↧
MAUWAJI YA KIKATILI YA POLISI PICHA ZINATISHA USIKU WA KUAMKIA LEO
↧
LOWASA NA CHADEMA MUDA HUU,HIKI NDICHO KINACHOENDELEA
Asubuhi ya leo kumeamka na story nyingi sana zikiwemo pia za mh LOWASA kuanza mazungumzo na mwenyekiti wa CHADEMA FREMAN MBOWE kwa ajili ya kujiunga nao,habari ambazo zimeanza kuenezwa na account ya facebook inayohisiwa kuwa ya msemaji wa chama kipya cha ACT wazalendo zinasema
kuwa mazungumzo hayo yanafanyika kwa ajili ya mh LOWASA kujiunga na chama hicho.Baada ya taarifa hizo kuenezwa naye msemaji wa CHADEMA akaibuka na kuzikanusha mara moja kwa kile alichosema kuwa ni uzushi na hazina ukweli,
BONYEZA HAPA KUONA ALICHOSEMA LOWASSA
kuwa mazungumzo hayo yanafanyika kwa ajili ya mh LOWASA kujiunga na chama hicho.Baada ya taarifa hizo kuenezwa naye msemaji wa CHADEMA akaibuka na kuzikanusha mara moja kwa kile alichosema kuwa ni uzushi na hazina ukweli,
BONYEZA HAPA KUONA ALICHOSEMA LOWASSA
↧
↧
ULINZI WAIMARISHWA NYUMBANI KWA Dk. MAGUFULI, UKAWA NA MGOMBEA WAKE

Ni Jumatatu nyingine tena na inawezekana uchambuzi wa magazeti leo Julai 13 umekupita. Nimekusogezea stori zote za magazeti kupitia @Clouds.Fm zikiwa na baadhi ya stori hizi kubwa.
Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli ateuliwa kuwa mgombea Urais kupitia CCM na ameahidi kutokukiangusha Chama hicho, huku akimteua Samia Suluhu Hassan kama mgombea mwenza.
Ulinzi wa nyumbani kwa Dk. John Magufuli umeimarishwa baada ya kutangazwa kuwa Mgombea Urais kupitia chama cha CCM, Viongozi wa Vyama vya upinzani UKAWAwasema hawatishwi na John Magufuli na wamejipanga kumtangaza rasmi mgombea wao wa Urais kesho.
SOMA YOTE BONYEZA HAPA
SOMA YOTE BONYEZA HAPA
↧
KWA UJUMBE HUU WA WEMA SEPETU MMMMH KWELI KAIPANIA DODOMA DALILI ZA MJENGONI ZILEEEE
↧
MAGUFULI ATAMBULISHWA KWA WAKAZI WA DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akihutubia wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM kwenye ukumbi mpya wa mikutano wa CCM ujulikanao kwa jina la Dodoma Convention Center.
Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiinua mikono juu ya mgombea wa urais kupitia CCM John Pombe Magufuli mara baada ya kumtangaza rasmi.
Baadhi ya wajumbe wakifuatilia kwa makini hotuba za viongozi wao
Mke wa Rais ya Jamhuti ya Muungano Tanzania Mama Salama Kikwete (kulia) akicheza muziki pamoja na mke wa mgombea uraisi kupitia CCM ,Janneth Magufuli.
Mgobea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Mhe.John Magufuli akihutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM na kuwataka kuendelea kushikamana .
Kila mtu alionekana mwenye furaha.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akimsalimu mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwainua mikono juu mgombea wa nafasi ya Urais John Magufuli na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan
Picha ya pamoja na meza kuu.
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.John Pombe Magufulu pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Mhe. Magufuli akiwapa mikono wananchi waliojitokeza kwa wingi kuja kumsalimia na kumuona mgombea huyo wa CCM.
Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu wananchi wa Dodoma kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Mgombea wa Urais wa CCM Mhe. John Magufuli akizungumza wakazi wa Dodoma ikiwa sehemu yake ya kwanza kujitambulisha kwa wananchi mara baada ya kutangazwa.
(Picha na Adam Mzee)
↧
↧
LOWASA AACHA UKIMYA ANDIKA HAYA MANENO MAZITO

Hii ndio sura ya Lowassa akionesha akiwa amekasirika katika kikao cha mkutano mkuu wa NEC ambao ulikuwa ukitaka kufanya mchujo wa wagombea watano baada ya kugundua kuwa yeye amekatwa.
.....hapa ni pale wajumbe walipokuwa wakiimba kuwa "ninaimaani na LOWASSA!!
BOFYA HAPA KUONA KAULI YA LOWASSA
.....hapa ni pale wajumbe walipokuwa wakiimba kuwa "ninaimaani na LOWASSA!!
BOFYA HAPA KUONA KAULI YA LOWASSA
↧
KAMATI KUU MWAKA 1986 ONA HAPA LIVE DODOMA HAPO CHINI YA MWALIMU KAMBARAGE!!
↧
NDIO MAANA HUWA NAYAOGOPA SANA MAKANISA FULANI HAPA MJINI SOMA HAPA MANENO YA MCHUNGAJI MBURULAZZZ!!
↧
THE MAGAZETI YA BONGO LEO MONDAY /JUMATATU 13/07 /2015 LIVE!!
↧
↧
CLOUDS MEDIA TIZAMA WALIKOTOKEA NA SHOW ZA KIINGILIO TSH. 1,000 LIVE!!
↧
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI AT AMERICAN ENGINEERING GROUP HAPA DAR!!
An International Engineering Company based in Dar-es-salaam is seeking local talents to fill four sales position of which two are in Renewable Energy and two in Industrial Engineering. All applicants will be going through a series of interviews. Qualified candidates should forward their CV’s to hr@aeg.co.tz
COMMISSION BASED SALES POSITIONS:
· To research sources for developing prospective customers and for information to determine their potential.· To establish, to develop and to maintain business relationships with current customers and prospective customers and to generate new business for the organization’s products/services.
· To make telephone calls and in-person visits and presentations to existing and prospective customers.
· To Develop clear and effective written proposals/quotations for current and prospective customers.
· To expedite the resolution of customer problems and complaints.
· To coordinate sales efforts with marketing, sales management, accounting, logistics and technical service
· To demonstrate products and services to existing/potential customers and assists them in selecting those best suited to their needs.
· Must be able to meet set sales targets
QUALIFICATIONS AND REQUIREMENTS:
· Must posses at least one year experience in the sales and marketing. Solar sales or industrial experiences preferred· Engineering/Marketing degrees preferred
· Possession of a post-secondary is a Must. University degree or equivalent
· MUST demonstrate aptitude for problem solving; ability to determine solutions for customers is preferred
· Must be result-orientated and able to work both independently and within a team environment.
· Must posses’ excellent verbal and written communication skills.
· Proficiency in using Microsoft Office Suite applications is preferred
· Must be proficient in both English and Kiswahili
· Must be authorized to work in Tanzania
↧
LE BIG SHOW HANGING OUT WITH STUDENTS FROM USA & SOUTH AFRICA AT TRIPPLE 7 CLUB LIVE!!
↧
BREAKIN NEWZZ!!:- HABARI ZA KUHUSU WAZIRI MKUU MSTAAFU NA HATMA YAKE YA KISIASA LIVE!!
Kabwena
Today 12:37
Member Jamiiforums
Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake.
Mwanasiasa Edward Ngoyai Lowassa ambaye yupo katika sintofamamu na chama chake CCM atazungumza na waandishi wa habari leo au kesho nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam iwapo atawahi kumaliza kikao na familia yake.
Taarifa kutoka kwa marafiki wa karibu wa mtoto wa Lowassa Fredy Lowassa ambaye alikuwa kiungo muhimu katika kampeni zake za kuelekea Urais kwa tiketi ya CCM zinaarifu kuwa Lowassa alianza kwa kufanya mazungumzo ya kina na familia yake huku katika kikao hicho Watoto wake wote wakihudhuria lakini pia wakwe zake akiwemo Sioi Sumari na kukubaliana baadhi ya mambo.
Mambo yanayodaiwa kukubaliwa na wanafamilia hao ni kwamba wawe tayari kumfuata katika chama chochote atakachoamua kuelekea, huku akishindwa kubainisha ni wapi atakapoelekea kwani alisisitiza kuwa hawezi kuhama au kutangaza uamuzi wowote pasipo kushauriana na marafiki zake wa karibu.
Hivi sasa waandishi wa habari wamefika nyumbani kwake Masaki hata hivyo wameombwa kuondoka na kuwa na subira kwani Lowassa bado anafanya mazungumzo na marafiki zake muhimu. mashuhuda kutoka eneo la tukio wanadai moja kati ya magari ya watu waliopo Nyumbani kwa Lowassa yameonekana kuwa ni yavmwenyekiti wa ccm wanawake taifa Sophia Simba, Lawrance Kago Masha, Adam Kimbisa, Emmanuel Nchimbi, Mwenyekiti wa vijana taifa ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Donge zanzibar Sadifa Khamis, Hussein Bashe, Absolomon Kibanda, Khamis Mgeja(mwenyekiti ccm Shinyanga) Msukuma(mwenyekiti ccm Geita), Na Mgana Msindai(mwenyekiti CCM Singida).
===================
UPDATE: 12:40hours
Lowassa kaahirisha kuongea hadi taarifa zaidi itakapotolewa.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida leo hii Edward Lowassa amewakera waandishi wa habari baada ya kuwaita nyumbani kwake Masaki.
Taarifa iliyotumwa kwa wahariri leo asubuhi ilikuwa inasema:
Habari za asubuhi wahariri, Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa ana Press Conference
leo Saa 5:00 nyumbani kwake Masaki.
Mnaombwa kutuma waandishi wa habari na kwa wale wenye fursa kufika. Good morning.
Lakini baada ya waandishi kufika nyumbani kwake wakakutana na tangazo kuwa kuwa ameahirisha kuzungumza na waandishi hadi hapo itakapo tangazwa tena.
Kitendo hicho kimewakera sana waandishi wa habari.
↧
↧
CCM NI NOMAAA ONA MASHATI YA KAMBI HII YA MGOMBEA NDIO KWANZA YAMESHUKA JANA TOKA CHINA LIVE!!
↧
UJUMBE WA MAGUFULI KWA MAFISADI "AMA ZENU AMA ZANGU" KIMENUKA CCM NI NOMAAAAAHHHH!!
↧
BREAKING NEWSS : LOWASSA AWATIBUA WAANDISHI WA HABARI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida leo hii Edward Lowassa amewakera waandishi wa habari baada ya kuwaita nyumbani kwake Masaki.
Habari za asubuhi wahariri, Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa ana Press Conference
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
BOFYA HAPA KUSOMA YOTE
↧
EMMANUEL NCHIMBI ATOA VIDEO AKIFUNGUKA TENA BAADA YA JANA KUGOMEA MATOKEO YA CCM
↧
↧
RITA PAULSEN NA FUNIKA YA ARUSHA SIKU YA KWANZA YA BONGO STAR SEARCH AUDITION PAMECHIMBIKA LIVE!!
↧
TAMKO LA NDUGU VICTOR TESHA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA UBUNGE WA MOSHI VIJIJINI 2015
↧
MREMBO AKLIYEDAI KUOZA NA PENZI LADIAMOND AJA NA MPYA,ATIMBA KWA ZARI

Nimeaminii kwelii uyu mwanamkee ni mzeee ajiamini.... etii kaona nimetangaza nia ya u Mrs Diamond kani block.... we demu ujiaminii live ni Rambo nini?... sasa ata ukiniblock bwanakoo ntampata tuu... namimi ntapikiwa na kubebewa mapochi... khaa kizuri kula na wenzio we kwanza sio mtz iweje ujimilikishe...
.. embu jiangalie unifikii ata nusuu uwoo weupe tuu.... kwanza mademu weupe sio ata watamu.... au waringia miguu... kwa mange alisema ni ugojwa.... au iyoo mimbaa..... sasa kama umembebea D mimba mie ntampa nyumaa tuone atamchagua nani.. unifii we we.... mie black beauty mi hasilia siweki mokope na situmii 360 siweki miywele.... bandia wala mikope kama wewe.... kwanza diamond upenda vitu asili.... mie mwepesi kitanda sioo wewe gogoo
Sijali mabaya mnayoyaonga kwangu Hata kama yatakuwa machungu na mazito kiasi gani,kumpenda mtu sio dhambi na wala sio kosa la jinai ila tu najua nachukiwa sababu nampenda mtu ambaye anapendwa na wengi sababu na jua miongoni kwa watu wanaonichukia na kunktusi kwa sababu ya D ndo hao hao ambao nafsi zao zinawauma na Kukereka pale ninapoeleza hisia zangu ila mimi hayo yote hayanitishi sababu haja ya moyo wangu naijua,na nyie mnaosema mimi natafuta followers kazaneni kusema lakini hakuna niliyemfata nikamwambia njoo kwangu ni kwa hiari zenu na bado mkiamua mnayo nafasi ya kuniufollow ili nisizidi kuwakera,sitaacha kumpenda D nampenda nampenda nampenda Hata kama sitakuwa nae ila kitendo tu cha yeye kujua kama nampenda basi kwangu ni faraja na inatosha,mchana mwema kwenu
.. embu jiangalie unifikii ata nusuu uwoo weupe tuu.... kwanza mademu weupe sio ata watamu.... au waringia miguu... kwa mange alisema ni ugojwa.... au iyoo mimbaa..... sasa kama umembebea D mimba mie ntampa nyumaa tuone atamchagua nani.. unifii we we.... mie black beauty mi hasilia siweki mokope na situmii 360 siweki miywele.... bandia wala mikope kama wewe.... kwanza diamond upenda vitu asili.... mie mwepesi kitanda sioo wewe gogoo
Sijali mabaya mnayoyaonga kwangu Hata kama yatakuwa machungu na mazito kiasi gani,kumpenda mtu sio dhambi na wala sio kosa la jinai ila tu najua nachukiwa sababu nampenda mtu ambaye anapendwa na wengi sababu na jua miongoni kwa watu wanaonichukia na kunktusi kwa sababu ya D ndo hao hao ambao nafsi zao zinawauma na Kukereka pale ninapoeleza hisia zangu ila mimi hayo yote hayanitishi sababu haja ya moyo wangu naijua,na nyie mnaosema mimi natafuta followers kazaneni kusema lakini hakuna niliyemfata nikamwambia njoo kwangu ni kwa hiari zenu na bado mkiamua mnayo nafasi ya kuniufollow ili nisizidi kuwakera,sitaacha kumpenda D nampenda nampenda nampenda Hata kama sitakuwa nae ila kitendo tu cha yeye kujua kama nampenda basi kwangu ni faraja na inatosha,mchana mwema kwenu
↧