Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

ANGALIA MBURULA WA KIBONGO ANAYEMUIGA STAA KUTOKA MAJUU

$
0
0


Wabongo wanaiga lakini wenzao wanafanya hivi wakiwa na sababu mhimu kwa ajili ya kuingiza mkwanja hawadanganywi kama wabongo wanaokubali kupiga picha za ovyo bila sababu mhim kisa mapenzi mbongo usiige sasa hapa mwenzio anatengeneza mkwanja 






VITU NANE VYA KIPUMBAVU AMBAVYO WADADA KARIBIA WOTE HUFANYA KWENYE MAPENZI..!!

$
0
0


1. Kuishi na mwanaume ambaye ajakutolea mahari au kukuoa. Hii inachoma lakini ndio ukweli wenyewe. Usiwe mjinga

2. Kukubali kuwa mke wa pili. Samahani sana nitakao gusa imani zao

3. Kuvaa pete ya uchumba ya mwanaume ambaye even hata kwenu apajui. Na pengine hata wazazi wako hawajui
4. Kutumia picha ya boyfriend wako kama profile picture wakati yeye hana hata wazo la kufanya hivyo.


5. Kumpa thamani yako PRIDE (Bikira), mwanaume ambaye ajatoa pesa ya mahari

6. Kupika chakula mara kwa mara na kufua nguo kuonyesha upendo kwa boyfriend wako ambaye sii mume wako.









7. Kutokumuheshimu mzazi wako kwa sababu tu ya mwanaume ambaye wazazi wako hawamjui









8. Kumpa mwanaume sex kirahisi tu kwa sababu amekuambia atakuoa









JITAMBUWE!!!


[VIDEO! WAKUBWA TU]Tizama video inayofundisha staili tofauti tofauti za sita kwa sita bofya hapa chini!















Facebook Blogger Plugin by Swahili Five
27 Jan 2015


Posted by Swahili Five



Labels: Mahusiano


Share to:














Share on facebook Share on twitter Share on google_plusone_share Share on pinterest_share More Sharing Services0







at 7:55 PM











Swahili Five



Facebook
Twitter
Google+
Pinterest



Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post





Related Posts





SMS NZURI ZA MAPENZI SOMA MTUMIE NA UMPENDAE..


27 Jan 20150

Najiuliza kila leo hivi ni mimi tu kimeo katika dunia hii ya leo maana kila leo nayempata hui...Read more ?







KUMEKUCHA HUKO JAPAN!! DAWA YA MICHEPUKO YAGUNDULIKA!!


26 Jan 20150

Dunia ina mambo Kampuni moja ya nchini Japan imedai kufanikiwa kutengeneza midoli ya ngono ‘sex dol...Read more ?







Wanawake/Wasichana wa Aina Hii ni Hatari Sana Kuwa Nao Kimapenzi


26 Jan 20150

Hakikisha unawakwepa aina hii ya wanawake ili usijiingize kwenye matatizo. Nitakwambia ni kwa ...Read more ?







Kama Unataka Kufurahia Mapenzi oa Mwanamke Asiye na Kazi.. Soma hii si yakukosa...


26 Jan 20150

Wanawake wasio na Kazi wanakua hawana mambo mengi. Ukitoka kwenye mihangaiko yako anakupokea na kuk...Read more ?







MKASA WA MKE WA MTU ALIYELIKWAA GONJWA HATARI HIV BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUPATA UJA UZITO


26 Jan 20150

The pains some women go through in their quest to have a baby due to family pressure is unimaginabl...Read more ?



1
2
Previous
Next

Post a Comment


sevidamkrdezign


218168578325095







Emoticon




Click to see the code!

To insert emoticon you must added at least one space before the code.


SUPER STAR DIAMOND PLATINUMZ ASALIMU AMRI KWA BABA YAKE MZAZI!

$
0
0

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Waandishi Wetu
ULE msemo usemao ‘wagombanao ndiyo wapatanao’ umetimia kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya kuwa na mgogoro kwa muda mrefu na baba yake, Abdul Jumaa ‘Baba D’ ambapo anadaiwa kusalimu amri na sasa wanaelewana, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukunyetishia. 
Chanzo makini ambacho ni rafiki wa karibu wa Baba D, mapema wiki hii kililieleza gazeti hili kwamba, kwa sasa Diamond amesalimu amri kwa baba yake kwani amekuwa akimsikiliza na kumsaidia pale anapokuwa na shida tofauti na ilivyokuwa awali.
“Angalau sasa Diamond anamsaidia baba yake kwani hata akimpigia simu anamsikiliza na anampa fedha ndogondogo za matumizi tofauti na zamani,” kilinyetisha chanzo hicho kwa sharti kuu moja tu la kutochorwa jina gazetini  


PICHA YA MWANAMKE ANAYEJUTIA MWILI WAKE:MAVAZI YAKE MENGI NI MASHUKA TU

$
0
0

Obese 689lb woman Dominque Lanoise'

Having a dance ... but mum of six could not get out of bed

Food struggle ... Dominique could not stop eating
Pamoja na mazoezi anayofanya na dayati lakini bado mwili wake hauna dalili yeyote ile ya kupungua. anahitaji msaada wako wa kimawazo ili na yeye awe anafurahiya mwili wake; mavazi yake yamekuwa ni tabu sana kutwa nzima ni yeye na mashuka tu;

HAWA DADA ZETU WANAKOELEKEA SASA NI BALAA

THE MAGAZETI YA BONGO LEO SATUDAY /JUMAMOSI 04 /07/2015 LIVE!!

SHINDANO LA KUONYESHA MASHEPU YA WAREMBO

$
0
0
Fri
Hili ni shindano maalumu la kuonyesha miguu.
Jina la shindano hili ni "ONYESHA MIGUU YAKO" na kauli mbiu ya shindano hili ni " JITUTUDE" yaani " JIONYESHE TUKUONE TUKUPE DEALS "
Washindi ishirini bora watakao pigiwa kura watapata zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupewa deals za kufanya kazi na kampuni na taasisi mbalimbali. Utaratibu wa kupiga kura na vigezo vitakavyo tumika kuwapata washindi pamoja na majina, namba za ushiriki na maelezo binafsi ya washiriki vitatolewa hapo baadaye.
Kama wewe ni mdada wa kitanzania, na unataka kushiriki katika shindano hili, tutumie picha zako, maelezo binafsi, Cv yako, contacts zako, wilaya unayo ishi, hobbies zako, interest zako na ambition zako. Tutumie kwenda : neemaherbalist@gmail.com.









HUDDAH AWAACHA MIDOMO WAZI MASHABIKI WAKE,JIONEE ALICHOVAA

$
0
0
 
Huddah Monroe is known for her controversial life so it's not unusual for Instagram Followers see him Doing her Thing on the beach in Europe yet with clothes that show her nipples ! 
See for yourself!
 


DUH!! ONA PICHA ZA MUKAREEEZZZ WA DUNIA AKIJIACHIA NUSU MTUPU MAMBELEZZZ UKO BEACH YAANI NI BALAHAAAAHHH!!

$
0
0

coverKim Kardashian ziadi ya kuutumia muda wake wa mapumziko akiwa nchini Thailand pia alitumia muda huo kufanya photo shooting akiwa beach.
Japokuwa picha kamili zilizokuwa zinapigwa bado hazijatoka lakini hizi za behind the scene tayari zimevutia watu wengi na  zinaangaliwa  sana kupitia internet.

123456Capture


MAJANGA WANAUME WALIOJITOLEA KUONJA MAUMIVU YA MWANAMKE ANAPOJIFUNGUA

$
0
0
Kuna vioja tumekuwa tukivisikia sehemu mbalimbali duniani, na bado vingine vinaendelea kuibuka siku baada ya siku.
Leo hii kuna stori mpya ambayo imenifanya niendelee kuweka kumbukumbu kichwani kuhusu matukio makubwa na ya ajabu yaliyowahi kujitokeza China.
Tumekuwa tukisikia kuhusu matukio ya wanaume mbalimbali wakifanya operation za kubadili maumbile ya jinsia zao, hii ya leo kutoka China inahusu wanaume ambao waliamua kujitolea kufanyiwa majaribio ya kufungwa vifaa ambavyo vitawafanya wapate maumivu ambayo huwa anayapata mama mjamzito wakati wa kujifungua.
Hizi ni baadhi ya picha za jamaa hao wakiwa katika zoezi hilo katika jimbo la Shandong, China.




MWALIMU MBURULAAA AMBAYE AMEKAMATWA NA WANAFUNZI WAKE WA3

$
0
0
Berkeley County, South Carolina teacher Ellen Niemiec is a poor excuse for a wife and school instructor.
The 29-year old married mother of three was charged Thursday, May 8, with three counts of sexual battery, two of them felonies because the students were 17, authorities said. The third was 18 Niemiec is accused of having sex with all 3 on April 11 on Cross High School grounds and at a house party. Niemiec would also have sex before and after school with one of the students and sent nude photos of herself via text to all 3.



"It's our understanding that this teacher would have said sexual talks with her class on numerous occasions," said the victims' attorney, Mike Bosnak. "Dirty talk and then she texting nude to them and that type of stuff. And from there is just went on."


Attorney David Aylor speaks to his client Ellen Niemiec in court on Thursday
"This is obviously an extremely difficult situation for her and her family," Niemiec attorneyDavid Aylor told WCIV-TV. "This is a person who has never been involved in anything like this. And never been accused of being involved in anything like this.
Niemiec was placed on administrative leave and is banned from the school campus. She has since been fired


Berkeley County Detective Brian Fenton read a statement addressing the situation.
She was entrusted with educating and keeping her students safe, That's the trust she violated. The Cross community is a very tight-knit, small community. In small communities the school is the center of the community. When a teacher violates her students' trust, she essentially violates the whole community's trust

Sheriff's deputies were notified of the sexual encounters by school administrators.
Berkeley County Magistrate James Polk set Niemiec's bail at $21,092. Upon her release she was forbid from going to the school or having any contact with the students there.
Sources: Post and Courier and WCIV-TV


UTAFITI : TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE WENGI NI TIBA YA SARATANI

$
0
0
Kulala na wanawake wengi kunapunguza hatari ya kupatikana na ugonjwa wa saratani ya kibofu cha mkojo,kulingana na utafiti.Katika utafiti uliochapishwa katika jarida la saratani,Watafiti kutoka chuo kikuu cha Montreal wamebaini kwamba ikilinganishwa na wanaume walio na mpenzi mmoja katika maisha yao yote, kulala na zaidi ya wanawake 20 kunapunguza uwezekano wa kupatikana na ugonjwa huo kwa asilimia 28.

Wanaume 3,208 walishiriki katika utafiti huo ambapo kati yao Wanaume 1,590 walipatikana na ugonjwa huo kati ya Septemba mwaka 2005 na Agosti mwaka 2009.
Kwa jumla watafiti hao walibaini kwamba wanaume wenye saratani ya kibofu cha mkojo kuna uwezekano mara mbili kwa wao kuwa na watu wa familia zao wenye saratani.

WAZUNGU MAMBURULA WAMELOGWA

$
0
0

At Bold & Naked Yoga (pictured), it is not about being naked for naked's sake yet about 'finding the strength to expose your vulnerability and connect to yourself and others on the deepest level'
At Bold & Naked Yoga (pictured), it is not about being naked for naked's sake yet about 'finding the strength to expose your vulnerability and connect to yourself and others on the deepest level'

As the studio writes on its website: ‘While many equate being naked with sex, this couldn't be further from the truth in a naked yoga class. It's about being comfortable in your own skin and the amazing confidence that comes with it.
‘Practicing yoga naked frees you from negative feelings about your body and allows [you] to be more accepting and deeper connected with yourself and the world around you.’


The studio offers $25 naked yoga classes in a co-ed format, as well as those that are segregated by gender. It also offers fully-clothed classes and teacher training programs in tantric ‘yogassage.’
The naked instruction courses do not allow observers or photography, and students must sign a liability waiver before entering the class.
Much like in fully-clothed yoga classes, Bold & Naked, which is the brainchild of co-owner Joschi Schwarz, says that students should expect for teachers to hand-administer postural corrections. Partner work is also sometimes involved in the classes’ vinyasa flow sequences.
The class, introduced the Bold & Naked studio in Chelsea, is supposed to provide students with a new way to focus on celebrating their bodies and is not intended to be sexually evocative
The class, introduced the Bold & Naked studio in Chelsea, is supposed to provide students with a new way to focus on celebrating their bodies and is not intended to be sexually evocative

The studio offers $25 naked yoga classes in a co-ed format, as well as those that are segregated by gender. It also offers fully-clothed classes and teacher training programs in tantric ¿yogassage'
The studio offers $25 naked yoga classes in a co-ed format, as well as those that are segregated by gender. It also offers fully-clothed classes and teacher training programs in tantric ¿yogassage'


But according to the studio, none of this body-to-body contact is meant as ‘sexual touching and should any contact of sexual nature occur, it will not be tolerated and will result in the offending member being asked to leave.
‘Anyone who has been asked to leave will not be allowed back to attend classes in the future.’
Bold & Naked has actually firmly stated on their site (in capitals, no less): ‘IF YOU ARE LOOKING FOR AN ORGASM, YOU ARE IN THE WRONG PLACE.’
To those looking for a peep show, they say: ‘Don't waste your time. The energy in the room is very clear and members who come to Bold & Naked are very focused on celebrating their bodies through yoga.’
But due to yoga’s sweaty, heart rate-enhancing nature, bodily functions can sometimes interfere in the course.
Vanessa Kennedy, a naked yoga class attendee (pictured at the back), told Reuters: 'When we're naked, it's like we're all the same'
Vanessa Kennedy, a naked yoga class attendee (pictured at the back), told Reuters: 'When we're naked, it's like we're all the same'

Joschi Schwarz, co-owner of Bold & Naked and yoga instructor, speaks to his class before the start of their yoga session in New York
Joschi Schwarz, co-owner of Bold & Naked and yoga instructor, speaks to his class before the start of their yoga session in New York

The studio says that erections during the class do occur, but happen ‘rarely'.
They encourage that ‘when it does it's okay and nothing to be embarrassed about. It will pass quickly. 
‘Yoga moves a lot of energy throughout the body and sometimes erections happen. But once we start moving, there is no way an erection could be sustained, because of the physical nature of Vinyasa Yoga.’
Naked yoga has become increasingly popular in the United States since the 1960s, when it was a component in the hippie movement.
In 1975, the short documentary titled Naked Yoga was nominated for an Academy Award in the Best Documentary, Short Subjects category.
The practice of naked yoga, which is called ‘nagna yoga’ in Sankskrit, has been in spiritual rotation since ancient times, and is still practiced by religious figures in India

VIJANA HAKUNA PESA ZA HARAKA.FANYENI KAZI KWA BIDII.ACHENI KUWA MABEGI

$
0
0
picha inajieleza yenyewe tuungane kuyapiga vita kwa pamoja mimi wewe na yule.
Hivi ndio huwa mambo yanavyokuwa kwa wabebaji wa madawa ya kulevya(maarufu kwa jina la Punda)  ni hatari sana kwa afya ya Binadamu, kijana tuungane kwa pamoja kupinga biashara hii haramu na hatari sana tukishirikiana kwa pamoja  na Serikali kwa pamoja tunaweza kutokomeza madawa haya haramu na hatari sana kwa jamii yetu. 
Hii ni picha ya x ray inayoonesha ndani ya tumbo madawa aliobeba.
Yanavyoweza kuathili baadhi ya sehemu katika mwili.
Operation ikifanyika tayari kuyaondoa madawa hayo yaliompelekea kijana huyu kufariki.
Operation ikiendelea hatari sana ndugu zangu.
Baada ya utumbo kutolewa tayali kuanza kuyatoa madawa hayo.
Kama uonavyo yakiwa ndani ya utumbo mpana.
Yakianza kutolewa pamoja na kushafishwa jinsi unavyoona katika picha.
Baada ya utumbo kuchanwa tayari kwa kutoa keti hizo.
Kabla mtu ajazimeza zinakuwa hivi sasa ebu fikilia mtu anameza kete elfu 5 jamani hii ni hatari .

HAWA WAMAMA WANAFUNDISHA NINI WATOTO WAO?

$
0
0

MBEBE MBURULA KUTOKA MAJUU ATIA AIBU

UTANDAWZI UNAHARIBU XANA TAMADUNI ZE2

HUWEZI KUAMINI HUYU NI MWANAUME! JIONEE MWENYEWE HAPA...

$
0
0
Neno moja tu kwake tafadhali....

LE MAJANGAZZ: MAMBURULA BILA AIBU WAKIENDELEA NA YAO

ANGALIA PICHA ZA WABEBES WAKALI,BONGO MTASUBIRI SANA

$
0
0
photo

photo
photo

photo

photophotophotophoto

photo

photo

Fathima Kulsum Zohar Godabari who was once a royal Princess is now an official Queen in Saudi Arabia.

She was recently photographed without niqab covering her face and the pictures were published on the internet, exposing her beautiful facial features to the world for the first time.

Since the release of the pictures, many have argued her to be the most beautiful woman on earth.
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live