Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

LE MAJANGAZ NABII YASPI AWAPONYA WAGONJWA KWA KUTUMIA PAFYUMU DAR

$
0
0
Nabii Yaspi akiibariki moja ya pafyumu hizo.
NABII wa Kanisa la The Revelation Church lililopo Buza-Kipera jijini Dar,Yaspi Paul Bendera, amefanya miujiza ya aina yake kwa kuwatibu watu kwa kutumia pafyumu ambapo watu wenye magonjwa mbalimbali walidai kupona kwa kupuliziwa pafyumu hizo.

MSANII MAARUFU WA MAREKANI LADY GAGA AMEPITILIZA UCHIZI SASA, ATEMBEA UCHI MTAANI, TAZAMA SINEMA YA BURE HAPA

$
0
0
Sio Bongo Tu Wasanii Wanatafuta Kiki Kwa nguvu Mbali Hata Huko Marekani Wasanii Wanatafuta kiki Kila siku ili Majina yao yabakie midomoni mwa Watu , 

Mwanamuziki Mkubwa Lady Gaga Ambae amezoeleka kwa kuwa na vituko vingi awapo jukwaani sasa amehamishia vituko mtaani baada ya kunaswa akitembea akiwa amevaa T-shirt tu bila nguo chini kitu kilichofanya watu kumshangaa kila anapopita....

MUHUDUMU AGOMA KUMUUZIA BIA MZEE WA MIAKA 58 KISA HANA KITAMBULISHO

$
0
0

 No ID No lager: 58-year-old Philip Lewis was refused four cans of lager at a garage in Somerset because he could not prove he was over 18

Baada ya kazi, Mr Philip Lewis (58) alifika kwenye Esso garage ambapo alikua na dhumuni la kununua bia ili kutoa uchovu, ila alishindwa kupata kinywaji chake baada ya muhudumu msaidizi kukataa kumpatia baada ya kushindwa kuonesha kitambulisho kitakacho kinchoonesha umri wake, japo Printer Philip alikua na ndevu na mwivi kichwani...



 Refusal: This Esso garage in Midsomer Norton, Somerset. refused to serve Philip Lewis with four cans of lager because Mr Lewis, 58, could not prove he is over 18

Kwa kuwa Mr Lewis hakuwa na kitambulisho chochote alilazimika kuondoka bila kitu.

"Sikuelewa kama nilikua na muonekano kama nakaribia miaka 25, ila ukweli nikwamba naingia miaka 59 mwezi sita, na huwa sitembei na leseni yangu ya udereva" Alisema Mr Lewis

"kulikua na foleni ndefu sana nyuma yangu, na mie nimetumia zaidi ya£2,000 kwa mwaka kwenye mafuta na magazeti, ila sikustaili nilichofanyiwa" Aliongezea Mr Lewis
The garage that likes to say no: A shop assistant at this Esso petrol station refused to serve 58-year-old Philip Lewis with lager because he had no photographic proof of age on him

Mkurugenzi wa garage hio amemuomba radhi Mr Lewis na wametoa ahadi ya kumpigia simu na kuzawadia Mr Lewis kutokana na usumbufu uliojitokeza..

MAAJABU: HUYU NDIYE BINADAMU MWENYE VIDOLE 12 MIGUUNI NA MIKONONI!

$
0
0
Vijay akionesha vidole vyake 12 vya mikono. 
Mchapaji wa India Vijay Singh anaweza kuchapa zaidi ya maneno 100 kwa dakika kwa kutumia vidole vyake 12. 
Lakini Vijay, ambaye pia ana vidole 12 vya miguuni kutokana na dosari yake hiyo ya kimaumbile, anasema hawezi kupata kazi katika nchi yake aliyozaliwa sababu waajiri wanataka tu wanawake wenye mvuto.
Sasa anapanga kuhamia Uingereza kwa lengo la kutafuta ajira baada ya kuwa amekataliwa maombi yake ya kazi zaidi ya 50.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 48, anayetokea Agra kaskazini mwa India, alisema: "Wanataka wanawake wenye mvuto, si wanaume wenye vidole 12."
Miguuni pia, Vijay ana vidole 12. 
Watu wenye dosari za kimaumbile wanaonekana wenye bahati nchini India na Vijay yuko kwenye hali nadra kutokana na vidole vyake vya ziada kufanya kazi kama kawaida. 
Watu wengi wenye hali hiyo wana vipande vichache vya tishu laini ambazo zinaweza kuondolewa na mara chache huwa na mfupa, lakini bila viungio.


Lakini licha ya kuwa na uwezo binafsi 'kwenye kompyuta' kutokana na zawadi yake, hajaweza bado kupata kazi na sasa anataka kusafiri kwenda Uingereza kwa matumaini kutakuwa na kitu fulanu cha kufanya, imeripotiwa. 

Mchapaji mwenye kasi zaidi duniani ni Michel Shestov. Anaweza kuchapa katika lugha 27, na kuweza kufikia kasi ya herufi 17 kwa sekunde! 
Shestov alisomea kuchapa katika jeshi la Urusi, ambako alikuwa akichapa kwa hadi saa nane kwa siku

BREAKING NEWS!! HALI SI SHWARI DAR...!!! BAADA YA MASHABIKI WA KIBA , KUMFUATA, DIAMOND BAADA YA DIAMOND PLATINUMS AMTUKANA ALI KIBA KWENYE MTANDAO... KUTAZAMA UGOMVI WA ALLY KIBA NA DIAMOND PLATNUMZ BONYEZA HAPA CHINI==>>>

DIAMOND AMPA MAKAVU LIVE WEMA SEPETU..ADAI ANAITAJI KUBADILIKA.KATANGAZA KUWANIA UBUNGE LAKINI BADO ANASHADADIA UGOMVI WA DIAMOND N

$
0
0


Dimond: Wema and Her Team Must change- Wema for MP...
This is Diamond comment on Wema regarding her 
motives to MJENGON

IDimond: Wema and Her Team Must change- Wema for MP... This is Diamond comment on Wema regarding her motives to MJENGONI Watch Video Here=>> https://youtu.be/CaHEjOHn8A0 During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best

ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.Watch Video Here=>> 

MSANII ALIYEDHIBITISHA KUPATA ZERO KWENYE MTIHANI WA FORM IV

$
0
0
Huwa ni mara chache sana utasikia staa au mtu maarufu kajitokeza au kakubali kuweka wazi kuhusu sehemu aliyowahi kuharibu au kufeli kwenye maisha.
Kwenye muziki wa bongofleva tunae Nuh Mziwanda ambaye pia ni boyfriend wa msanii Shilole…… Nuh ameongea ukweli wa moyoni kwenye exclusive interview na millardayo.com na kusema >>> ‘Kwenye maisha yangu ninachojutia ni nilivyofeli mtihani wangu wa form IV nilipata Zero kabisa na sikufanya mitihani kama mitatu, yote hiyo ilitokea sababu ya muziki’
‘Nilikua mtoto mwenye akili sana na Mama yangu alikua anategemea nitakuja kuwa mtu flani mwenye elimu yake kwenye familia yetu na sio Mwanamuziki, nyumbani kwetu tuko watano na mimi ndio wa mwisho na nilikua nina akili sana kuliko wote na kuanzia la kwanza mpaka la saba nilikua sishuki kwenye Wanafunzi kumi bora‘ – Nuh   


TAMASHA LA AKINA MAMA WANENE WAKIONYESHA MAVAZI..JIONEE PICHA ZAO HAPA


SUPER STAR DIAMOND PLATINUMZ SASA NI "HOTCAKE"...AWAPIGA STOP MASTAA WA NIGERIA!

$
0
0
Diamond Platnumz sasa ni ‘hotcake’ kiasi cha kuwafanya wasanii wengi wa Afrika kutamani kufanya naye collabo, lakini kwa uamuzi mpya alioupitisha wasanii wa Nigeria ambao hawajafanikiwa kufanya nae wataikosa nafasi hiyo. 
Platnumz ambaye Jumamosi iliyopita pamoja na msanii wa Afrika Kusini, Donald wameshoot video ya collabo yao mpya, amesema kwa sasa amefunga milango ya kupokea collabo za wasanii wa Nigeria. Hii inamaanisha zile collabo za wasanii wanaomuomba yeye afanye nao. 
“Sababu ya kusimamisha kwa sasa isiwe too much too much “ amesema Diamond kupitia 255 ya Clouds Fm. “ kwa sababu mwanzo tulikuwa tunafanya collabo na watu kwa sababu ya kutafuta tobo la kuingia Nigeria, 
 

WEMA SEPETU AKIWA MBELE YA KIOO AKIJITAZAMA NA KUJIPA MAKSI MWENYEWE KWA JINSI ALIVYOJAALIWA!

MUIGIZAJI INI EDO AKIFANYA YAKE BAHARINI!

VIDEO MZUNGU AJISAIDIA HADHARANI

MBUNGE MTARAJIWA NAYE ANAPIGA MAMBO FLANI...!

ZIARA YA KINANAMISUNGWI YAFANA

$
0
0



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Misungwi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Amani ikiwa muendelezo wa ziara za kukagua,kuhimiza na kusukuma utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM.
 Umati wa wakazi wa Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia kwenye uwanja wa Amani.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Misungwi ambapo aliwaambia hakuna namna CCM itaibuka na ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu tarehe 25, Oktoba mwaka huu.
 
 Wasanii wa kikundi cha upendo wakipiga ngoma ya Kisukuma kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kwenye kata yao ya Misasi wilayani Misungwi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI






DAKTARI AANIKA CHANZO CHA MASTAA KUWA WAGUMBA

$
0
0

Staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu. Akizungumzia madawa hayo pasipo

DOKTA Chale ambaye anaandika makala za afya katika gazeti ndugu la hili la Ijumaa, ameanika chanzo cha mastaa wengi kupata ugumba ambapo pamoja na vyanzo vingine, ameyataja madawa ya kuongeza maumbile ya mwili na ya kujichubua yanasababisha tatizo hilo.
kuyataja majina (yamezagaa mitaani), dokta Chale alisema baadhi ya madawa hayo yana kemikali ambazo hupenya hadi kwenye figo na kuzisababishia madhara ambapo moja kwa moja hawezi tena kupata mtoto.

Alisema amekuwa akisikia kila kukicha katika vyombo vya habari mastaa wakijieleza kuwa wamehangaika sana kupata watoto lakini imeshindikana pasipo kujua madawa hayo ndiyo chanzo hivyo ni vyema wakachukua tahadhari.
“Kwa wale ambao bado hawafikirii kuzaa ni vyema wakawa makini na madawa haya ya kuongeza maumbo yao. Yanaathiri figo na zikishaathirika mwanamke hawezi tena kupata ujauzito.
“Ni vyema wakawaona madaktari kwa ajili ya ushauri kabla hawajaanza kuyatumia maana baadhi ya dawa hizi zinaingizwa nchini bila kukaguliwa kama zinafaa kwa matumizi ya binadamu,” alisema Dokta Chale.
Miongoni mwa mastaa ambao wamesharipotiwa kuwa na tatizo la kukosa watoto kwa muda mrefu ni pamoja na mbunge mtarajiwa, Wema Sepetu ‘Madam,’ Judith Wambura ‘Jide,’ Rehema Chalamila ‘Ray C’ (pichani), Mainda Suka, Jacqueline Wolper na Jokate Mwegelo ‘Kidoti.’ 

WANAWAKE MASHUGHULI WA 5 WAREMBO NA WENYE MVUTO ZAIDI HAPA AFRIKA>

$
0
0
4. South Africa - Bonang Matheba
Most Stylish Media Personailty – SA Style Awards 2011, SA’s Coolest Female TV Star, Metro FM DJ..Global Brand Ambassador for Revlon Cosmetics

3. Uganda – Desire Luzinda


Ugandan Socialite and Singer
2. Tanzania – Vanessa Mdee
Two-time Kilimanjaro Music Awards winner; Collaboration of the Year – 2013 | R&B Song of the Year – 2014
1. Kenya – Huddah Monroe
Socialite

TEAM KIBA, HIZI NDIO PICHA4 ZA DIAMOND AKIWA STUDIO NA USHER RAYMOND WA MAREKANI

$
0
0
He revealed the secret when he was interviewed DOWNLOAD THE AUDIO HERE>>>>>
on Clouds TV DOWNLOAD THE AUDIO HERE>>>>>today that, he did a fantastic collabo with a popular American ARtist, listen to this song then let me know, Is it Usher, or Chris Brown. DOWNLOAD THE AUDIO HERE>>>>> During its two year run, the project will award approximately 100 major
reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. 

MWANAUME ALIYETUMIA ZAIDI YA PAUND 2000 KUJIBADILISHA KUFANANA NA MICHAEL JACKSON

$
0
0

Shabiki maarufu wa Michael Jackson ambaye alikuwa ni Mfalme wa Musiki wa Pop ambaye kwa sasa ni marehemu, ametumia zaidi ya pauni za Uingereza 2000 (sawana shilingi za Tanzania 5,590,621) kuchubua ngozi yake ili kufanana na mwanamuziki huyo.
Shabiki huyo Mbrazil, Antonia Gleidson Rodrigues, 32 ambaye amejitangaza kuwa mtu pekee anayefanana na Michael Jackson kuliko wote nchini Brazil, amefanyiwa upasuaji ili kufanana na Michael huku akitumia zaidi ya saa 4 kila siku kujifunza kucheza filamu na muziki kama Michael Jackson.


“Gleidson Jackson”, kama ambavyo hupenda kuitwa, alifanyiwa upasuaji mara ya kwanza miaka mitano iliyopita, ambapo alirekebishwa pua ili aweze kuimba sauti ya juu.
Baada ya upasuaji wa kwanza, mkazi huyo wa Fortalenza, Brazil aliendelea na mkakati wake wa kufanana na mwanamuziki huyo wa pop kwa kudungwa tindikali ili kuufanya uso wake kuwa mweupe, pamoja na sindano zilizofanya maeneo yanayo zunguka macho kubadilika.
Gliedson ambaye alikuwa mwalimu wa maigizo, alifanyiwa upasuajia ili kuziba nafasi zilizopo meno yake, kurekebisha kope kwa kuzichora kama tattoo. Sasa hivi shabiki huyo anakusanya pesa kwa kumuigiza Michael Jackson ili aweze kulipia upasuaji mwingine zaidi.


Anasema: “Kama nitamudu gharama, nafikiria kufanyia kazi magego iliniondokane na mikunjo ya mdomoni – nataka pia kuchonga nyusi. Ningependa pia paji langu la uso lichorwe (tattoo) na kuchonga pua yangu iwe nyembamba zaidi.”
Gleidson alivutiwa kuwa kama Michael Jackson alipokuwa na miaka 19 baada ya mwanafunzi mwenzake kumwambia anafanana na mkongwe WackoJacko. “Ilikuwa ngumu, nilitaniwa kwa siku 15. Mwishowe nikanasa – nikaambukizwa.”




Gleidson anasema kwa sasa alivyo na anavyojitahidi kuwa ni zawadi tosha anayoweza kumpa supastar Michael ambaye kwa sasa ni marehemu. “Katika matamasha yangu huwa nnasema hakuna kopi inayoweza kuwa nzuri kama origino, Pamoja na hayo nitajitahidi kuwa na kufikia vilele vya ubora – kama Michael”

MAKAVU LIVE: AMESHAKWAMBIA HAKUTAKI, KWA NINI UMNG’ANG’ANIE?

$
0
0

BAADA ya mizunguko ya wiki nzima, ni Jumamosi nyingine tulivu tunakutana waungwana kuweza kupata darasa huru la uhusiano.
Kwa wale tuliokuwa pamoja wiki iliyopita tuliweza kujifunza kuhusiana na jinsi ya kuishi katika ulimwengu huu ambao kila mtu amejeruhiwa na mapenzi.
Hakika uliweza kung’amua unapaswa kuishi vipi ili uweze kupata mwenza sahihi na usiendelee kujeruhiwa kila uchwao. Nawashukuru sana wote mlioguswa na mada ile na kuweza kunitumia ujumbe mfupi. Tuendelee kuwa pamoja.


Leo nakukaribisha nikiwa na mada mpya mezani. Kama inavyojieleza hapo ni ukweli usiopingika kwamba unapompenda mtu huwa unakuwa hauko tayari kumpoteza. Utafanya kila linalowezekana kuhakikisha anaendelea kuwa wako, huo ndiyo upendo wa kweli.

Wengi wetu tumeshakutana na hali hii. Hali ya kumpenda mtu hadi kupitiliza. Unapenda kumuona mpenzi wako ana furaha na amani muda wote. Unaishi naye kwa muda wa mwaka mmoja lakini unamzoea utadhani mmeishi naye kwa miaka kumi na mitano.

Hapo unasahau kabisa kwamba lolote linaweza kutokea wakati wowote. Akili yako haiwazi hata siku moja kwamba mwenzako anaweza kuvutiwa na mtu mwingine na akakuacha solemba.

Kamwe hufikirii kwamba mpenzi wako anaweza kuwa anakuongopea na kujifanya anakupenda kumbe akili yake haipo kwako. Ulimwengu wa sasa umebadilika. Inahitaji akili ya ziada kumjua mtu mwenye mapenzi ya dhati.

Mtu anaweza kukuoneshea machoni kuwa anakupenda kumbe moyoni ana lake jambo. Anaye ampendaye. Wewe anakuzuga tu. Anaweza kukuzuga kwa sababu ana masilahi fulani katika penzi lako.

Yawezekana anapata fedha, yawezekana anataka sifa kwamba ana mpenzi mzuri mbele ya jamii na mambo mengine mengi yanayofanana na hayo.

Mtu wa aina hiyo huwa hawezi kuguswa hata kidogo na maumivu yako.

Anachoangalia yeye ni nini anakitaka kutoka kwako. Atakapoona amekipata, ni rahisi tu kukwambia nenda zako. Ni rahisi sana kukwambia hakuhitaji.

Hana cha kupoteza, ameshakunyonya na kukudanganya vya kutosha. Kutokana na mazoea uliyojijengea, si rahisi kukubaliana na kauli ya kwamba hakutaki.

Nguvu ya upendo ndiyo itakayokuendesha. Unakuwa hujielewi wakati huo, unapambana kwelikweli kuhakikisha anaendelea kuwa wako. Utatafuta hadi umpate anayetibua penzi lako.

Bahati mbaya kumjua kwako pia hakusaidii kitu. Inafika wakati anakuambia umuache aendelee kufurahia penzi lake. Bado tu unakuwa huelewi kitu. Unageuka mtumwa na si mpenzi au baby mlivyokuwa mkiitana zamani.

Unafikia wakati eti unamsaka mtu ambaye yupo na mpenzi wako ili umuoneshe. Umueleze kwamba amekuibia. Bado inakuwa haisaidii,

anakudhalilisha tu. Anakuambia hana mpango na wewe, unaendelea kuteseka. Unajifungia ndani unalia usiku kucha. Unamlilia mtu ambaye hathamini hata chembe ya chozi lako.

Huo ni utumwa. Ikifikia hatua hiyo ni vyema ukaanza kukaa mbali na mtu huyo. Hujazaliwa naye. Mmekutana tu ukubwani. Utamsahau. Watu wanasahau maumivu ya kuwapoteza ndugu zao waliotangulia mbele za haki sembuse huyo mliyekutana ukubwani?

Jiweke naye mbali kwa kufanya mambo ambayo yatakufanya umsahau. Anza kujiwekea desturi ya kutafuta amani ya moyo katika sehemu za kujiliwaza. Kama ulikuwa huna utaratibu wa kutoka kama kwenda bichi au muvi, anza sasa.

Ni bora kumlilia mtu ambaye anatambua thamani ya pendo lako kuliko kuteseka na mtu ambaye hatambui mchango wako. Haijalishi mlikuwa na ahadi gani katika penzi lenu, kama ameamua kukuacha, achana naye.

Tena usikurupuke wala usidanganyike harakaharaka kuanzisha uhusiano mpya. Utaumia kwa mara nyingine.

Huku ukiinjoi maisha ya kuwa peke yako na marafiki wa kawaida, muombe Mungu akupe mke au mume mwema ambaye atathamini penzi lako. Ataheshimu hisia zako. Atakuwa nawe kwenye raha na shida. Siku zote maishani chagua maisha ya furaha. Kataa maisha ya kuteseka kwa mapenzi.
Tukutane wiki ijayo kwa mada nyingine nzuri.

VERA SIDIKA AONYESHA MTINDI YAKE

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>