↧
PICHA ZARI BIG BOSS LADY ATUPIA NYINGINE MATATA AKIONYESHA TUMBO LAKE
↧
WANAWAKE WATAKIWA KUJIAMINI KATIKA NAFAZI ZAO ZA UONGOZI -KAIRUKI
Katibu mtendaji wa uongozi institue,Profesa Joseph Semboja akizungumza katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanawake walioshiriki mkutano wa kuwajengea uwezo katika masuala ya uongozi uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Nabu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akizungumza na wanawake katika mkutano wa kuwajengea uwezo wanawake katika masuala ya uongozi uliofanyika katika hoteli ya serena jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki amewataka wanawake kujiamini katika nafasi za uongozi wanazozipata katika kuweza kufikia asilimia ya 50 kwa 50.
Hayo aliyasema katika mkutano wa wanawake ulioandaliwa na uongozi Instute,Kairuki amesema katika kuelekea katika uchaguzi mkuu wanawake wajitokeze katika nafasi mbalimbali ili kuweza kubadilika.
Amesema katika ngazi mbalimbali za maamuzi katika bodi zilizopo nchini ni idadi ndogo za wanawake ikilinganishwa na wanaume hali ambayo sasa inatakiwa kuweka kupaumbele katika bodi kuwa na uwakilishi wa wanawake.
Kairuki amesema sasa ni wakati wa mabadliko kwa wanawake kuonyesha uwezo katika kazi mbalimbali na kujenga mazingira ya kujiamini katika kazi iwe nafasi za ukurugenzi na kazi nyinginezo za serikali na sekta binafsi.
Nae Katibu Mtendaji wa Uongozi Institute,Profesa Joseph Semboja amesema wameanza program hiyo katika kuwainua wanawake katika nafasi za uongozi katika kuweza kufikia malengo ya asilimia 50 kwa 50.
Sembomja amesema wanawake katika kuelekea uchaguzi mkuu ni fursa kwao kujitokeza kutokana na mafunzo mbalimbali wanayopata kutoka kwa wanawake waliokatika nafazi za uongozi.
↧
↧
NYALANDU AREJESHA FOMU ZA URAIS
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akirejesha fomu za wadhamini kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajabu Luhavi, jana, baada ya kukamilisha kazi ya kuomba udhamini kwa mikoa yote nchini.![02]()

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajabu Luhavi. Kulia ni mkewe Faraja na kushoto ni Luhavi.![01]()

MKE wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, Faraja, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhavi ofisini kwake katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, wakati Nyalandu aliporejesha fomu zake za kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya urais.![03]()

BAADHI ya wanachama wa CCM waliomsindikiza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM mjini Dodoma, jana.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na mkewe Faraja, wakipongezwa na sehemu ya umati uliojitokeza kwenye ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, wakati akirejesha fomu.![05]()
![06]()


WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na mkewe Faraja, wakishangiliwa na mamia ya wanachama wakati wakiondoka ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, jana baada ya kurejesha fomu za kuomba urais.
↧
THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY /ALHAMISI 02/07/2015 LIVE!!
↧
RITA PAULSEN & BONGO STAR SEARCH MWANZA + ARUSHA + MBEYA + DAR KUWA ORIGINAL NA SIO YA KUKOSA LIVE!!
↧
↧
RIHANA AWEKA WAZI MAUMBILE YAKE SAA SITA YA KIFUANI.
↧
WAKINADADA HAWA KUVAA NGUO ZINAZOWACHORA
↧
HII NDIO AJALI MBAYA ZAIDI KUTOKEA KATIKA MAKAZI YA WATU!!

Mapema leo gari liligonga na kuingia ndani ya nyumba moja nchini kupitia paa la nyumba hiyo Afrika Kusini. Dereva wa gari hilo amesema kuwa alipokuwa akiliendesha gari hilo alikutana na tuta moja barabarani lililosababisha gari hilo kuruka na kuanguka katika paa la nyumba hiyo.
Bado haijulikani ni vipi tuta hilo lilisababisha ajali hiyo.
Hakuna mtu aliyejeruhiwa na dereva wa gari hilo hakupata jeraha lolote.
![]()
=
Bado haijulikani ni vipi tuta hilo lilisababisha ajali hiyo.
Hakuna mtu aliyejeruhiwa na dereva wa gari hilo hakupata jeraha lolote.


↧
KANGAMOKO NI LAANA TUPU, UMEONA JINSI UFUSKA NA UCHAFUU WANAVO UFANYA
↧
↧
OMBI LA MSAADA WA HALI NA MALI ; KIJANA ABEL MACHANGA ANAHITAJI MSAADA WA MATIBABU

Kijana Abel Machanga mwenye umri wa miaka 24 amelazwa Hospital ya
Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Taifa Muhimbili Wodi ya Sewahaji,chumba namba 19,Kitanda namba 28 kwa tatizo la uvimbe kwenye ubongo ambalo limesababisha macho yake kutoka nje.
Familia inaomba msaada wa wasamaria wema ili kugharamia matibabu ya
Abel kutokana kuwa gharama za matibabu ni kubwa kuliko uwezo wa familia.
Kwa yeyote atakayetakayeguswa na taarifa hii, anakaribishwa kumtembelea Abel Hospitalini ili kukutana naye na kusikia kilio chake Kwa mlio mbali, tunaomba misaada yenu kupitia kwa kaka wa Abel Bw.Christopher Machanga kwa namba
Tigo 0655 54 56 67
Airtell 0784 54 56 67
Voda 0755 54 56 67
SHIME WATANZANIA TUJITOE KWA MOYO KUOKOA MAISHA YA MWENZETU NA KUPUNGUZIA MATESO MAKALI ANAYOKABILIANA NAYO KWA SASA. TUNATANGULIZA SHUKRANI.
↧
DIAMOND AKIWA NCHINI NIGERIA AKIENDELEA NA ZAIRA YAKE
↧
PICHA NA VIDEO WAREMBO WALIOTIKISA MITANDAO YA BONGO
↧
WEMA SEPETU MBUNGE MTARAJIWA SASA KI CHAMA ZAIDI,MAVAZI YA CHAMA YATAWALA
↧
↧
MENEJA WA DIAMOND PLATNUM AMCHEKA ALI KIBA.
↧
SUPER STAR AUNT EZEKEL AFUNGUKA ANAVYOMZIMIA IYOBO
↧
DADA ZETU MNAKOELEKEA SIO KUZURI KWANINI UFANYE HIVI
↧
DIAMOND ALICHOMFANYIA MREMBO HUYU CHAZUA SINTOFAHAMU! SHUHUDIA HAPA..
↧
↧
MUME WA ZARI AMPIGIA DEBE MGOMBEA LOWASA.
↧
LE KISS HADHARANI MBONGO MOVIE LUCY KOMBA NA MUMEWE.
↧
MA UTAKUJUA ALICHOKIFANYA RAFIKI YAKE NA MASOGANGE NENDA NAYE HII HAPA
↧