Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

MCHNA ACHEZEA KICHAPO NA KUVULIWA NGUO ZOTE BAADA YA KUFUMANIWA


TAZAMA PICHA ZA WANAUME AMBAO ZARI AMETEMBEA NAO KABLA YA DIAMOND

HUYU KWELI AMEVAA CHOCHOTE HUKU CHINI??!!>>>HIVI USTAA NDIO UNAWAFANYA WAVAE HIVI?????

WANAWAKE WAPIGWE MARUFUKU KUVAA VIMINI

MREMBO AVUA NGUO NA KUTEMBEA MTUPU BAADA YA KUMFUMANIA MUMEWE NA MWANAMKE MWINGINE!

$
0
0
 Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine.Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu. Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori mwingine ndani ndipo alipopagawa.
“Alitoka usiku mzima akarudi saa moja asubuhi akamkuta bwana’ke yuko na mwanamke mwingine ndani, akaanzisha vurugu, akavua nguo na kubaki na kanga moja na kuanza kupita mtaani huku akisema nivue nisivue na watu wakawa wanamuitikia vua. 
Tatu Ikoko akiwa katika hali ya kuvurugwa baada ya kumfuma mumewe na hawara. “Baada ya hapo tu watu wazima na mashosti zake walimshika na kumsitiri, akaja bwana’ke akamchukua wakaenda nyumbani kwao,” kilisema chanzo hicho.

VIDEO UPASUAJI WA KUONGEZA MAKLIO UNAVYOFANYIKA ,SORY INATISHA SANA

PICHA AMBAZO ZINATAZAMWA SANA NA ULIMWENGU KWASASA KWENYE INTERNET,

$
0
0
Kim Kardashian ziadi ya kuutumia muda wake wa mapumziko akiwa nchini Thailand pia alitumia muda huo kufanya photo shooting akiwa beach.
Japokuwa picha kamili zilizokuwa zinapigwa bado hazijatoka lakini hizi za behind the scene tayari zimevutia watu wengi na zinaangaliwa sana kupitia internet.




MWANAMKE SHEPU BWANA,JIMAMA LATUPIA PICHA YA AJABU MTANDAONI,ONA HAPA


MREMBO ALIYEJICHORA TATOO ZA AJABU MWILINI MWAKE

MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO.

$
0
0
 
Wakati tukijionea matukio mbalimbali ya utovu wa nidhamu,umaskini na uvunjifu wa amani katika jamii,ni dhahiri msemo huo hapo juu wajidhihirisha. Mtoto akilelewa vizuri,hukua vizuri katika nyanja zote za maisha. Lakini asipolelewa vizuri ni chanzo cha vurugu katika jamii.

Mtoto huyu anachomeka misumari hii kwenye Yeboyebo ambapo baadae ni hatari kwa wenzake na hata yeye mwenyewe
Watoto hawa waonekana kuridhika na walilofanya lakini huku ni.kukosa malezi na tabia hii ikiachwa huzalisha wakorofi, wavutaji bangi,vibaka,majambazi na watu wengine hatari kwa jamii.
 

Kwa upande wa wasichana wasipopata malezi mazuri waweza kufanya hayo nilotaja na hata kujiingiza katika matumizi mabaya ya miili yao kama "machangudoa" tangu wadogo
 
(picha hii ya binti aliyekamatwa akijiuza huko Mwanza ni kwa hisani ya Global Publishers).

KINACHOMPONZA DIAMOND PLATINUMZ NI UTANZANIA WAKE

$
0
0
Diamond Platnumz. MOJA ya tatizo kubwa la kitaifa ambalo Watanzania tunalo ni kukosa uzalendo, sumu hiyo ilianza kututafuna taratibu na sasa inazidi kukua katika maeneo mengi. 
Ukitaka kuamini tazama jinsi wacheza soka wanavyocheza wakiwa timu za taifa, angalia baadhi ya viongozi wa siasa na serikalini wanavyofanya ufisadi kwenye mali za uma bila hata aibu. 
Msanii wa Kitanzania, Diamond Platnumz ni mmoja wa wanaowania Tuzo za MTV Mama 2015, inaeleweka wazi kuwa hakuna anayelazimishwa kumshabikia msanii fulani lakini kumekuwa na idadi kubwa ya Watanzania wanaojitokeza na kumpinga Diamond kimataifa huku wakimuunga mkono Davido wa Nigeria. 
Licha ya Diamond kufanya kazi na wasanii wa Nigeria lakini hakuna mashabiki wa Nigeria wanaojitokeza na kutangaza kimataifa kumuunga mkono Diamond katika tuzo hizo, hiyo inaonyesha jinsi ambavyo uzalendo wa Watanzania unavyoelekea shimoni.   


SUPER STAR WEMA SEPETU AMTAJA MTU ANAYEZUIA YEYE KUPATA UJAUZITO!

$
0
0

Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.
Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito limeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kulizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti.
Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.  

UMEWAHI KUMUONA MWANAMKE MZURI KULIKO WOTE DUNIANI

$
0
0

Huyu sio mwingine bali ni Malkia wa Saudi Arabian, aitwae Fatima Zohar-Godabari.

Mwanamke Mzuri Kuliko Wote Duniani Kwa Mwaka 2013



Fathima Kulsum Zohar Godabari ambaye awali alikuwa kwenye familia ya kifalme kwa sasa yeye ndie Malkia wa Saudi Arabia. 


BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAKE ZAIDI

MSANII AHISIWA NI MWANAUME TATA( SHOGA ) BAADA YA KUPIGA HIZI PICHA

$
0
0
Flavour shared the photo on instagram today. Er no, that is not his baby mama, Sandra. Pretty lady.
All these kinda photos he likes to shares online...:-)
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international
reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting tri

SUPER STAR WEMA SEPETU ANAHITAJI MSAADA WAKO WA HALI NA MALI

$
0
0
Uongozi ni utumishi. Naamini kama kijana nina uwezo wa kutumikia vijana wenzangu, mama zangu na nchi yangu kwa ujumla. Hili jukumu langu na letu sote.
Nimeamua kwa dhati kuwatumikia wananchi wa Singida na nchi yangu kwa ujumla endapo nitachaguliwa na chama changu.
Ili nifanikiwe katika hili nahitaji mchango wenu wa mawazo, hali na mali. Najua kila mmoja ana mchango wake katika kulifanikisha hili.
Naomba nitumie nafasi hii kuwaombeni wote michango yenu bila kujali itikadi, jinsia, umri au kigezo chochote. Mchango wako wowote utatusogeza karibu kufikia lengo letu.
Tafadhali kwa anayependa kuchangia anaweza kutuma mchango kupitia namba +255655106538 ambayo imesajiliwa kwa Jina la Ahmed Hashim Ngahemela... Asanteni sana...
Wemasepetu on instagram

THE MAGAZETI YA BONGO LEO SATUDAY /JUMAMOSI 20 /6/2015 LIVE!!

HIZI NDO NCHI KUMI TAJIRI BARANI AFRIKA...HONGERENI KENYA

$
0
0
Africa is home to some of the richest countries in the world, in part due to its oil-rich soil and human capital. With GDPs going up as high as $594.257 Billion.
According to statistics provided by the International Monetary Fund(IMF), these are currently, according to the figures provided at the time, the Top 10 richest countries in Africa Tunisia Ruins_of_CarthageThe Ruins of Carthage Tunisia

10. Tunisia: GDP – $49.122 billion
Oil, tourism and car manufacturing parts are the name of the game in Tunisia. It is one of the wealthiest countries in Africa so you won’t wander too far into its cities like Tunis before finding a pleasant spot to relax. The city is covered with bits of opulence from as far back as the 12th century. Year-round sunshine and the affordable Tunisian lifestyle have drawn tourists here who now call this place home.
Tripoli LybiaTripoli Libya

9. Libya: GDP – $49.341 billion

The Libyan economy depends primarily upon revenues from the oil sector, which accounts for 80% of GDP and 97% of exports. Libya holds the largest proven oil reserves in Africa and is an important contributor to the global supply of light, sweet crude.Apart from petroleum, the other natural resources are natural gas and gypsum.The International Monetary Fund estimated Libya’s real GDP growth at 122% in 2012 and 16.7% in 2013, after a 60% plunge in 2011.

Angola Fortress Sao MiguelAngola Fortress Sao Miguel

8. Angola: GDP – $49.857 billion

Angola has a large deposit of oil and gas resources, diamonds, and bountiful agricultural land. Still recovering from the 27-year civil war that lasted from 1975-2002, Angola has made efforts to revive its economy with heavy oil and agricultural exports. Cities like Luanda are undergoing major reconstruction to make Angola a top African destination.

Kenya Nairobi CityNairobi Kenya

7. Kenya: GDP – $53.40 billion

The capital, Nairobi, is a regional commercial hub. The economy of Kenya is the largest by GDP in Southeast and Central Africa. Agriculture is a major employer; the country traditionally exports tea and coffee and has more recently begun to export fresh flowers to Europe. The service industry is also a major economic driver. Kenya is a member of the East African Community. Compared to other African countries, Kenya enjoys relatively high political and social stability.

6. Sudan: GDP – $112.552 billion

More than once, we have mentioned oil and gas as the main source of income for countries on this list. Sudan also falls into that category but in a more diverse way. It depends on oil but with a third of its GDP contributed by agriculture. Cotton and peanuts constitute its major agricultural exports. You may not notice a “Made in Sudan” tag on the shirt you buy in Khartoum but cotton from Sudan has fueled the textile industry in many parts of the world.

Rabat MoroccoRabat Morocco

5. Morocco: GDP – $112.552 billion

Morocco was named the first most competitive economy in North Africa. Tourism, telecoms, textiles and agriculture are Morocco’s biggest biggest money pullers.

Algiers AlgeriaAlgiers Algeria

4. Algeria: GDP – $227.802 billion

Oil and gas exports have placed Algeria on this list. Much of its wealth is received from oil deposits deep within the North African soil. Also rich in natural minerals, it is suggested that the ancient Romans collected stones and marbles from quarries in what is now known as Algeria. You can find onyx, red and white marbles, iron, lead, and zinc in large quantities. It’s capital city, Algiers offers rare beauty in the intricate architecture of its most famous buildings.

Cairo EgyptCairo Egypt

3. Egypt: GDP – $284.860 billion

Egypt has one of the longest histories of any modern country, arising in the tenth millennium BCE as one of the world’s first nation states.

SONY DSCJohannesburg South Africa

2. South Africa: GDP – $341.216 billion

South Africa is popularly known for its mineral resources such as gold and diamond but the Gold Rush ended back in the 19th century. There are more things to look forward to in South Africa besides its jewels. Major cities like Johannesburg and Cape Town offer a unique experiences that can offer scenic routes to mountain ranges by the ocean. 

Lagos NigeriaLagos Nigeria

1. Nigeria: GDP – $594.257 billion
The most populous country in Africa is a major contender on this list, its manufacturing sector being the third largest in Africa while it contributes a considerable share of the world’s oil. Taking into account this country’s population of 170 million, Nigeria is on track to becoming one of the 20 largest economies in

MAAJABU DUNIANI:MTOTO WA MIAKA 10 AJIFUNGUA MTOTO SALAMA.

$
0
0
KENYA
wakati wanaharakati mbalimbali duniani wakipambana kupinga ukatili kwa watoto,huko nchini kenya mtoto glad chelagat mwenye miaka kumi amepata jukumu la kumlea mtoto,mtoto huyu anakuwa mama mdogo zaidi duniani.maajabu haya yalitokea jumamosi
iliyopita katika hospitali ya Kericho nchini Kenya.hata hivyo mungu mkubwa kwani mbali na umri wa mtoto huyu kuwa mdogo lakini alijifungua pasipo na matatizo yoyote kama ambavyo ilihofiwa na wataalamu wa afya wa hospitali hiyo

HAWA NDIYO MISS TANZANIA WALIYOJITOKEZA NA KUJITANGAZA HADHARANI KUWA WANASUMBULIWA NA GONJWA HATARI..!!

$
0
0

 Miss Tanzania wawili, Happiness Millen Magese (2001) na Angela Damas (2002), wamejitokeza na kujitangaza wazi kuwa ni miongoni mwa mamilioni ya wanawake duniani wanaosumbuliwa na tatizo liitwalo ‘endometriosis’ ambalo huwafanya wapate maumivu makali wakati wa hedhi na pia kuwafanya wasiwe na uwezo wa kushika mimba. Tatizo hilo husababisha seli hai zinazounda mji wa mimba kukuwa/kuota nje ya mji wa mimba. “To all the ladies who have to live with the sufferings of endometriosis- May sharing our messages make us realize we are not alone, and may the sharing allow us to look for ways to help us live with less pain,” ameandika Angela Damas.

Ujumbe huo umemvutia, Happiness Magese ambaye naye aliamua kujitangaza wazi kuwa na tatizo hilo na kuanzisha kampeni ya ‘endometriosisafrica’.
“Praying for more women to speak out and share their stories .Wow this made my day
….thank you my darling Angela(Miss Tz 2002) for sharing your story .I feel better that we all finally speak out . Insta fam Angela Damas was actually the next queen after me in Wow this made my day ….thank you my darling Angela(Miss Tz 2002) for sharing your story .I feel better that we all finally speak out . Hi sisters Angela Damas was actually the next queen after me in Tanzania . How would Could one tell this amazing ,smart n beautiful person has this battle # endo power #we can do this together emojiemojiemoji @skinkissedbird we can save one’s happiness n pains. Let’s speak out cc @ladivamillen Tanzania.” 
  Millen anasema ameshafanyiwa upasuaji mara 12 hadi sasa Wakati wa kutangaza kuwa na tatizo hilo, March 16 mwaka huu, Millen aliandika kwenye Instagram:
It took me 17 years of struggle ,12 surgeries ,blocked Fallopian tubes ,1digestive system surgery,1ovary failure ,1miscarriage and still in pains I don’t know when it will stop.For the help of @ritadominic awareness and padma Lakshimi my friends @funminewyork @byanakusophy @adhiamboml n my family . I’m able to come out today and say this “I wear Yellow for me and all women from all over the world who struggling with Endometriosis . It’s ok to talk about our menstrual pains . You’re all warriors #speak about it #Dont ask for sympathy ,ask for help before it’s too late #March 2014 millions women walk for endometriosis #Dont loose hope. By rising this awareness we could help the cause to be able to give us free or reasonable price which can help all women to afford the treatment.#teamendometriosisafrica#Tanzania

HAWA NDO WANAMUZIKI MATAJIRI BARANI AFRIKA ...JE DIAMOND YUMO

$
0
0
Africa is blessed with beautiful landmarks and unique geographical composition apart from that Africa is blessed with lots of talents from athletes to artists range from upcoming to legends,As presented by Capital Fm from Kenya below is the list of 10 most rich music artists from Africa1.Youssou N'dour- Senegal


Youssou N'dour
2.P.square-Nigeria

P.square
3.D'banj-Nigeria

D'banj
4.Koffi Olomide-DRC

Koffi Olomide
5.Salif Keita-Mali

Salif Keita
6.Fally Ipupa-DRC

Fally Ipupa
7.2face Idibia-Nigeria

2face Idibia
8.Hugh Maskela-South Africa

Hugh Maskela
9.Banky W.-Nigeria

Banky W
10.Jose Chameleon-Uganda

Jose Chameleon
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>