh Mziwanda ameamua kutoa utetezi wa post yake aliyoitoa kwa ajili ya kumsupport AliKiba kuhusiana na tuzo za Mtv Ema.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA MATATA KUTOKA KWA MREMBO AMBER LULU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUPERSTAA DIAMOND PLATNUMZ AFUNGUKA HAYA KUHUSU UGOMVI WA MAMA YAKE NA ZARI

Diamond platnumz amesema hakuna ugomvi ndani ya familia yao kati ya mama yake, dada yake na Zari ila mashabiki ndio wanaokuza kwa kuwa wana IQ ndogo ya kutafsiri kinachopostiwa mtandaoni na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VODACOM TANZANIA KUENDELEA NA GULIO LA SIMU-JANJA KWA BEI NAFUU KUPITIA...

Kampuni ya simu za mkononi chini, Vodacom Tanzania baada ya kufanya gulio mwisho wa wiki iliyopita ambapo simu imara ziliuzwa kwa bei nafuu kuwahi kutokea. Kampuni hiyo inaendelea kuwawezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI POLISI AFUKUZWA KAZI KWA KUOMBA RUSHWA ZANZIBAR ,TAZAMA VIDEO HAPA...

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani ambaye anaonekana akiomba rushwa kwenye mkanda wa video uliosambaa mitandaoni kuanzia mwishoni mwa wiki, ametimuliwa kazi na Jeshi la Polisi Zanzibar.Sajini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSICHANA AJIUA BAADA YA KUMFUMANIA MPENZI WAKE AKIWA NA MPENZI MWINGINE HUKO...

MKAZI wa mtaa wa Furaha Stoo Mbinga mjini mkoani Ruvuma Digna Chikuli (22) amefariki dunia baada ya kukutwa amejinyonga na mwili wake ukiwa unaning'inia chumbani kwake, katika dari ya nyumba aliyokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOA MACHO DAR AKAMATWA...MAARUFU "SCOPION" ANATUMIA KISU KUTOBOA WATU MACHO

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro amesema jeshi hilo limemkamata mtuhumiwa ‘Scopion’ aliyehusika katika matukio ya unyang’anyi wa kutumia silaha eneo la Buguruni...

View Article
Browsing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>