Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

MENINAAH JIONEE MAMBO ALOMFANYIA JOE MAKINI


MSANII MAARUFU WA MAREKANI LADY GAGA AMEPITILIZA UCHIZI SASA, ATEMBEA UCHI MTAANI, TAZAMA SINEMA YA BURE HAPA

$
0
0
Sio Bongo Tu Wasanii Wanatafuta Kiki Kwa nguvu Mbali Hata Huko Marekani Wasanii Wanatafuta kiki Kila siku ili Majina yao yabakie midomoni mwa Watu , 

Mwanamuziki Mkubwa Lady Gaga Ambae amezoeleka kwa kuwa na vituko vingi awapo jukwaani sasa amehamishia vituko mtaani baada ya kunaswa akitembea akiwa amevaa T-shirt tu bila nguo chini kitu kilichofanya watu kumshangaa kila anapopita....

BIFU LA WEMA NA ZARI LAANZA TENA NI BAADA YA ZARI KUICHAMBA MIGUU YA WEMA. JIONEE HAPA

$
0
0


“Never lie, steal, cheat, or drink. But if you must lie, lie in the arms of the one you love. If you must steal, steal away from bad company. If you must cheat, cheat death. And if you must drink, drink in the moments that take your breath awayDuring its two year run, the project will award approximately
100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

AIBUUU...MAMA MTU MZIMA ALEWA POMBE NA KUFANYIWA VITENDO VYA AJABU...

$
0
0
This lady is married and she is a mother of two.yesterday she was spotted in a local pub having fun but then things got out of hand when she got drunk,she was dancing dirty and men took advantage of her and inserted a bottle beer to the red guava between her legs and she seemed to enjoy it when security men of the pub came to her rescue.

NE-YO KUFANYA MAKAMUZI KWENYE TUZO AMBAZO DIAMOND NA VANESSA MDEE WANAWANIA!

$
0
0

Ne-yo.
STAA kutoka nchini Marekani ambaye ni mwimbaji, mwandishi wa mashahiri, dansa na mwigizaji, Ne-yo ni mmoja mwa wasanii watakaotoa burudani katika utoaji Tuzo za Muziki za MTV Africa (MAMAs) huko nchini Afrika Kusini.

Taaarifa hiyo imethibitishwa na habari iliyowekwa katika akaunti ya Twitter ya MTV Africa ikieleza kuwa mkali huyo wa R&B tayari amethibitisha kupiga shoo katika tuzo hizo.


Tuzo hizo zinatarajiwa kutolewa Jumamosi ya Julai 18, 2015 huko KwaZulu-Natal, Afrika Kusini ambapo Tanzania inawakilishwa na wasanii wawili Vanessa Mdee na Diamond Platnumz.
Hawa ndiyo washiriki wetu katika tuzo hizo:

MSANII MENINA AONYESHA MAPAJA YAKE

LE MBEBES MKALI ZAIDI HAPA TOWN NANCY AMEDONDOSHA TENA PICHA HIZI TAMU

$
0
0
Nancy Drops another four photos... 











KIPANDE CHA VIDEO WIMBO MPYA WA ALI KIBA FT BELA


MADAM NI LEVEL ZA JUU JIONEE MTOKO ALIYOPENDEZA MANEO YA KATI SASA

$
0
0










During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.

ZIARA YA KINANA KATIKA JIMBO LA SUMVE WILAYANI KWIMBA

$
0
0
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo juu ya usindikaji wa alizeti kwenye kikundi cha ujasiriamali cha KIBUKU kilichopo kata ya Lyoma ,jimbo la Sumve wilaya ya Kwimba.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kata ya Lyoma mara baada ya kujionea maendeleo ya kikundi cha Ujasiriamali kinachojishughulisha na usindikaji wa alizeti.


 Wananchi wa Kata ya malya wakionyesha Bango kubwa lenye ujumbe kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana lenye madai ya kudhulumiwa viwanja ambavyo tangia walipie miaka mitatu sasa hawajapata viwanja.
Katibu Mkuu wa CCM alikuwa njiani kuelekea Nyambiti ndipo wananchi hao walimsimamisha barabarani na kutoa kero zao.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungunza na wakazi wa kata ya Malya ambao wanadai viwanja vyao walivyovilipia miaka mitatu iliyopita.
 Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Mganga Ndasa akiwasalimu wakazi wa kata ya Nyambiti ambao walijitokeza kwa wingi kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi ya CCM Kata.
Kata ya Nyambiti imetekeleza ilani ya uchaguzi kwa kiwango kiikubwa ,ina vijiji vitano na shule za msingi zimejengwa katika kila kijiji, ina zahanati katika kila kijiji, Maji yanapatikana kwa kuuzwa ndoo moja shilingi 20.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa ofisi ya CCM Kata ya Nyambiti.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano wa Jimbo la Sumve uliofanyika Nyambiti wilayani Kwimba.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa kwa ngoma za jadi katika kijiji cha Mwabilanda wilayani Kwimba .
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Pili Moshi  katika kijiji cha Mwabilanda ambapo Katibu Mkuu alizindua mradi wa maji kwa wananchi wa kijiji cha Mwabilanda,Kwimba.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha Mwabilanda wakati wa sherehe za kuzindua huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa kijiji hicho.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya maji Bi. Coretha Kulwa mkazi wa kijiji cha Mwabilanda mara baada ya kuzindua huduma ya maji safi na salama kwa wakazi wa kijiji hicho.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia sehemu ya kunyweshea maji mifugo katika kijiji cha Kishilili, ambapo Ng'ombe zaidi ya 800 hupata huduma ya maji safi na salama katika mradi ambao pia husaidia kaya 102 kupata maji safi na salama katika kisima kinachotumia mfumo wa jua (solar power)


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mwashilalage wakati wa kuona na kushiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji.Wengine kwenye picha ni Diwani wa kata ya Sumve Ndugu Gervas Kitwala(katikati) na Mwenyekiti wa Kijiji Mzee Joseph George.

Katibu Mkuu wa CCM yupo kwenye ziara mkoani Mwanza yenye lengo la kukagua,kuhimiza na kusukuma utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchanganya zege wakati wa ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mwashilalage.
 Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Mganga Ndasa akibeba zege wakati wa kushiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Mwashilalage.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wakazi wa Sumve wakati akiwasili kwenye eneo la mkutano Sumve wilayani Kwimba.
 Mkuu wa Wilaya ya Kwimba Mhe. Pili Moshi akiwasalimia wakazi wa Sumve waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM .
 Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Ndasa akiwasalimu wakazi wa Sumve waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Mbunge wa Jimbo la Sumve akiwahutubia wakazi wa Sumve ambapo alielezea mafanikio katika kipindi chake cha uongozi ikiwa na kuwa na shule 17 za sekondari  na nyumba za walimu zote zikiwa na umeme. Zahanati zote jimbo la Sumve zina Umeme lakini pia alizungumzia moja ya matatizo yanayowaumiza wananchi wake ni bei ya zao la Pamba kuwa chini.
 Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza Ndugu Miraji Mtaturu akihutubia wakazi wa Sumve kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kata ya Sumve ambapo aliwahakikishia ahadi za CCM zitatekelezwa.
 Vijana 20 kutoka Sumve wakionyesha kadi zao za Chadema kabla ya kuzikabidhi kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi za Chadema kutoka kwa vijana 20 waliojiunga na CCM na wanachama wapya zaidi ya 1520 walipewa kadi zao za CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Sumve.
Katika ziara yake kwenye jimbo la Sumve Katibu Mkuu wa CCM amepokea kadi 48 kutoka Chadema ikiwa 28 zilizorudishwa katika kijiji cha Goloma kata ya Mwadu.

 Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM ukiondoka Sumve kuelekea wilaya ya Magu.

SAHAU KUHUSU WEMA, WOLPER, MASOGANGE...KUTANA NA MDADA HUYU WA TZ MWENYE MVUTO MURUA MATATA!

$
0
0
Her name is Helen and she was a video vixen on one of the weusi video. She is one of the beautful girl i have ever seen. You can see some of her photos below
V

THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 26/6/2015 LIVE!!

$
0
0




.


.


.


.


.


.




.


.


.


.



.


.


.


.


.


.


.


.


.




.


.


.


.


.


.


.
.


.


.


.


.

MWANAMUZIKI CHIPUKIZI WA INJILI APIGA PICHA ZA AIBU KWA AJILI YA KUTAFUTA RIDHIKI....INASIKITISHA SANA ANGALIA MWENYEWE KWA MACHO YAKO..!

$
0
0

  

Hapa inadaiwa ni Guest kwa mujibu wa maelezo yake kwenye mtandao. 


Tangu mtandao huu uwe mstari wa mbela kupiga vita tabia mbaya kwa wasichana mbalimbali kuacha kupiga picha za aibu kwenye jamii na kutoa picha kadhaa kwenye mtanA
Hapa Natasha akiwa na nguo za heshima kwenye jamii.


Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho ni msichana ambae yuko karibu na Natasha anaeishi maeneo ya KAWE jijini Dar alisema kuwa picha hizo zimesambaa mitandao na mtu aliyezisambaza ni yeye mwenyewe ambapo ziko nyingine mbaya zaidi ambazo msichana huyo anaonekana kujipapasa sehemu zake nyeti kwa lengo la kuwatia mshawasha wanaume dhaifu.

 KUMRADHI KWA PICHA HII:Natasha akipiga picha za aibu makusudi ili kumtumia mwanaume yeyote atakaevutiwa nae ili amnunua.

INASIKITISHA LAKINI INAFUNDISHA PIA, KUTANA NA MTU HUYU ALIYEZALIWA KICHWA CHAKE KIKIWA MGONGONI

$
0
0
A man born with physical disabilities so severe his head is Upside-down has defied the odds to become an inspirational public speaker.

Claudio Vieira de Oliveira, 37, was born with his neck folded back on itself, as well as badly deformed legs and almost no use of his arms and hands. Doctors told his mother to stop feeding him as a newborn as they believed he had no chance of survival. But Claudio from Monte Santo, Brazil, has overcome his extreme disadvantages to graduate as an accountant and become a public speaker.

BREAKING NEWS.!! MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA

$
0
0
WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Mkuranga mkoani Pwani na kupora fedha kisha kumuua askari mmoja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafary Mohamed ameuthibitishia mtandao huu kutokea kwa tukio hilo na kwamba kwa sasa yupo njiani kuelekea eneo la tukio.

"Taarifa hizo nimezipata kuwa watu hao wanaodhaniwa kuwa majambazi kuvamia Benki ya NMB, Mkuranga na kupora fedha ambazo kiasi chake bado hakijafahamika kisha kumuua askari mmoja aliyekuwa nje ya uzio wa eneo hilo la benki ambaye hakuwa kazini ila walinzi wote wa benki wapo salama na silaha zao hazijachukiliwa. Kwa sasa nipo njiani kuelekea eneo la tukio kupata taarifa zaidi." Alisema Kamanda huyo.

LE MAJANGAZ DOKTA ALIPONASWA AKIJARIBU KUMSHUSHA INJINI MWANAFUNZI WA KIKE LIVE!!

$
0
0

Dokta Herman akitahayali baada ya tukio hilo.

Dokta mmoja aliyefahamika kwa jina la Herman amenaswa katika dispensari moja iliyopo Buguruni Kwamnyamani jijini Dar akijiandaa kumtoa mimba mwanafunzi.

Awali, kikosi kazi cha kufichua maovu cha Global Publishers (OFM), kilipewa malalamiko juu ya dispensari hiyo kuwa ni kinara wa mchezo huo mchafu wa kuwatoa mimba mabinti wadogo hususan wanafunzi wa shule za msingi. 
Siku aliyonaswa, ilikuwa majira ya jioni ambapo kaka wa mwanafunzi (jina tunalihifadhi) aliandaa mtego wa kumnasa daktari huyo baada ya kupata taarifa kutoka kwa rafiki wa mdogo wake kuhusu mchezo huo mchafu anaoufanya daktari huyo.

Kaka huyo aliwapigia simu makamanda wa OFM ambapo walitia timu sambamba na polisi kwenda kuweka ‘kambi’ katika dispensari hiyo kuhakikisha tukio zima linakuwa ‘recorded’.

Denti huyo akilia.
Kaka huyo alitanguliwa katika dispensari hiyo na kubana sehemu kumsubiri mdogo wake huyo afike ‘kutoa mimba’ huku makamanda wa OFM wakiwa wameseti mitambo yao maalum katika kila engo ya eneo hilo.ANGALIA PICHA ZAIDI>>>>>>>>

MACHANGUDOA WAMVAA NA KUMFANYIA MAMBO MACHAFU MZEE WA FARASI...!

$
0
0
 Staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ akiimba pamoja na madada hao.

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo.


 Tukio hilo lililoshobokewa na wanaume wakware, lilitokea wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Meeda, Sinza – Mori, Dar ambapo mkali huyo aliye Mkurugenzi wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ alikuwa akiporomosha shoo ya nguvu na kundi lake. 
Muziki ulipokolea wadada hao waliokuwa wamevalia nguo saresare walikwenda jukwaani na kuanza kucheza kabla ya baadaye kuanza kujiachia kihasarahasara.

Madada hao wakicheza kwa furaha.

 “Mh! Hawa wadada vipi? Mbona wanaleta mambo ya Kanga Moko hapa? Cheza gani ile ya aibu namna ile...hawa lazima ni machangu. Wamekosa wateja sasa wamekuja kumtega Choki, maana mambo yale kama siyo machangu utawaitaje?” alisikika dada mmoja akisema ukumbini humo. Lakini hali ilikuwa tofauti kwa wanaume wakware ambao kwao ilikuwa faraja kujionea mambo ya chumbani hadharani, kwani walikuwa wakiwashangilia. Hata hivyo, wakati wadada hao wakiendelea kufanya yao, Choki wa watu hakuwa na la kufanya, zaidi ya kuduwaa na kuwashangaa tu.

Madada hao wakilisakata rhumba pamoja na wapenzi wa bendi hiyo.

 Ili kuonyesha kuwa vichwani mwao hamnazo, wadada hao hawakuona haya kuachia maungo yao wazi, hata pale makufuli yalipobaki nje,  walionekana hawana habari kabisa. 

Ilifikia mahali, mmoja wao akaenda mbali zaidi baada ya kutaka kuvua nguo, hakupewa nafasi hiyo, mabaunsa walimbeba na kumtoa ili wastaarabu waendelee kuburudika na Wazee wa Kizigo.

PICHAZ! HATARI SANA...WASICHANA WA AFRIKA MASHARIKI WANATISHA KWA KUWA NA MVUTO!

$
0
0

Maneno hayo yamesemwa na msanii mashuhuri sana wa Nigeria, Davido pale alipokutana na picha za wagombea umiss wa mwaka 2013 pindi alipotembelea Tanzania akiwa katika kazi zake za kimziki.

Msanii huyo alidai kuwa alikuwa anafikiria kuwa ni Nigeria ndiyo inayongoza kwa wanawake warembo barani Afrika, lakini sasa hivi kagundua kumbe kuna eneo ambalo linastahili sifa hiyo ambalo ni Afrika ya Mashariki. Kweli kutembea kuona mengi!Davido aliongezea kuwa wanawake mvutia zaidi ni Watanzania na wale wenye asili ya Kiutu na Kitusi wa Burundi na Rwanda, aliendelea kufungka zaidi kwamba mpaka wanamtamanisha kuoa huku...


 
Alidai kuwa warembo wa maeneo hayo walivyo wazuri na wenye mvuto wa kimapenzi, utadhani hawakuzaliwa na binadamu wa kawaida!Jamaa kashikwa pabaya kweli kweli!

Watu wengi sana walikubaliana na maneno ya msanii Davido kwa maana ni dhahiri kuwa, ukifanya utafiti kuanzia kule kusini mwa Afrika mpaka kaskazini, magharibi mpaka mashariki, utajionea!

JINI KABULA KAHABA..ANA UKIMWI NA MENGINE MENGI...

$
0
0

UDAKU ...Kama upendi udaku Ishia hapa!!!.......
Muigizaji wa kike bongo movies JINI KABULA anayetumia jina la Kabulaflavour kwenye mtandao wa INSTAGRAM leo amefunguka hivi kuhusu wale wanaofuatilia maisha yake!!!Kipi sijasikia...Kabula kahaba..Kabula mlevi..Kabula mgomvi.
.Kabula ana ukimwi..na mengine mengi tu,naombeni mseme mapya nimechoka kusikia ya zamani na kama hamna mapya niacheni nipumzisheni nipumzike... Akaendelea nahii;


Ooooh mala nimefulia jamani naomba kuwaambia sijawahi kuwa Manji kwaiyo habari za kufulia sizijui wanaofulia ni wale ambao walishawahi kuwa matajiri sasa umeona wapi maskini naye kafulia..??? Hihihihihihi binadamu mnakazi sana nimemalizaaaa MY TAKE;
Mastaa wetu ni SHEEDAH!!!

PICHA ZA VIDEO VIXEN CORAZON KWAMBOKA KUTOKA KENYA ULIZOZIMISS ZIKO HAPA.

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live