Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

ZITTO KABWE ADHIHILISHA NI TIMU EDWARD LOWASA.

$
0
0
Chama cha ACT Wazalendo kimekuwa kikidaiwa kufadhiliwa na mwanasiasa mgombea urais Edward Ngoyai Lowasa.Hii ni moja ya kithibitisho uhusiano wa kiongozi mkuu wa chama hicho na waziri huyo mstaafu.


JAJI WARIOBA AWASIHI WATANZANIA KUFATA HAYA KIPINDI CHA UCHAGUZI.

EDWARD LOWASSA ASUKIWA ZENGWE ILI JINA LAKE LIKATWA URAIS 2015

$
0
0
Wakati joto la uchujaji wa majina ya wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likizidi kuongezeka, taarifa zimezidi kuzagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba, mikakati ya kumuondoa Edward Lowassakwenye orodha ya watia nia nayo imezidi kupamba moto.
Ofisa mmoja wa CCM makao makuu mjini hapa, alisema kuwa wanachofanya wao kama watendaji ni kuandaa majina ya wagombea wote na fomu zao za udhamini na kisha kukabidhi kwa sekretarieti itakayopanga ajenda za vikao vya Kamati Kuu na baadaye Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya taifa.

Ofisa huyo alipoulizwa kama ana taarifa za kuwako kwa mizengwe dhidi ya Lowassa alisema kwa ujumla kwa sasa kuna maneno mengi sana yanazungumzwa juu ya mchakato wa uteuzi wa mgombea, ila akasisitiza kuwa la msingi ni kusubiri vikao vya maamuzi.

“Ndugu yangu ukiyatazama haya makundi (ya urais) ni vigumu kuamini kama wanatoka chama kimoja. Yaani kuna kukamiana kweli kweli…Kila mmoja anataka kumwangusha mwenzake ili yeye apite,” alisema na kuongeza kuwa:

“Hata kama kuna mizengwe, si unajua uchaguzi huu ni wa vyama vingi. CCM haishindani pekee yake, kwa hiyo mgombea anayekubalika ndiye anatakiwa.”

Hata hivyo, kwa muda sasa kumekuwa na mfululizo wa habari za kupikwa kwamba jina la Lowassa litaishia Kamati Kuu kwa madai kwamba kuna ushahidi wa matumizi ya fedha kwa timu yake, tuhuma ambazo binafsi (Lowassa) amezikanusha mara kadhaa.

Julai mosi mwaka huu siku anarejesha fomu za kuwania urais kupitia CCM alitoa changamoto kwa yeyote mwenye ushahidi wa kuhusika kwake na rushwa ajitokeza na kusema alitoa lini, wapi na kwa nani.

Lowassa alisema amechoka kwa tuhuma za kipuuzi za kuhusishwa na rushwa na kusisitiza kuwa hakuna mwanachama yeyote miongoni mwa zaidi ya nane waliomdhamini aliyefanya hivyo kwa kishawishi cha fedha au fadhila yoyote.

Mgombea anayetajwa kutumiwa zaidi na kundi linalompinga Lowassa ni pamoja na Makongoro Nyerere, ambaye alifanya mkutano na waandishi wa habari hivi karibuni na kuporomosha kauli kali za ukakasi dhidi ya Lowassa.

Wakati mizengwe ikizidi kusukwa dhidi ya Lowassa, ripoti ya kura zote za maoni ambazo zimekuwa zikitolewa katika miezi ya hivi karibuni zimeonyesha kuwa Lowassa anaongoza kwa mbali kama chaguo la wananchi wengi kwenye nafasi hiyo.

Miongoni mwa tafiti hizo ni ule wa Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia (REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, uliofanywa mwezi uliopita na matokeo yake kutolewa mwishoni mwa wiki unaonyesha kuwa Lowassa ni changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia asilimia 27.0 ndani ya chama hicho, huku Bernard Membe akishikilia nafasi ya pili kwa kupata asilimia 8.2.

Katika utafiti huo ambao REDET walisema kuwa unaweza kuchukuliwa kwa ujumla wake kama maoni ya Watanzania endapo masuala yaliyoulizwa uchaguzi ungefanyika katika kipindi cha utafiti, wahojiwa walikuwa 1,250 kutoka wilaya moja moja katika mikoa 25 ya Tanzania Bara.

Wakati mkakati wa mizengwe ukiendelea kupamba moto, wajumbe wa sekretarieti ya Kamati Kuu ya chama hicho wanaanza vikao mjini Dodoma leo kundaa pamoja na mambo mengine ajenda na taarifa kwenye vikao vya Kamati Kuu itakayokaa Alhamisi mjini hapa.

Kikao cha Kamati Kuu kinatarajiwa kuchuka majina ya watia nia 38 waliojitokeza kutafuta ridhaa ya chama hicho na kubakisha majina matano tu yatakayopelekwa NEC kwa kupigiwa kura.

NEC inayotarajiwa kukutana Ijumaa wiki hii, itatoa majina matatu kwenda Mkutano Mkuu unaotarajiwa kukutana Jumamosi kwa ajili ya kupata jina moja la mgombea urais wa CCM katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

LADY J DEE ADAI HADI HONGKONG KUNA WASHAMBA.

$
0
0
Komando wa  kike kwenye muziki wa kizazi kipya Lady J Dee ambaye kwa sasa yupo matembezini nchini Hongkong,Amekuwa akishobokewa na raia wa mji huo kupiganae picha japo hawamfahamu.Mashabiki hao wamekuwa wakifurahia picha hizo na kuweka mapozi ya mwaka arobaini na saba.

LE MAJANGA MWISHO WA DUNIA MSANII WA KIKE ANA MPENZI WA JINSIA YAKE.

$
0
0
Queen Latifah mwimbaji wa kufoka nchini Marekani na mcheza filamu akiwa na girlfriend wake wakienda mapunzikoni.Hii ni baada ya taifa hilo kupitisha sheria ya ndoa za jinsia moja.


KIMENUKA DODOMA:- ALLAN HALID KILUVIA:- "APSON ANAWATUMIA KINA BASHE KUMCHAFUA MEMBE NA GOTHAM" LIVE!!

$
0
0

 
Senior Member - Jamiiforums

 Nimeliona andiko la kumchafua Waziri Membe na Jack Gotham ESCROW: Bernard Membe anapofanya juhudi za kuiangusha serikali yake, lakini nataka niwahakikishie tu kwamba halina chembe ya ukweli hata kidogo.


1.Ni kweli Jack Gotham yupo Dodoma na tumekuja pamoja kwenye msiba wa baba yake mdogo marehemu mzee Adolf, tumeingia Dodoma Alhamis usiku saa 6 na tukapitiliza msibani tukakaa mpaka saa 8 usiku ndipo tuliporudi hotelini kujipumzisha.

Jana Ijumaa asubuhi na mapema tumedamka kwenye maandalizi ya asubuhi pamoja na matayarisho ya Ibada ambayo ilituchukua muda mpaka saa 11 jioni ndipo tulipoelekea makaburini kupumzisha mzee Adolf na kutoka makaburi ya eneo la Kikuyu mnamo saa 1 kasoro.

Saa 2 tulikuwa Dodoma Carnival kwa ajili ya chakula tukiwa watu zaidi ya 10 tuliotoka msibani pasipokuwepo na mwanasiasa yoyote katika jumuiko letu.Tumetoka huko saa 5 usiku na kurudi mahotelini.

Najiuliza ni muda gani matukio yote hayo yaliyotajwa yametokea kwa aina hiyo ya shughuli tangu juzi?Ni fabricated story yenye lengo mahsusi ya kutaka kuharibu mahusiano ya muda mrefu ya watu.

Ukweli uliopo ni kwamba yanayozungumzwa ni siasa chafu za kundi la Lowassa linaloongozwa na Apson Mwang'onda aliyekuwa Dg wa Tiss miaka ya nyuma.Hii ni baada ya kugundua kwamba sakata la Escrow litawageukia maana limegusa baadhi ya watu wao kama vile Andrew Chenge.

Pia jiulizeni je wanaoshabikia Escrow isomwe bungeni ni wapambe wa nani?Kangi Lugora,Deo Haule Filikunjombe na Peter Serukamba wanajulikana wazi ni watu wa Lowassa na sio Membe.Wanakosa hoja wanabaki kutengeneza hekaya za kumchafua Membe na Jack Gotham.

Apson Mwang'onda anapaswa aache kuwatumia kina Bashe kufanya na kueneza ujinga huu maana ataumbuka.Asifikiri anamharibia Membe au Jack zaidi wanajiharibia wao na mtu wao.Asitake tuongee ambayo yamebaki kuwa siri kwa nia ya kuepuka mivurugano ndani ya chama na serikali.

Akizidi kujilea katika umri wa ujinga wa uzeeni tutamlipua kabla hata hawajafikiria kumwambia mgombea wao aghairishe kuchukua fomu.

POZI LA NAPE NNAUYE LA KUTOA HUKUMU LAZUA UTATA.

$
0
0
Nape Nnauye katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi akiwa amesimama pozi la kibosi akikagua kazi ya maandalizi ukumbi wa mkutano kikao cha kamati kuu.Kila mtangaza nia kwa sasa tumbo joto wakisubiri hukumu ya kukatwa majina 39 nakubaki moja.

ALIYEZAA NA NAY ANASWA NA KIDUME UGANDA

$
0
0




KABAANG! Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson amezua gumzo la aina yake baada ya kunaswa na ‘kidume’ kingine nchini Uganda.




Zilipendwa wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson.

Kwa mujibu wa chanzo chetu makini kilichowafuatilia wawili hao hatua kwa hatua, mpango mzima ulianzia jijini Mwanza ambapo Siwema alionekana akiwa na mwanaume huyo (jina halikupatikana mara moja) wakipeana kampani utadhani ni wapenzi.

Chanzo hicho kilizidi kumwaga ubuyu kuwa, wawili hao walipanda basi la Friends jijini Mwanza ambapo Siwema na mwanaume huyo walikuwa beneti nje na ndani ya gari.





Siwema akiwa na kidume hicho.Kilieleza kuwa, wakiwa mpakani Mtukula wawili hao walikuwa wakipiga stori, kula chakula na vinywaji pamoja ambapo walipofika Kampala, Uganda walikatiza mitaani na kufikia kwenye Hoteli ya HBT.
“Nimesafiri na Siwema na mwanaume wake huyo kutoka Mwanza hadi Kampala yaani ni mahaba niue, kwani hata pochi alikuwa amebebewa na huyo mwanaume na kule walifikia hoteli ya HBT, nami nilikuwepo hapo kama siku nne hivi nikaondoka na kuwaacha, naona waliamua kwenda kupumzika huko,” kilisema chanzo hicho ambacho hata hivyo, kilishindwa kuthibitisha kama wawili hao walilala chumba kimoja.




Wakikatisha mitaa.Baada ya kuzinyaka habari hizi paparazi wetu alimtafuta Nay wa Mitego ambaye ni mzazi mwenzake na kumweleza kuhusu hilo ambapo alisema mwanamke huyo siyo mkewe hivyo anao uhuru wa kuishi vile anavyojisikia.
“Nimesikia hizo habari, mimi sidhani kama kuna tatizo kwa sababu kitu muhimu kwangu ilikuwa ni mtoto ambaye tayari ninaye, kwake imebaki stori, mawazo yangu hivi sasa ni jinsi ya kumlea mwanangu na si vinginevyo,” alisema.

Alipotafutwa Siwema ili kusikia anazungumziaje picha hizo zilizonyetishwa na chanzo chetu, simu yake haikuwa hewani. Jitihada zinaendelea.
Siwema na Nay wa Mitego walikuwa ni wapenzi wa muda mrefu na walijaaliwa kupata mtoto mmoja ambapo miezi kadhaa iliyopita walimwagana baada ya Nay wa Mitego kumfumania mwanadada huyo na mwanaume mwingine...

WEMA SEPETU AND OMMY DIMPOZ SHARES PHOTO WITH US...

FAMILY TIME MKURUGENZI WA MAUZO THE DOUBLE TREE HITLON HOTEL LIVE WITH MOTHER AND SISTER!!

$
0
0
Mkurugenzi wa Mauzo at the Double Tree Hilton Hotel, akiwa na Dada yake pamoja na Mama yake mzazi live at the beach this weekend!!




TUNAKULETEA MGOMBEA UBUNGE WA MOROGOR KUPITIA CHAMA CHA ACT ZA WAZALENDO

$
0
0

Leo Kwenye ukurasa wa Jamii Uchambuni wa Watanagaza nia ya Wagombea Ubunge  Tunakuletea Mgombea Ubunge Morogoro Kupitia Chama cha ACT Afande Sele.Msani huyu wa Muda mrefu Kutoka Mkoani Morogoro amekuwa na Shahuku ya Muda Mrembo ya Kuliongoza Jimbo la Morogoro.Uchambuzi wetu wa leo je Mgombea huyu ni Mtu sahihi kuliongoza Jimbo la Morogoro??Nini matarajio ya wakazi wa Morogoro Kupitia Mgombea huyu??Hizi ni baadhi ya Picha za Matukio ya Mikasa Mbalimbali iliyowahi Kumkumba Mgombea huyu..

Afande Selle anawania kuwa mbunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha chama cha ACT Tanzania Hapa Akiwa Jukwani Nusu Uchi.HAPA KWA HARAKA HARAKA SI AKILI YAKE IMEMSUKUMA KUFANYA UCHAFU HUU MBELE  YA UMATI WA WATU.

Kwa jamii ya Tanzania hili sio tukio la kawaida huu ni Uvunjifu wa Maadili na  ni UHUNI,.Uchafu huu (Uhuni  huwa unafanywa na Vijana waliodondoka kwenye Matumizi ya Madawa ya Kulevya.Kwa Uhuni huu na Akili za Wavuta Bangi na Watumiaji wa madawa nini Matarayio ya Jamii anayoenda kuiongoza??Mbunge akiwa hivi je hiyo jamii inayoenda kuongozwa itafanana je?

Mgombe wa Ubunge Morogoro Kupitia chama cha ACT Afande sele

Madhara ya Bangi na Madawa ya Kulevya yaliomuadhiri Mgombea Ubunge wa Morogoro Kupitia ACT Afande Sele Ameamua kulichafua bUnge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Baada ya Kusema kuwa wabunge wengi wa Tanzania wanamfuata na kumuomba 'Mmea' (BANGI) wakidhania kuwa yeye bado anavuta.Hii itakuwa Aibu kubwa sana kwa Wakazi wa Morogoro kuongozwa na Mvuta Bangi.Upo Msemo unaosema Akili za Kuambiwa Changanya na zako.Kwa haraka haraka Ni Mbunge Gani wa Bunge la Tanzania unayeweza Kumfananisha na Mgombea Huyu wa ACT

Seleman Msindi Mbunge mtarajiwa Morogoro anayetarajia Kuwania Kiti Hicho kupitia chama cha ACT Wazalendo.Amepiga usingizi wa hatari nje ya mjengoni itakuaje akifika muda wa kuchangia miswada bungeni.Hapa hana Majukuku ya uongozi tayari Ameshajichokea na Kuamua Kuuchapa Usingizi Mchana Kweupe Itakuwa je Akipewa Madaraka ya Kuawongoza Wakaazi wa Morogoro.Jibu Unalo huenda Jimbo la Morogoro likapotea kabisa.Uongozi Ni Dhamana na si Uwezo wa Madawa ya Kulevya

SUPER STAR WEMA SEPETU! AGUNDULIKA NA GONJWA LA AJABU! MWENYEWE AFUNGUKA HAYA...

$
0
0
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu. Gonjwa hilo limegundulika hivi karibuni machoni mwa paparazi wetu baada ya kumuona mlimbwende huyo wa Tanzania mwaka 2006 akiwa na bonge la nundu nyuma ya shingo, jambo lililomfanya paparazi ashindwe kujizuia na kuamua kumuuliza Wema.

Habari mbaya ikufikie kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Endless Fame Films Productions ambaye yupo kwenye harakati za kuwania Ubunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, Wema Isaac Sepetu amegundulika kuwa na gonjwa la ajabu linalomsababishia kukosa raha ambalo linakua kadiri siku zinavyosonga.

Bila kupepesa macho Wema alisema kuwa ‘uvimbe’ huo upo mwilini mwake kwa zaidi ya miaka 26 sasa na umekuwa ukiongezeka siku hadi siku.
Wema alilazimika kufunguka zaidi baada ya paparazi wetu kumuona sehemu hiyo ikiwa imemvimba bila kujua kama ni tatizo lake la miaka yote.


SIKU YA KUZALIWA MAMA YAKE DIAMOND ,HIKI NDICHO ALOCHOSEMA DIAMOND KUHUSU BABA YAKE

LE MBEBEZ ALIYEFUNGASHA KULIKO WOTE AFRIKA YA KATI,MASHARIKI,KUSINI NA MAGHARIBI.

MKEKESHAJI WA UGANDA AFANYA KUFURU CLUB USIKU.


MZEE WA MIAKA 76 AFARIKI AKISHIRIKI TENDO LA NDOA NA BINTI WA MIAKA 18.

$
0
0
Mzee mmoja mstaafu wa uwalimu amefariki dunia wakati akiwa faragha na binti wa miaka 18.Haikufahamika mara moja sababu za kifo hicho madaktari wanaendela na uchunguzi wa kina.

Mashabiki Wampa MAKAVU Lucy Komba Baada ya Kuweka Picha Mtandaoni Akichezea Maungo yake Nyeti

$
0
0
Staa wa Bongo Movies aliehamishia makazi ughaibuni, Lucy Komba ambaye ameolewa na ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu walioishambulia picha yake hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye ukurasa wake mtandaoni.
Lucy alianza kwa kuweka picha hiyo ya kuchora ambayo ndiyo ilileta utata na kuibua majibizano ya maneno kati ya watu ambao waliona kuwa picha hiyo haina shida na wengine wengi wakisema picha hiyo haina maadili na ukizingatia yeye ni mke wa mtu.
“Mshamba anataka attention mke wa mtu huwez jichetua hvo hata kama umeolewa na mzungu” mchangiaje mmoja aliandika.
Baada ya vita kubwa ya maneno ndipo Lucy aliweka picha halisi ya mchoro huo na kuandika haya.
"Picha asilia hii hapa wale wenye midomo mipana wanaosema mimi nimeshika uke hapo nimeshika uke? 
"Pelekeni umbeya wenu na upashikuna huko, mke wa mtu nimeolewa na baba zenu mpaka awaume mwenye mke katulia tulii nyie ndo mate yanawatoka.

"Ndio nataka atenshen kwa baba ako kuku wewe, kama unaona vipi njoo uolewe wewe uvae mabaibui, naweka picha ninayotaka natoa ninavyotaka sijakuita hutaki jitoe sina muda tena wa kuanza kuchagua nimuache nani nimtoe nani jitoe mwenyewe kwa mshamba mimi."

MAMBO HAYA YAMESHAMILI SANA KWENYE MAOFISI MENGI MASEKRETARI WANAFANYA MBAYO HAYA KWA MAKUSUDI

$
0
0

Most city offices have been turned into s3x dens where bosses spend most of their free time exchanging fluids with their secretaries. But secretaries are to blame because they dress to kill with an intention of luring their bosses to s3x.
Below is a crazy video obtained from a Nigerian movie that shows the madness that happens in most offices. 



BREAKING NEWS : LOWASA APETA MAADILI, MEMBE MAKONGORO RAMADHANI HATI HATI

$
0
0

Taarifa za kutoka ndani za kikao cha Maadili kinachoendelea hivi sasa mjini Dodoma kimeonyesha njia Salama kwa baadhi ya Makada wa CCM na pia kuwa kichungu kwa Wengine. Makada wa ccm waliopeta kwa urahisi ni Edward Lowassa, Gharibu Bilal na Asha Rose Migiro. 
Makada walio kutana na kikwazo cha kamati ya Maadili ni Bernad Membe ambaye Amekutwa na tuhuma za Rushwa zisizo na kificho katika mtanange wa kusaka Udhamini. Taarifa ya Usalama na TAKUKURU ambao ni walikwa zimefanana bila hiana kwa Baadhi ya Wagombea ambao walidiriki kutumia Rushwa kupata wadhamini wameanikwa bila kificho mkoa kwa mkoa,  

SUPER STAR ZARI BOSS LADY ATUPIA PICHA MATATA ZA TUMBO LAKE KILIVYOKARIBIA

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>