Chairman Juma Pinto, akisalimiana na Bingwa wa zamani wa Ngumi za kulipwa Duniani Nelson Azumah alipomtembelea ofisini kwake mjini Accra/Ghana ambako Chairman Pinto, alipitia akitokea Lagos wiki iliyopita.
![]() |
Chairman Juma Pinto, wiki iliyopita akirudisha rasmi fomu yake ya kugombea Uenyekiti wa Taswa kwa Ofisa wa Idara ya habari ya Taifa Bw. Hussein Idara ya maelezo Dar. |