Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

ZARI BIG BOSS LADY UVUMILIVU WAMSHINDA AAMUA KUWALIPUA WABAYA WAKE

$
0
0

Shemeji yetu Zari ambaye ni mrembo kutoka Uganda ambaye toka amekua mapenzini na Mtanzania staa wa bongofleva Diamond amekua akipokea comments tofautitofauti kwenye page yake ya Instagram, June 28 2015 ameamua kuyaandika haya tena mengine kwa kutumia lugha ya kiswahili baada ya kushindwa kuvumilia.
Waliomkasirisha ni wale wanaokosoa uvaaji wake na kuendelea kumfatilia ambapo alianza kwa kuandika >>> 



PICHA YA SALOON ILIYOKO SINZA..INAYOFANYA MASAJI HUKU IKIJIHUSISHA NA UTOAJI WA HUDUMA YA NGONO

$
0
0
AMA kweli shetani anafanya hesabu zake za mwisho! Tangu mwaka 2014 uanze yapo yaliyotokea na kusisimua likiwemo la kunaswa kwa kinara wa utoaji mimba, Dk. Mambo, maeneo ya Kawe, Dar lakini hili la warembo kufumwa wakitoa dozi ya ngono linaweka historia nyingine,

Warembo wanaotoa huduma wakiwa wameficha
sura zao baada ya kunaswa na OFM.
Hebu sikia, saluni inayojihusisha na vitendo vya ’masaji’ lakini kumbe ngono imo ndani yake imenaswa na kufumuliwa baada ya kukutwa uchafu wa aina yake nyuma ya pazia.
Saluni hiyo maarufu kuliko Miji ya Sodoma na Gomora, ipo maeneo ya Sinza ambapo kwa muda mrefu sasa imekuwa ikijihusisha na uchafu huo na kusababisha kero kwa wananchi wenye maadili yaliyotukuka.TAARIFA MEZANI
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) chini ya Global Publishers, ikiwa imetulia ndani ya mjengo wa makao yake makuu, Bamaga-Mwenge jijini Dar, Mkuu wa kikosi maalumu cha Mtambo wa Kurekebisha Tabia (MKT) ambacho ni kitengo ndani ya OFM, alipokea simu kutoka kwa msamaria mwema akitoa ‘tipu’ juu ya ishu hiyo.
Mhudumu baada ya kumpatia dozi mteja.
Mtoa taarifa huyo alieleza malalamiko yake juu ya kero wanayoipata raia waishio jirani na saluni hiyo kufuatia huduma chafu za kuchukiza ambazo hufurahiwa na shetani na malaika wake tu.
Msamaria Mwema: Halooo.... halooo... jamani halooooo, hapo ni Makao Makuu ya OFM? 

OFM: Ndiyo mama, tukusaidie nini?
Msamaria Mwema: Mna habari jamani?
OFM: Zimejaa tele, ila hata ya kwako inaweza kuwa bora kuliko tulizonazo.

Msamaria Mwema: Hapa Sinza Kwaremi (Dar) kuna saluni moja inaendesha vitendo vichafu vya ngono na hakuna sheria yoyote inayochukuliwa dhidi ya wahusika.
...Huyu alinaswa akikimbia baada ya OFM kutia maguu eneo la tukio.
OFM: Saluni ya ngono? Kivipi mama? Hebu fafanua tafadhali!
Msamaria Mwema: (kwa sauti ya juu mno) ninyi njooni mtajua kila kitu hukuhuku lakini inaendesha mambo ya ajabu (simu ikakatika).
OFM MZIGONI
Bila kupoteza sekunde, mkuu huyo wa MKT, aliwapanga ‘makamanda’ maalumu na kuwapa maelekezo muhimu ya jinsi ya kujua ukweli juu ya uovu uliodaiwa kutendwa kwenye saluni hiyo.
UCHUNGUZI
OFM iliwatuma vijana wake ‘watanashati’ hadi eneo lililotajwa ili wachunguze kama kweli kuna saluni yenye jina lililotajwa na mtoa habari wetu. 

Baada ya maelekezo hayo, vijana hao wakiongozwa na roho safi ya kunyoosha maadili katika jamii, walifika hadi Sinza na kukuta saluni yenye jina hilo ambapo walianza kufanya upelelezi wa hali ya juu mno huku wakiwa makini kuliko hata neno lenyewe.
UTHIBITISHO
Baada ya kutinga eneo hilo, OFM iliendesha upelelezi maalumu kwa kuwauliza baadhi ya wakazi na watu wanaofanyia shughuli zao za kujiingizia riziki na kupata ukweli halisi juu ya ufuska ufanywao ndani ya saluni hiyo.

Katika uchunguzi huo, OFM ilipata uthibitisho kuwa kweli ibilisi yuko katika hesabu zake za mwaka kwa kufanya uchafu wa kufuru.
Ilielezwa kwamba, watumishi wa saluni hiyo ambao ni warembo, hujifanya wanatoa huduma ya kuchua mwili (body massage) kwa Sh. 25,000/= kwa vyumba na huduma za kawaida, lakini kwa vyumba vyenye choo na bafu kwa ndani (self contained) ni Sh. 35,000/=.
HUDUMA
Katika upelelezi huo, ilibainika kuwa mteja akilipia gharama ya vyumba vya self contained, ana uhuru wa kuchagua kama atapenda kufanyiwa huduma ya uchuaji kwa mikono tu au kwa matiti na wakati mwingine mwili mzima huku mtoa huduma hiyo akiwa amevua nguo zote!
Ikazidi kuelezwa kuwa, endapo mhudumiwaji atataka huduma hiyo ya mchuaji kuvua nguo zote, atafanyiwa hivyo lakini kama atazidiwa na kuhitaji huduma ya ngono, atatakiwa kuongeza Sh. 50,000/= kwa msichana huyo wa huduma na kufanya gharama kuwa zaidi ya Sh. 80,000/=.
“Wamekuwa wakifanya vitendo viovu sana, yaani ngono njenje, jamani hii siyo saluni, bali ni danguro la ngono fuatilieni mtangundua juu ya ukweli huu,” alisema mmoja wa raia katika upelelezi wa OFM.
OFM NDANI YA NYUMBA
Ili kujiridhisha na maelezo hayo, timu ya OFM ilituma vijana wake tofauti kwa muda wa siku tatu mfululizo na kubaini kuwa yote yaliyosemwa na kutajwa kwa kirefu yanatendeka ndani ya saluni hiyo!

‘Askari’ wa kwanza wa OFM aliingia ndani ya saluni hiyo (jina linavunda kwenye droo za meza yetu) na kuwakuta wahudumu wamejaa tele na alipowauliza juu ya huduma ya masaji na ngono, walijibu kwa sauti ya furaha na bashasha kubwa bila kujua kuwa kijana wetu alikuwa na vifaa maalumu vya kunasia sauti.
“Ni wewe tu jamani, kwani wewe ni mgeni maeneo haya? Mbona utaratibu unaeleweka, lakini maelezo ni hayo kwa hiyo karibu sana,” alisema mmoja wa warembo hao huku akilegeza macho mithili ya mgonjwa wa degedege.
Siku mbili zilizofuata, askari wa OFM waliendelea kupata stori na maelezo ya aina hiyohiyo.
MTEGO!
Siku ya tukio, (mwanzoni mwa wiki hii) OFM iliweka mtego kwa kumpeleka kijana wake ili ajifanye anahitaji huduma hiyo ya kufanyiwa masaji mwili mzima na baadaye ajifanye amezidiwa na kuhitaji huduma ya ngono.

Katika mtego huo, OFM ilitoa taarifa polisi ambapo ‘vijana wa IGP Ernest Mangu’ hawakulaza damu, wakatoa ushirikino wa kutosha kwa OFM.
MTEGO WAFYATUKA
Kama kawaida, OFM huwa haishindwi linapokuja suala la oparesheni maalumu kama hiyo, fuatilia sana. Mtego wake ulifyatuka ambapo mmoja wa vijana wake alijifanya kuhudumiwa (angalia picha ukurasa wa mbele).

Baada ya kuweka mazingira sawa, OFM na polisi wa kike na kiume walivamia na kufanikiwa kufuma laivu matukio mengi ya ufuska mkubwa (ukitaka kuona zaidi, unakaribishwa Bamaga ofisini kwetu).
WAUME ZA WATU!
Baada ya zoezi hilo kukamilika, baadhi ya mashuhuda (hasa akina mama) walisikika wakishukuru kufumuliwa kwa saluni hiyo kwa kuwa ndoa zao zilikuwa zimeanza kuota magugu kwani wateja wengi wa saluni hiyo ni waume za watu na vigogo serikalini!
“Jamani tunashukuru sana, waume zetu walikuwa wanakimbilia hapo, ugomvi kidogo tu, mwanaume anakwenda hapo na akirudi nyumbani hana habari kabisa na mkewe, safi sana OFM na polisi kwa jumla,” alisikika mama Joyce akishangilia kufumuliwa kwa saluni hiyo.
SOO POLISI
Baada ya ‘sheshe’ hilo, warembo sita walikamatwa na kupelekwa kituo cha polisi kwa upelelezi maalumu.
MMILIKI
Katika upelezi wa awali, watumishi hao walimtaja mmiliki wa saluni hiyo kwa jina moja la Chifu huku wakishindwa kuweka wazi na kufafanua kwa undani zaidi.

KAMANDA WAMBURA UPO?
Gazeti hili lilifanya jitihada za hali ya juu kumpata Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, ACP Camilius Wambura ili azungumzie juu ya sakata hilo, lakini hadi gazeti hili linakwenda mitamboni, simu yake ya kiganjani ilikuwa ikiita bila kupokelewa

NAOMBENI USHAURI...MKE WA RAFIKI YANGU ANATAKA NIMUINGILIE KINYUME NA MAUMBILE ...NIFANYE NINI?

$
0
0

Jana nimeduwazwa sana baada ya mke wa rafiki yangu kunitamkia wazi kuwa ananipenda na anataka kutoka na mimi.
Tangu nifahamiane naye miaka takribani mitano sasa tumekuwa tukiheshimiana naye sana kama mashemeji. mwaka huu akaniambia kuwa mumewe ameanza kubadilika kwa kuzidisha ulevi, kuchelewa kurudi nyumbani na wakati mwingine kulala nje na pia alizifuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mumewe kutoka kwa mtu aliyemsave kwa jina la kiume, hivyo nimsaidie kumshauri ili abadilke ila akanionya nisimwambie kama ni yeye ndiye kaniambia.


Nilimtia moyo kuhusu hali hiyo na kumwomba awe mvumilivu na asichoke kuongea na mumewe kuhusu hali hiyo ili abadilike. Binafsi nilipata wakati mgumu wa namna gani nitamshauri jamaa bila kumtajia makosa yake na wapi nimeyapata hivyo nikashindwa hiyo kazi.
Mke wa jamaa akaanza kunipigia simu usiku kulalamika kila mumewe anapochelewa kurudi na wakati mwingine akinipigia alfajiri kuniambia kuwa mumewe hajarudi hadi muda huo. Niliendelea kumtia moyo ingawa mambo hayo yalikuwa ni ya kweli.


Cha ajabu kuanzia wiki jana amekuwa akinitumia meseji za mapenzi, nikajua ni hizi meseji ambazo watu hutumiana hivyo sikujali sana hadi pale aliponiandikia akiniambia kuwa yuko serious anataka kutoka na mimi. Sikuamini nikampigia simu kusikia sauti yake kama ni yeye kweli, ndipo aliponithibitishia kuwa yuko serious na atatunza siri na kunitunzia heshima yangu kwa jamaa kwani tayari moyo wake umeangukia kwangu.

Sikuweza kumjibu kitu kwa namna nilivyopatwa na mshangao. hadi sasa anaendelea kunibembeleza na kunipa mbinu nyingi za kutimiza lengo lake bila kujulikana na watu.

Binafsi sina lengo la kumsaliti mshikaji wangu ila nimelileta kwenu ili mnishauri nimjibu vipi huyu mwanamke ili heshima yangu kwa familia hii iendelee kuwapo na pia kusitokee chuki yoyote kutokana na kadhia hii itakayopelekea urafiki wangu na familia hii kuyumba au kupotea.

FAIDA YA KUOA WADADA WENYE UMRI MKUBWA!SOMA ZAIDI HAPA!

$
0
0
image

*Hawa watu wana commitment sana katika ndoa zao.*Wanakuwa washapitia changamoto nyingi zinazohusisha mahusiano so huwa hawasumbui.
*Wengi wamekomaa kiakili na wanajua jinsi ya kuhandle mume na familia kwa ujumlawana mazuri mengi.Kama hujaoa ukipata watu wa namna hii usipoteze furs

JIONEE MADENTI WAKIJIACHIA LIVEEE

$
0
0
 
The way Some University students party... its like tomorrow will never come... I came across their Facebook group and i was like damn! is this ....!!?? see fi yo self...

























P

BREAKING NEWZZ....LOWASA AFANYIWA FITINA PWANI..OFISI ZAFUNGWA ABAKI NJE YA OFISI TAZAMA PICHA

$
0
0
Kuna kila dalili kuwa katibu wa Wiaya ya Kibaha Vijijini ni Team Fulani . Kitendo cha kukimbia kinaonesha ametumwa kufanya hivyo, na amekubali kutekeleza jambo la kijinga kiasi hicho, jambo ambalo ni la kukidhalilisha Chama Cha Mapinduzi mbele ya watanzania na mbele ya wanachama wake maelfu waliojitokeza kumdhamini mwanachama mwenzao. 



Kama angekuwa na hekima kama ana shughuli yake muhimu mahali fulani angejieleza na isingeshindikana kumfuata aje mara moja kutekeleza wajibu wake na kumrudisha kwani tukio hilo ni la dakika chache na si saa kadhaa. Chama Cha mapinduzi kinahitaji kuachana na watendaji na viongozi wenye tabia ya aina hii

PICHA ZA MKE WA RAPPER WEEZY KHALIFA AMBER ROSE AKIONYESHA ALIVYO UMBIKA...NI TATIZO KWA VIDUME

$
0
0




Toka ajifungue mke wa rapper Wizzy Khalifa anayejulikana kwa jina la Amber Rose ameoneka akirudi na kuwa namsicha wamiaka 23 ijapo kwa sasa anatakribani miaka 30 zitazamepicha zake hapa

MWANAMKE MREMBO ANAETUMIA MTANDAO WA TWITTER NA INSTAGRAM KUENDESHA MAISHA YAKE ...


FASHENI NYINGINE NI BALAA TUPU...TAZAM ALICHOVAA MDADA HUYU

$
0
0
Je, wewe ukiwa kama mdada waweza vaa vazi hili na kuwa comfortable?! Na vipi kwa wakaka mwaweza waruhusu wapenzi/wake watokelezee kiivi?!

AIBU MWEZI MTUKUFU: BINTI AGOMA KUFUNGA ANASWA NA WANAUME WAWILI GHETTO!

$
0
0
Dustan Shekidele, Moro
Ni ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani! Katika hali ya kushangaza, binti aliyejitambulisha kuwa ni mtoto wa Mzee Abass (20), mkazi wa jijini Tanga anadaiwa kugoma kufunga kisha kutoroka kwao na kunaswa geto na wanaume wawili mkoani hapa.
Sekeseke hilo lililofunga mtaa na kujazaa umati lilijiri Ijumaa iliyopita, majira ya saa 1:00 asubuhi kwenye Mtaa wa Mbago-Manzese Kata ya Mafiga mkoani hapa ambapo baba mdogo wa binti huyo alitoa taarifa kwa kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers na Jeshi la Polisi ambao waliingilia kati na kuvamia geto hilo.



Polisi walipoingia kwenye geto hilo walimkuta binti huyo na mmoja wa wanaume hao ambaye alijitambulisha kwa jina moja Rajabu.

Wakati polisi wakitekeleza majukumu yao waliushirikisha uongozi wa serikali ya mtaa huo.
Hata hivyo, kufumba na kufumbua mwanaume aliyekutwa na binti huyo alipata upenyo akatimua mbio na kumwachia msala binti huyo.

Mbele ya mjumbe wa serikali ya mtaa huo, Amiri Bawaziri, binti huyo alikiri kutoroka kwa wazazi wake Tanga na kwenda kuishi na jamaa huyo ambapo kwenye geto hilo pia kuna mwanaume mwingine ambaye huwa wanalala watatu kitanda kimoja.

Kwa mujibu wa baba mdogo wa binti huyo, msichana huyo amemaliza kidato cha nne ambapo wazazi walikuwa wakimtafutia chuo.

Alipotakiwa kuelezea namna walivyogundua kuwepo kwenye geto hilo baba mdogo huyo alisema:
“Tulimtafuta rafiki yake ambaye baada ya kumbana alisema binti yetu yupo hapa Morogoro na amekuwa akiwasiliana naye kupita simu ya huyo mwanaume wake ambaye walifahamiana kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.

“Baada ya kuwasiliana na namba hiyo, tulitumia mbinu za kumdanganya mwanaume huyo hadi tukapajua kwenye geto lao kweli na tumefanikiwa kumpata.”

MH SUGU ADANGANYA UMMA FAIZA AFUNGUKA.

$
0
0
Faiza Ally afunguka mh Sugu ni mwongo hawajahi kutoa laki tano matumizi ya mtoto kila mwezi kama alivyodai bungeni.26 june mbunge huyo alidai amekua akilipia ada ya mtoto milioni tatu,televisheni ya katuni na matumizi madodogo madogo.Katika utetezi huo alimbibi hadi kutoa mchachozi hadharani baada ya mbunge Martha wa viti maalum kumshutumu ana nyanyasa wanawake.chanzo nipashe june 28.


PICHA SUPER STAR WA DIAMOND PLATINUMS AKIWA AIRPORT AKIELEKEA NIGERIA

ALI KIBA ATOA KIPANDE CHA VIDEO YAKE MPYE

$
0
0
Ali KibaJumatatu ya June 29 2015 ndio itakua siku rasmi kwa video mpya ya ‘Chekecha’ ya Ali Kiba kuanza kuonekana kwenye TV ambapo TV ya kwanza kuplay hiyo video ni TRACE TV, TV ya burudani kutokea Ufaransa ambayo inaongoza kwa kutazamwa Afrika sasa hivi.

Wakati tukisubiria hiyo kesho kuitazama, kuna hizi sekunde 15 kazitanguliza Ali Kiba kutoka kwenye hiyo video. 


SUPER STAR WEMA SEPETU MBUNGE MTARAJIWA AKIWA KWENYE BAJAJ

ZARI BOSS LADY AWALIPUA LIVE WALE WANAOMSHAMBULIA MITANDAONI


IRENE UWOYA NAYE AANZA MCHAMCHAKA KUELEKEA MJENGONI

$
0
0
 
And this is what uwoya said and comment from her fans!!

WANA CCM 78,500 WA MKOA WA PWANI WAMDHAMINI EDWARD LOWASSA ,APATA BARAKA ZA VIONGOZI WA DINI

$
0
0
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisaini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Pwani, leo Juni 28, 2015, kabla ya kuelekea kwenye Ofisi CCM Wilaya ya Kibaha Mjini kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani. Kushoto ni Mkewe Mama Regina Lowassa.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mdau Bashir Awale, nje ya Ofisi za CCM Mkoa wa Pwani, leo Juni 28, 2015, kabla ya kuelekea kwenye Ofisi CCM Wilaya ya Kibaha Mjini kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungua mkono WanaCCM wa Mji wa Kibaha Mjini wakati alipofika kwenye Ofisi za CCM kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani.

Katibu wa CCM Wilaya ya Temeke, Abdallah Mdimu akikabidhi fomu yenye orodha ya majina ya Wadhamini kwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa leo Juni 28, 2015. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wa Mkoa wa Pwani Wamemdhamini Mh. Lowassa ili apate ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Vijana wa Kikundi cha Ngoma za Utamaduni wakitoa burudani nje ya Ofisi ya CCM Kibaha Mjini.
Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Mh. Silyvestry Koka akizungumza machache na wanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Mjini wakati wa zoezi fupi la kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Kushoto ni Katibu wa CCM Wilaya ya Kibaha Mjini, Ndg. Abdallah Mdimu. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani.

 
Taswira mbalimbali za WanaCCM wa Mji wa Kibaha Mjini na maeneo ya jirani katika zoezi la kupokea orodha ya majini ya WanaCCM waliomdamini Mh. Edward Lowassa.
Askofu mstaafu wa Kanisa kuu la KKKT Dayosisi ya Dodoma, Peter Lukumbusho Mwamasika akimuombea Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, wakati alipofika kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Kibaha Mjini kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhamini kugombea Urais wa Tanzania, leo Juni 28, 2015.
Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa akiwasalimia WanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Mjini,  leo Juni 28, 2015.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani,Ndg. Mwinshehe Shaban Mlawa akiwasalimia WanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Mjini, kabla ya kumkaribisha Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, kutoa shukrani zake kwa WanaCCM waliomdhamini ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Neno linafika mahala pake, lazika kicheko kianguke.
Mpiga Picha, Khalfan Said akiitafuta taswira ya uhakika.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na kuwashukuru wanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Mjini waliomdhamini ili apate ridhaa ya Chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 78, 500 wamdhamini Mh. Lowassa, Mkoani Pwani.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwapungia WanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Mjini, leo Juni 28, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa Mama ambaye ni mlemavu wa miguu (jina lake halifahamika kwa haraka) wakati alipofika kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Kibaha Vijijini, Mlandizi Mkoani Pwani leo Juni 28, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisamiliana na Wazee wa Mji wa Kibaha Vijijini.

WanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Vijijini wakimshangilia Mh. Lowassa.
Mh. Lowassa akisalimiana na mmoja wa WanaCCM wa Wilaya ya Kibaha Vijiji wakati alipofika kuwasalimia na kuwashukuru kwa kumdhamini ili apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama, kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.

Sehemu ya Masheikh wa Mji wa Bagamoyo Mkoani Pwani wakiwa hadhara hiyo.

WanaCCM wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani, wakifatilia kwa makini salamu za Mh. Lowassa.
Kila Mmoja yuko tayari kuingia kwenye meli ya "Safari ya Matumaini"
Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM kutoka Zanzibar, Mzee BoraAfya akiwapa neno WanaCCM wa Mkoa wa Pwani waliokuwa wamekusanyika kwenye Uwanja wa CCM Wilaya Bagamoyo, leo Juni 28, 2015.
Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM Tanzania, Mzee Mgana Msindai akatoa neno WanaCCM wa Mkoa wa Pwani waliokuwa wamekusanyika kwenye Uwanja wa CCM Wilaya Bagamoyo, leo Juni 28, 2015.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akizungumza jambo mbele ya umati wa WanaCCM wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani , leo Juni 28, 2015.





Sheikh kutoka Wilaya Bagamoyo, Sheikh Hassan Kilemba akizungumza machache.
Umati wa WanaCCM wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Shariff wa Bagamoyo, leo Juni 28, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akitoa shukrani zake kwa wanaCCM wa Wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani kwa kumdhamini.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiwaralimia Watoto, Aisha (12) na Sikuzani (4) waliomfata kumsalimia.


MAJIMAMA HAWA WANA ZAIDI YA MIAKA 35 WANAWAFUNDISHA NINI WATOTO

KINANA AFUNIKA JIJINI MWANZA, MAELFU WAJITOKEZA,MWENYEWE APIGA SALUTI!

$
0
0
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza. 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwahamasisha maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana uliofanyika leo katika Vianja vya Furahisha Jijini Mwanza. 
"'SAFI SANA"Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana aonyesha dole gumba ambayo ni ishara ya CCM na kuonyesha kuwa mambo safi, alipowasili kuhutubia mkutano wa hadhara leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. 
Malikia wa taarab, Khadija Kopa akiongoza kuimba wimbo maalum wa CCM, wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrhmn Kinana uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Furahiha jijini Mwanza 
Mashabiki wakimg'amg'ania Khadija Kopa wakati akiimba wimbo maalum mbele ya mashabiki hao wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo 
Maelfu wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipohutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo 
Maelfu wakiwa wamefurika katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja hivyo leo. 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi y Chadema, katika uchaguzi mkuu uliopita, Twalib Ngika, akitangaza kuhamia CCM, wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana uliofanyika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge kwa tiketi y Chadema, katika uchaguzi mkuu uliopita, Twalib Ngika, akikabidhi yadi ya Chadema kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinna baada ya kutangaza kuhamia CCM, wakati wa mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu huyo uliofanyika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo 
Kinana akisindikizwa na maelfu ya wananchi alipokuwa akiingia kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika leo. Pmoja naye ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Anthony Diallo n Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye. 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia kwenye mkutano huo 
Wananchi wakishangilia kwenye mkutano huo 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, Anthony Diallo, akihutubia mkutano huo 
Mmoja wa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo, akiwa na mtoto wake aliyeshika kipeperushi cha CCM 
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa Mlongo akihutubia kwenye mkutano huo 
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akihutubia kwenye mkutano huo 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia kwenye mkutano huo 
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akihitimisha kwa hotuba katika mkutano wake wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Furahisha jijini wanza leo. PIcha zote na Bashir Nkoromo-theNkoromo Blog

MWIGULU NCHEMBA HAKAMATIKI MBIO ZA URAIS,WASOMI WASEMA ANAONGZA KWENYE VIGEZO 5

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>