↧
ANGALIA PICHA CHUI ALIVYOOKOLEWA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA
↧
HOFU KUBWA YATANDA CCM!
.
Mwenyekiti wa CCM, D.r Kikwete makamu mwenyekiti Philip Mangula (katikati) na waziri mkuu Mizengo Punda wakifuatilia jambo. Tuhuma ambazo wamekuwa wakimhusisha nazo ni pamoja na ufisadi, matumizi ya fedha katika kutafuta uungwaji mkono na uanzaji kampeni mapema, mambo ambayo yamewekewa zuio na CCM na hivyo kuwafanya wanaomjengea hoja za kukataliwa kushikilia silaha hiyo kwa lengo la kumdhoofisha matumaini ya kupitishwa na vikao vya chama
WAKATI jina la waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa likitajwa kila kona katika kinyang’anyiro cha kusaka nafasi ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), saa 48 zimesalia kufahamu kuwa jina la mgombea huyo litakatwa au halitakatwa katika mchujo wa kwanza, Uwazi linashuka nayo.
Waziri mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa. Duru za kisiasa nchini zinauangazia mkutano unaowahusisha wajumbe 32 wa Kamati Kuu (CC) ya chama hicho utakaofanyika keshokutwa (Alhamisi) kuwa ndiyo utakaotegua kitendawili cha wagombea gani watapenya kwenye hatua ya Tano Bora na majina yao kupelekwa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) kwa ajili ya kupigiwa kura ya awamu ya pili.
ITAKAVYOKUWA
Muongozo wa kumpata mwakilishi wa nafasi ya urais kupitia CCM unaonesha kuwa, majina ya wagombea watano yatakayopitishwa na CC yatachekechwa tena na Nec na kuwapata wagombea watatu ambao watakwenda kupigiwa kura na wajumbe wa Mkutano Mkuu ambapo mshindi mmoja atapatikana na kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
ANAKATWA, HAKATWI YA LOWASSA INATOKA WAPI?
Pamoja na kuwa ndiye mgombea anayeonekana ana nguvu kwa kuungwa mkono ndani na nje ya chama chake, Lowassa amekuwa katika msukosuko mkubwa wa kisiasa kutoka kwa mahasimu wake ambao wamekuwa wakifanya kila linalowezekana kuhakikisha kwamba mwanasiasa huyo hapewi nafasi ya urais.
Hata hivyo, wanaomuunga mkono pamoja na Lowassa mwenyewe wamekuwa akipuuza madai hayo huku wakiwataka wanaoshabikia mambo hayo kuweka ushahidi wa kutosha juu ya madai yao, la sivyo waache kufanya siasa za maji taka.
“Nimekuwa mwana CCM tangu mwaka 1977 nilipomaliza chuo kikuu, sijawahi kufanya kazi nje ya CCM. Hivyo nakijua chama na hakuna mgombea atakayeweza kuvunja rekodi ya utendaji wangu katika chama. Sasa leo anayetaka kukata jina langu anatoka wapi? Anakata kwa sababu gani?

AKIKATWA ITAKUWAJE?
Mmoja kati ya wafuasi wa Lowassa, ambaye amekuwa akijipambanua pia kuwa ni msemaji wake, Hussein Bashe amewahi kunukuliwa akisema: “Kama CCM watamkata Lowassa kwa hila watarajie kukutana na nguvu za umma.”
Ingawa Bashe hakufafanua zaidi nguvu ya umma itafanya nini na kwamba mgombea wao atafanyaje jina lake likiondolewa lakini duru za kisiasa zinaonesha kuwa huenda chama hicho kikapata mtikisiko mkubwa kutokana na kile kinachotajwa kuwa ni Lowassa kuwa na mtaji mkubwa wa watu wanaomuunga mkono.
Katika safari yake ya kusaka wadhamini, mgombea huyo amekuwa akitikisa kwa kupata mapokezi makubwa karibu katika kila mkoa aliyokwenda ambapo ameweza kujikusanyia zaidi ya wadhamini laki nane, ingawa wanaohitajika na chama ni 450 tu kutoka katika mikoa 15.
Kama ilivyo kwa jina lake kuondolewa, Lowassa bado anakiweka njia panda chama chake kutokana na kuwepo kwa makundi ndani ya chama hicho ambayo yanaonesha kuwa hayako tayari kumuunga mkono katika safari yake ya kuingia ikulu.
Yeye waziri mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye ameshatangaza mgogoro na chama chake endapo jina lake litaondolewa na kwamba yuko tayari kukihama chama hicho kama dalili za kuwapendelea anaowaita mafisadi zinavyoonekana.

Mtazamo huu, huenda ukaathiri umoja wa CCM tofauti na miaka ya nyuma endapo chama kitaamua kumpitisha mgombea ambaye wenzake wanamchukulia kama mtu asiyefaa kupewa nafasi hiyo, mwenyekiti wa chama na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.
SAA 48 ZIKO KWA HAWA
Pamoja na mitazamo yote, wajumbe wa kamati kuu ambao macho na masikio ya wengi yanawatazama na kusikia uamuzi wao kesho kutwa ni hawa wafuatao:

Wengine ni Mohammed Seif Khatib, Zakhia Hamdan Meghji, Asharose Migiro, Sofia Simba, Sadifa Juma Khamis, Abdallah Majura Bulembo, Jenista Mhagama, William Lukuvi, Pindi Chana, Jerry Silaa, Adam Kimbisa, Shamsi Vuai Nahodha na Hussein Mwinyi.
Mbali na wajumbe hao, wapo pia Maua Daftari, Samia Suluhu, Salim Ahmed Salim, Makame Mbarawa na Hadija Abood. Hata hivyo, katika kikao cha kuchuja majina hayo, wagombea waliotangaza nia hawataruhusiwa kuingia kwenye uteuzi wa majina.
↧
↧
ALI KIBA AMPA ZA USO JOKATE HUWEZI KUAMNI MANENO ALIYOYATOA SIJUI KWANINI MAPENZI YAPO HIVI

Rumors about a possible romance started when photos of the star kissing the popular Television star went viral. Ali Kiba now claims that Jokate, who is also Diamond Platnumz’ former lover, is but a close friend.
“Jokate is just one of my best friends. We have nothing going on between us,” he told Word Is.
When probed further, he added, “Like I’ve just told you, Jokate is my best friend and I believe it’s simply natural for friends to show affection for one other. I chose to show my affection to her through a kiss. Or are friends not supposed to kiss? Can’t you kiss your friend?”
↧
KWELI DIAMOND ANA BAHATI SANA KUMPATA ZARI MTOTO ANA MGUU MZURI HATAR SIO KAMA MICHACHU YA WEMA. JIONEE HAPA
I f you want to know how Diamond Platinumz he is a real luck guy just looks whats he manage to take this huge opportunity every man dreams!!. He was started music few years ago but he got a lot of success in music and outside music industry by involving in relationship with Hot
Diva in east africa, The numbers don't lies from Jokate, Penny, Uwoya, Wema and Zari and why you can not say he is very luck!! OK may be i forget to add one thing and he made a lot of millions too (oooh yes money talks).
Diva in east africa, The numbers don't lies from Jokate, Penny, Uwoya, Wema and Zari and why you can not say he is very luck!! OK may be i forget to add one thing and he made a lot of millions too (oooh yes money talks).
↧
KITUO CHA ITV KWENYE TUHUMA NZITO.
Kituo maarufu cha televisheni cha ITV daima kinachomilikiwa na mfanyabiashara Reginal Mengi,Kimeingizwa kwenye tuhuma ya kutoonesha habari yoyote ya mikutano ya chama cha ACT Wazalendo toka kuanza kwa awamu ya pili ya mikutano hiyo,Mikutano iliyotajwa kuto onekana taarifa zake niya mikoani Mbeya,Tabora,Shinyanga na Dar es Salaam mwembe yanga jumamosi iliyopita.Haijafahamika sababu ni ipi,Ikumbukwe kwamba kiongozi wa ACT Zitto Zuberi Kabwe alituhumiwa kupeleka habari kwa muheshimiwa rais kwamba Reginal Mengi amesema rais atakapo maliza muda wake atamshuhulikia gazeti la taifa leo liliandika hivyo,Habari hiyo ilimfanya mmiliki huyo akionekana kwenye vyombo la habari akihofia usalama wake na kumuomba rais atoe kauli yake.
↧
↧
UNYAMA WA KUTISHA SONGEA! ACHAKAZWA SURA KWA MAFUTA YA MOTO NA MKE MWENZIYE BILA HURUMA!

“Dunia imeharibika na binadamu hawana upendo wamegeuka kuwa na tabia kama za wanyama kila kukicha…” hiyo ni kauli yake Rehema Gwaya (41) mkazi wa Barabara ya Sokoine, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
Inadaiwa aliyefanya unyama huo ni mke wa shemeji yake baada ya kutokea sintofahamu ya usafi wa mazingira ya nyumbani kwao, kama anavyojieleza:
“Tukio limetokea mwishoni mwa Mei nikalazwa mwanzoni mwa Juni hadi sasa Julai ambapo Daima Said (13) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Luseti ninayeishi naye aligombana na mke wa shemeji yangu, Zefania Chimgege, chanzo kikiwa ni suala la usafi wa mazingira kwani mama huyo alipaswa kwenda kusafisha choo akakataa kukawa na mzozo mkubwa.
“Mzozo huo ulitokea mimi nikiwa sipo, nilikuwa kwenye biashara zangu, niliporudi nyumbani nilimfuata mama Chimgege ili anipe maelezo, ghafla akanivamia na kuanza kunishambulia kwa maneno makali yaliyoambatana na matusi.![]()

Akimnyonyesha mwanaye.“Wakati huo mume wake alikuwa anachoma maandazi kwa ajili ya biashara yake, wakati naendelea kutafakari kauli chafu alizozitoa dhidi yangu, nilishitukia nikimwagiwa mafuta ya moto usoni, papo hapo nilianguka chini jambo lililompa nafasi mama huyo kunikalia na kuanza kunichuna ngozi iliyobabuka.
“Nilipoteza fahamu na kujikuta nipo Hospitali ya Mkoa Songea, nimelazwa wodi ya wanawake nikiwa na majeruhi usoni na kwenye matiti, hivyo naendelea kupata matibabu.
“Nawaomba Watanzania wenye mapenzi mema kunisaidia kwani kwa sasa siwezi kufanya shughuli yoyote kutokana na kuuguza majeraha ya moto ambayo yana maumivu makali na hapa nilipo nina mtoto mdogo wa miezi tisa ambaye ananyonya.
Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Serikali ya Mkoa Songea, Dk. Benedikto Ngaiza amethibitisha kumpokea mgonjwa huyo ambapo alisema anaendelea kupatiwa matibabu.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, ACP Mihayo Mikhela amekiri kutokea kwa tukio hilo na amethibitisha kuwa mtuhumiwa anashikiliwa wakati upelelezi unaendelea.
↧
TANZANIA NCHI PEKEE INAYOONGOZA KWA DHARULA DUNIANI .
↧
NAY WA MITAGO WILL PANIC AFTER SEEING WHAT SHAMSA IS DOING HERE WITH THIS JAMAA
↧
BAUNSA WA DIAMOND AWA WAKWANZA KUMTAKIA HAPPY BIRTHDAY MAMA WA MSANII HUYO KABLA YA BOSS WAKE.
Leo ikiwa ni siku ya mfanano wa kuzaliwa wa msanii Diamond Platnum hadi sasa msanii huyo ajasema chochote.Baunsa wake Diamond anayejulikana kwa jina la Mwarabu fighter na kaka yake Rommy Jons wameshafanya hivyo.Miaka ya nyuma kila siku kama ya leo msanii huyo alikuwa akimnunulia gari mama yake huyo kipenzi,Hatujui leo atapewa zawadi ipi kubwa zaidi.
↧
↧
THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY /ALHAMISI 07/07/2015 LIVE!!
↧
MSANII WA FILAMU AKONDA BALAA BAADA YA KUACHIKA.
Inni Edo mwanadada mrembo na mwigizaji wa filamu nchini Nigeria ameachika kwa kuomba taraka kutokana na manyanyaso ya kutopata mtoto kwa miaka sita ndani ya ndoa.Afya yake imepungua kwa kiasi kikubwa na kubaki modal.Tetesi za kuvunjika ndoa yake zilivumishwa sababu ikiwa kumsaliti mme wake lakini mwenyewe alikiri sababu ya kutoshika mimba.
↧
LE MAJANGA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU ABADILI JINSIA YAKE.
↧
KAJALA AMEPONA TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI!
Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. MIEZI michache baada ya Kajala Masanja kugundulika kuwa na ugonjwa wa uvimbe kwenye kizazi, meneja wa msanii huyo, Leah Richard amesema hivi sasa yupo sawa kufuatia upasuaji wa mafanikio aliofanyiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
“Kajala kwa sasa yupo fiti na tatizo la uzazi limeisha, hivyo mashabiki wake wasiwe na wasiwasi kabisa kwani atarejea kazini kuendelea kuwapa burudani,” alisema meneja huyo baada ya simu ya msanii huyo kukosekana hewani.
↧
↧
WATOTO’ WA DIAMOND PLATINUMZ WARUDISHWA SHULENI!


↧
MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AJIANDIKISHA MSOGA

Mwandikishaji Msaidizi katika kituo cha kupiga kura kituo cha Afya Msoga Bi.Happyness Thomas Misana akimkabidhi fomu Mbunge wa Chalinze Mh.Ridhiwani Kikwete wakati mbunge huyo alipojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura leo.

↧
PICHA ZA KIHASARA MTANDAONI: Aunt LULU
Mtangazaji na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Lulu Mathias ‘Aunty Lulu’ amewashangaa wanawake wote ambao wamekuwa wakimtukana kila anapoweka picha zenye mikao ya kihasara kwenye mtandao ya kijamii na kusema endapo wataendelea atawachukulia mabwana zao.
Akizungumza na Tanuru la Filamu, Aunt Lulu alisema kwamba wanawake ndiyo wanaongoza kumtukana kila akiweka picha za kuonyesha jinsi Mungu alivyolia kumuumba na kumpa mapaja yenye ushawishi kwa kila anayeyaangalia awe wa kike ama wakiume.
“ Mungu amenijalia kuwa na hips nzuri , makalio makubwa na muonekano mzuri kwa watu sasa kwa nini wananitukana kana kwamba ninawabebea mabwana zao na endapo wataendelea nitafanya hivyo ili waseme vizuri kwani nimechoka kusemwa kwani nina uhuru wa kuweka picha yoyote ilimradi haivunji maadili ya Kitanzania,” alisema Aunty Lulu.
Alisema kamwe hataacha kufanya hivyo kwani yupo huru na anajua nini anakifanya na si kuongozwa na watu tena wanawake wenzake ambao kwa kiasi kikubwa wamejaa wivu kuliko wanaume.
Tanuru la Filamu
↧
THE MAGAZETI YA BONGO LEO WEDNESDAY /JUMATANO 8/7/2015 LIVE!!
↧
↧
WEMA SEPETU NA OMMY DIMPOZ WAFANYA KWELI.
Kisa cha Diamond na Ommy Dimpoz kununiana cha zidi kupamba moto baada ya Diamond kuona picha hizi.Wema Sepetu amekuwa karibu na Ommy kupitiliza wametoana dinner na kufuturu pamoja.Huku wakiacha roho ya Diamond juu juu,Urafiki wa wasanii hao unazidi kuingia mdudu hadi kwenye kutosaidiana kazi za kisanaa.
↧
MSANII ANENA MAKUBWA KUHUSU MTANDAO WA INSTAGRAM.
↧
LE MDADAZ LULU MICHAEL ALETA MAFURIKO KWA WANAUME WAROHO.
↧