Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

THE MUSIC PLANET JUMAMOSI HII TAREHE 18/7/2015 LEADERS CLUB WASANII 10 BONGO FLEVA KUPAMBANA LIVE!!


KWA FASHENI HIZI NI MAJANGAZ

$
0
0
Mambo yanaendelea kuvurugika kwa hiki kitu kiitwacho fasheni, hebu nambie ni kipi hasakinachovutia kwenye kivazi hiki?

MWANAFUNZI HUYU WA CHUO ABAKWA NA KUUWAWA KWENYE SHAMBA LA MIWA

$
0
0
desire mirembe


Desire Mirembe Jemimah, a Makerere University student was raped and murdered in the sugar plantations of Kawolo, Lugazi. The 20-year-old was pursuing a Bachelor of Science Degree in Speech and Language therapy.

According to friends, she had travelled to Jinja on Friday to spread the word of God. 
On Saturday night, she sent her mother a text message informing her that she was stranded in Jinja and needed some cash. That was the last time they communicated.   From Sunday evening, WhatsApp messages, accompanied with her photo have been making rounds on various WhatsApp groups sent by her OGs from Mt St Mary’s Namagunga and close relatives.
Friends and family had created a hashtag #FindDesire as a way of raising awareness about her missing.
desire mirembe2
The search for the missing young lady came to a tear-jerking end on Tuesday afternoon, after the news of Desire’s body being found broke. She was found dead at a morgue in Kawolo Hospital, Lugazi.
But contrary to earlier reports, Desire was not beheaded. May her soul rest in eternal peace

MTANGAZAJI WA RADIO FREE AFRICA, WILLIAM BUNDALA ATANGAZA RASMI KUWANIA UBUNGE

$
0
0
1525677_749904191774263_4961655255847640040_n
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” katika pozi.

SAM_2530
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
SAM_2529 (1)
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
SAM_2477 (2)
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” akitangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
SAM_2480 (1) 11-40-46
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akizungumza na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
KIJU 2
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwajibika katika kazi yake ya uandishi wa habari.
KIJUUU
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa katika moja ya mikutano muhimu.
Na Mwandishi wetu
Siku moja tu baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania kutangaza majimbo mapya ya Uchaguzi,Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa William Bundala maarufu kwa jina la “Kijukuu cha Bibi K” ametangaza rasmi kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania Ubunge katika Jimbo la jipya la Ushetu katika halmashauri ya wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga,kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Bundala ametangaza kuingia kwenye mchakato wa kugombea kuteuliwa na Chama ili aweze kupeperusha bendara ya Chadema/UKAWA katika uchaguzi mkuu ujao katika mkutano wake wa kutangaza nia uliofanyika katika Kijiji cha Bogomba “B” kata ya Ubagwe wilayani Kahama.
Mtia nia huyo alisema endapo Chama chake kitampitisha na hatimaye kushinda Ubunge katika Jimbo hilo atahakikisha anasukuma kasi ya maendeleo katika jimbo hilo jipya lenye Rasimali nyingi kupitia nafasi yake na wajibu kama anavyotakiwa Mbunge Kufanya.
Alisema kuwa dhamira yake imemsuta kwenda kuwatumikia wananchi wa wilaya hiyo ambayo yeye ni mzawa na kuwa atahakikisha anapigania maendeleo ya wananchi kwa kasi huku akiondoa uonevu kwa waandishi wa habari na watumishi wengine serikalini na katika halmashauri za wilaya.
Sambamba na hayo amesema kuwa sababu nyingine iliyomsukuma ni kuona wagombea wengine wanaolitaka jimbo hilo hawako kwa ajili ya ukombozi wa jimbo hilo bali wako kwa ajili ya maslahi binafsi kutokana na asilimia kubwa ya wagombea hao si wakazi wa eneo hilo na kwamba hawafahamu matatizo ya wana ushetu kama anavyoyafahamu yeye.
Aliongeza kuwa akifanikiwa kuukwaa Ubunge pia atasimamia kuhakikisha Jimbo hilo jipya linapata Chuo cha ufundi kwa ajili ya vijana wanaomaliza darasa la saba na kidato cha nne kupata elimu jambo lilatalopunguza wimbi la ukosefu wa ajira kwa vijana.
Bundala alisema kipaumbele kingine atakachoshughulikia ni pamoja na kusimamia na kutoa elimu ya Sheria kupitia wanasheria ambao watazunguka katika kata kutoa elimu hiyo hususan katika maswala ya umiliki wa Ardhi,Mirathi,haki za wakulima na wafugaji pamoja na haki za raia na mali zao kwa ujumla.
Akizungumzia kuhusu suala la michezo katika jimbo hilo, Bundala alisema kuwa kupitia Kijukuu Cup atahakikisha anashirikiana na halmashauri na wadau wa michezo kuhakikisha halmashauri ya ushetu inapata timu ya kucheza ligi kuu Tanzania Bara.
Awali Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CHADEMA (BAVICHA) Halmashauri ya Ushetu Emmanuel Magema aliwataka vijana wote kuungana ili kumuunga mkono kijana mwenzao aliyejitokeza na kuonesha nia ya kutaka kuongoza akiwa Mbunge wa jimbo hilo.
Wilaya ya Kahama kwa sasa ina halmashauri za wilaya tatu za  Msalala,halmashauri ya mji wa Kahama na halmashauri mpya ya Ushetu na kufanya majimbo ya uchaguzi kuwa matatu.
Katika kinyang’anyiro cha Ubunge katika jimbo jipya la Ushetu kuna watu zaidi ya watano wanaotajwa kulimendea jimbo huku wagombea wa CHADEMA wakionekana kuungwa mkono na makundi mengi hususan vijana.

YAANI HUYU NDIYE ALIYETIA FORA KWA KIVAZI CHAKE JANA USIKU KATIKA PARTY

KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!

$
0
0
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.
Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.
Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.
Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa injili Flora Mbasha anadaiwa kumbaka shemeji yake huyo kati ya Mei 23 na 25 mwaka huu eneo la Tabata ambako alikuwa akiishi naye.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa mahakamani hapo Septemba 5, 2013 ambapo binti huyo aliieleza Mahakama kuwa alibakwa na shemeji yake (Mbasha) kwa awamu mbili tofauti kabla ya kufanikiwa kukimbia.


Kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2003 sura ya 20 kifungu cha 186, kifungu kidogo cha tatu, kesi hiyo inasikilizwa na Mahakama ya siri ili kulinda haki ya binti huyo.


Kesi hiyo itatajwa tena mahakamani hapo Julai 23, mwaka huu ambapo Mbasha anatakiwa kufika na mawakili wake ili kujitetea dhidi ya shtaka hilo

MICHEZO Azam yathibitisha kuinasa saini ya huyu mwingine kutoka Rwanda…

$
0
0
DSC_0699-af709
Kiungo wa kimataifa wa Rwanda anaekipiga katika klabu ya APR ya Rwanda Jean Baptiste Mugiraneza jana July 14 2015 amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea klabu ya Azam FC.

Kiungo huyo amesaini mkataba huo ikiwa ni siku mbili zimepita toka acheze mechi mbili za majararibio kati ya African Sport na Coast Union mkoani Tanga katika Uwanja wa Mkwakwani.
Hata hivyo ada ya uhamisho bado haijatajwa lakini inadaiwa atakuwa analipwa sio chini ya dola 4000/= kwa mwezi ambayo ni kama Tshs. Milioni nane.
Kufuatia kusajiliwa kwa kiungo huyo Azam FC itakuwa imebakiwa na nafasi moja pekee ya kusajili raia wa kigeni, ambapo shirikisho la soka Tanzania TFF linaruhusu kusajili wachezaji wakigeni wasiozidi saba.
Licha ya kusaini mkataba Jean atalazimika kurudi katika klabu yake ya APR na kuitumikia katika mashindano ya Kagame Cup yanayotarajia kuanza July 18 jijini Dar Es Saalam na baadae kujiunga rasmi na klabu ya Azam FC katika mashindano mbalimbali ikiwemo ligi kuu soka Tanzania bara.

THE MAGAZETI YA BONGO LEO WEDNESDAY /JUMATANO 15/7/2015 LIVE!!

$
0
0
DSC00608 DSC00609 DSC00610 DSC00611 DSC00620 DSC00621 DSC00622 DSC00623DSC00624 DSC00625 DSC00628 
DSC00629 DSC00630 DSC00631 DSC00632 DSC00633 DSC00634 DSC00635 DSC00636 DSC00637DSC00626 DSC00627  DSC00638 DSC00639 DSC00640 DSC00641DSC00612 DSC00613 DSC00614 DSC00615 DSC00616 DSC00617 DSC00618 DSC00619 
Dr Mwaka - Foreplan Clinic

MC PILIPILI NA TAASISI YA MEDO WASAINI MKATABA WA KUSAIDIA ELIMU MKOANI MOROGORO

$
0
0
 Meneja Uhusiano na Mawasiliano  wa Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Mkoa wa Morogoro (MEDO), James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kabla ya MC Pilipili kutiliana saini na taasisi hiyo ya kusaidia elimu. Kutoka kulia ni Meneja Mradi, Bertha Gama, Emmanuel Elias ‘MC’ Pilipili na Makamu Mwenyekiti wa Medo, Seluwa Amin.
 MC Pilipili (katikati), akizungumza kabla ya kutia saini.
 Makamu Mwenyekiti wa Medo, Seluwa Amin (kushoto), akiangalia mkataba huo kabla ya kusainiwa.
 MC Pili pili (katikati), akisaini mkataba huo.
 Makamu Mwenyekiti wa Medo, Seluwa Amin (kushoto), akimkabidhi mkataba huo MC Pilipili. Kulia ni Meneja Mradi Medo, Bertha Gamba
Na Dotto Mwaibale
 
MSANII na mshereheshaji wa shughuli mbali mbali, Emmanuel Elias ‘MC’ Pili pili ameingia mkataba na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Mkoa wa Morogoro (Medo), kwa ajili ya kusaidia elimu.
 
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kabla ya kusaini mkataba wa kusaidia watoto walio katika mradi wa elimu kwa watoto unaoendeshwa na Medo, Pilipili alisema ni wakati muafaka kwa watanzania kwa ujumla kujenga tabia ya kusaidia shughuli za maendeleo hasa katika elimu.
 
Alisema bila ya kuwa na elimu hakuna kinachoweza kufanyika katika mambo mbalimbali pamoja na uongozi hivyo kila mtu eneo alipo anapaswa kusaidia elimu kupitia taasisi hiyo ya Medo ili iweze kuwasaidia watoto wengi zaidi.
 
“Napenda kuwasapoti watoto hawa waliochini ya mradi 
unaoendeshwa na Medo kwa kuwasaidia mahitaji mbalimbali hivyo naomba watanzania wanisapoti wakiwemaniio wasanii wenzangu” alisema Pilipili.
 
Meneja Uhusiano na Mawasiliano  wa Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Mkoa wa Morogoro, James Mbuligwe alisema taasisi yake kuingia mkataba na MC Pili pili kwa ajili ya kuwasaidia watoto hao ni hatua nzuri ya mafanikio kwao.
 
Alisema  taasisi hiyo imezindua kampeni maalumu ya ‘Nisaidie 500 Yatosha kunipa elimu ambapo balozi wa mradi huo ni Msanii Wastara Sajuki” alisema Mbuligwe.
 
Meneja wa Mradi huo, Bertha Gama alisema hadi hivi sasa kuna watoto 35 wanaopata elimu ya Sekondari katika shule za Kauzeni, Kihonda, Mwembesongwe na Mzinga na kuwa mwaka huu wanafunzi wanne waliochini ya mradi huo wanategemewa kuhitimu kidato cha nne.
 

Alisema lengo la taasisi hiyo ni kufikisha huduma zao nchi nzima ambapo kwa awamu ya kwanza wameanzia mkoani Morogoro na kupitia chini ya mradi huo watoto 100 watanufaika na kwa awamu ya pili wanatarajia kuifanya mikoa ya Kanda ya Ziwa. (Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)

POLISI MKOANI DODOMA WAFAFANUA KUHUSU MABURUNGUTU YA NOTI YALIYOKUTWA KWA MFANYABIASHARA

$
0
0

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP David Misime

Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi akiwa na fedha nyingi na kuna vurugu kubwa. 

Baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilifika eneo la tukio ili kuona kama taarifa hizo ni za kweli. 

Askari walithibitisha kuwa ni kweli walimkuta mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia ambaye alijulikana kwa jina la AMIT KEVALRAMANI mwenye umri wa miaka 31, Mhindi, Mfanyabiashara, Mkazi wa Dar es Salaam   akiwa na fedha kiasi cha Tshs. 722,500,000/= ambacho alipohojiwa alisema kuwa tarehe 10/07/2015 alifika Dodoma kwa ajili ya ununuzi wa mazao ya nafaka.

Alipofika Dodoma tarehe 10/07/2015 majira ya asubuhi alifikia katika Hoteli ya St. Gasper na tarehe 11/07/2015 aliamua kurudisha fedha benki kutokana na kuona mkusanyiko wa watu wengi wasioeleweka na wenye viashiria vya vurugu. 

Akiwa katika harakati ya kurejesha fedha hizo benki, ndipo kundi la watu waliokuwa katika eneo la Hoteli ya St. GASPER walimtilia mashaka na kumzuia asiondoke na ndipo taarifa zilitolewa polisi. Mashaka ya watu hao yalitokana na vuguvugu za kisiasa/mchakato wa uchaguzi kati ya makundi mbalimbali kuwa kuna watu wanahonga wajumbe. Taarifa za aina hiyo ambazo hata Jeshi la Polisi lilikuwa limepokea bila uthibitisho. 

Katika tukio hili na uchunguzi tulioufanya tumebaini kuwa hakuna kosa la jinai lililothibitika licha ya kukutwa na kiasi hicho cha fedha, tuhuma za rushwa ambazo ndiyo zilikuwa msingi wa ukamataji wa mtu huyo hazikuthibitika, kwa kuwa hakuna aliyeona akizigawa fedha hizo wala hakuna aliyedai kushawishiwa au kugawiwa fedha hizo. 

Aidha imethibitika fedha hizo ni mali yake halali na kwa kuwa hakuna ushahidi mwingine uliyo thibitisha vinginevyo amerejeshewa fedha zake.

Umemiss story Exclusive pamoja na Pichaz za mastaa kwenye Magazine? Baabkubwa

$
0
0
MAGAZINE III
Kama wewe ni mtu wa Magazine na mastory yake Exclusive pamoja na pichaz za mastaa, time hii BaabKubwa Magazine liko tayari mtaani, unatamani kuona yaliyomo.

Ni pichaz baada ya Pichaz na story baada ya story… Nimekusogezea hiki kinachoonekana kwenye kurasa chache tu mtu wa nguvu!!
MAGAZINE II

MAGAZINE Iv

Unaweza kuingia zako mtaani na wewe kucheki copy yako mtu wangu Toleo jipya laBaabKubwa  #May-June2015.

SAID FELLA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UDIWANI

$
0
0
Kiongozi wa Kundi la TMK wanaume na mkurugenzi wa kituo cha mkubwa na wanawe, Saidi Fella leo amechukua fomu ya kuomba kugombea udiwani katika kata yake ya Kilungule Temeke,
Katibu wa Siasa na Uwenezi kata ya Kilungule, Juma ally kilindo Akimkabidhi fomu ya Kuomba kugombea udiwa Saidi Fella.

Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugomea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.


"Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero za kata yangu, hapa kuna shida ya maji na barara naamini nikiwa Diwana nitaweza kuonana na wakubwa wa nchi uso kwa macho na kuweza kuelezea shida za kata yangu, chamsingi ni kuleta maendeleo" Alisema Saidi Fella.
  Picha zaote na Harakati za Bongo

Saidi Fella akisaini kitabu cha wageni mara alipofika katika Ofisi za Kata ya Kilungule wilaya ya Temeke.

Saidi Fella akitia Saini mara Baada ya kuchukua fomu katiaka Ofisi za Kata ya kilungule wilaya ya Temeke.



MTANGAZAJI WA RADIO FREE AFRICA, WILLIAM BUNDALA ATANGAZA RASMI KUWANIA UBUNGE

$
0
0
1525677_749904191774263_4961655255847640040_n
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” katika pozi.
SAM_2530
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.

SAM_2529 (1)
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa amebebwa juu na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
SAM_2477 (2)
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha bibi k” akitangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
SAM_2480 (1) 11-40-46
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akizungumza na wakazi wa Ushetu wakati wa mkutano wake wa kutangaza nia kuwania ubunge katika jimbo jipya la Ushetu wilayani Kahama.
KIJU 2
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwajibika katika kazi yake ya uandishi wa habari.
KIJUUU
Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa, William Bundala maarufu kwa jina la “kijukuu cha Bibi K” akiwa katika moja ya mikutano muhimu.
Na Mwandishi wetu
Siku moja tu baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania kutangaza majimbo mapya ya Uchaguzi,Mwandishi wa habari na mtangazaji wa Radio Free Africa William Bundala maarufu kwa jina la “Kijukuu cha Bibi K” ametangaza rasmi kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania Ubunge katika Jimbo la jipya la Ushetu katika halmashauri ya wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga,kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA.
Bundala ametangaza kuingia kwenye mchakato wa kugombea kuteuliwa na Chama ili aweze kupeperusha bendara ya Chadema/UKAWA katika uchaguzi mkuu ujao katika mkutano wake wa kutangaza nia uliofanyika katika Kijiji cha Bogomba “B” kata ya Ubagwe wilayani Kahama.
Mtia nia huyo alisema endapo Chama chake kitampitisha na hatimaye kushinda Ubunge katika Jimbo hilo atahakikisha anasukuma kasi ya maendeleo katika jimbo hilo jipya lenye Rasimali nyingi kupitia nafasi yake na wajibu kama anavyotakiwa Mbunge Kufanya.
Alisema kuwa dhamira yake imemsuta kwenda kuwatumikia wananchi wa wilaya hiyo ambayo yeye ni mzawa na kuwa atahakikisha anapigania maendeleo ya wananchi kwa kasi huku akiondoa uonevu kwa waandishi wa habari na watumishi wengine serikalini na katika halmashauri za wilaya.
Sambamba na hayo amesema kuwa sababu nyingine iliyomsukuma ni kuona wagombea wengine wanaolitaka jimbo hilo hawako kwa ajili ya ukombozi wa jimbo hilo bali wako kwa ajili ya maslahi binafsi kutokana na asilimia kubwa ya wagombea hao si wakazi wa eneo hilo na kwamba hawafahamu matatizo ya wana ushetu kama anavyoyafahamu yeye.
Aliongeza kuwa akifanikiwa kuukwaa Ubunge pia atasimamia kuhakikisha Jimbo hilo jipya linapata Chuo cha ufundi kwa ajili ya vijana wanaomaliza darasa la saba na kidato cha nne kupata elimu jambo lilatalopunguza wimbi la ukosefu wa ajira kwa vijana.
Bundala alisema kipaumbele kingine atakachoshughulikia ni pamoja na kusimamia na kutoa elimu ya Sheria kupitia wanasheria ambao watazunguka katika kata kutoa elimu hiyo hususan katika maswala ya umiliki wa Ardhi,Mirathi,haki za wakulima na wafugaji pamoja na haki za raia na mali zao kwa ujumla.
Akizungumzia kuhusu suala la michezo katika jimbo hilo, Bundala alisema kuwa kupitia Kijukuu Cup atahakikisha anashirikiana na halmashauri na wadau wa michezo kuhakikisha halmashauri ya ushetu inapata timu ya kucheza ligi kuu Tanzania Bara.
Awali Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CHADEMA (BAVICHA) Halmashauri ya Ushetu Emmanuel Magema aliwataka vijana wote kuungana ili kumuunga mkono kijana mwenzao aliyejitokeza na kuonesha nia ya kutaka kuongoza akiwa Mbunge wa jimbo hilo.
Wilaya ya Kahama kwa sasa ina halmashauri za wilaya tatu za Msalala,halmashauri ya mji wa Kahama na halmashauri mpya ya Ushetu na kufanya majimbo ya uchaguzi kuwa matatu.
Katika kinyang’anyiro cha Ubunge katika jimbo jipya la Ushetu kuna watu zaidi ya watano wanaotajwa kulimendea jimbo huku wagombea wa CHADEMA wakionekana kuungwa mkono na makundi mengi hususan vijana.

DK. MAGUFULI AWAUMBUA MASTAA WA TANZANIA!

$
0
0

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli. 
KUFUATIA kuwepo kwa makundi yaliyotokana na watangaza nia 42 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakiwania nafasi ya urais, mastaa waliokuwemo ndani ya makundi hayo wameumbuka kufuatia ushindi wa John Pombe Magufuli, Risasi Mchanganyiko lina ‘full’ stori. 
Diamond Platnum. 

BREAKING NEWZZZ......MANJI ARUDISHIWA PESA ZAKE ZILIZO KAMATWA DODOMA ...POLISI YASEMA HAKUNA KOSA ALILOFANYA NA USHAHIDI WA KUTOSHA HAKUNA

$
0
0
http://2.bp.blogspot.com/-a7TOQVLCQTc/VaD3CwRFRKI/AAAAAAAAxik/xe8dVX_MrZY/s400/pichaazz.jpg

TAARIFA KWA UMMA
1.   Siku ya Jumapili tarehe 12 Juli, 2015, kulikuwa na habari nyingi za uongo na zenye madai ya kashfa na maneno ya uchochezi ambayo yalichapishwa katika
vyombo vya habari vyenye sifa mbaya kwa jamii vya Reginald Mengi vilivyo chini ya makampuni ya IPP ambavyo vilikuwa na vichwa vya habari vya ajabu kama vilivyotoka katika magazeti ya: 


CHADEMA WATOA TAARIFA RASMI KUHUSU MPANGO WA LOWASSA KUHAMIA CHADEMA

$
0
0

Uongo ukiachwa ukasemwa sana bila kusahihishwa unaweza kugeuka kuwa ukweli.

Tungependa kusahihisha propaganda nyepesi zinazoendelea kuenezwa ili kuusaidia umma usiendelee kupotoshwa kwa mambo yasiyokuwa ya msingi huku kukiwa na mambo makubwa yanayohitaji 'attention' ya Watanzania kuamua mustakabali sahihi wa nchi yao kwa kuchagua MABADILIKO kupitia uchaguzi wa kihistoria hapo Oktoba 25.

1. Zipo taarifa zinaendelea kuenezwa kuhusu makada wa CCM wakiongozwa na Edward Lowassa kuwa wana mpango wa kuhamia CHADEMA. Hadi sasa tunaziona habari hizo kupitia mitandaoni na kwenye vyenye mainstream media. Bila shaka wenye taarifa sahihi za mipango hiyo ni hao hao wanaozieneza. Nasi hatuwajibiki kabisa kuwasaidia kutoa uhakika wa uenezi huo wanaofanya kwa maslahi wanayoyajua.  


MCHUNGAJI AFANYA MAOMBI YA AJABU KANISANI.

$
0
0
Mchungaji kutoka kanisa la Endtimes Disciples Ministries nchini South Afrika amekuwa akiwaagiza waumini wa kanisa hilo kula nyoka na mawe ili kupata uzima wa milele.Katika hali sio ya kawaida muda wa maombezi huwapandia juu ya mwili waumini wake ishara ya kutoa pepo.


 

WOLPER ATUPIA PICHA ZA UHONDO TUPU AKIACHIA GUU LAKE MATATA NA KUSIFIA ALIVYOUMBIKA

$
0
0
 
MUST READ:You will be shocked after read the message Wolper shared to media and showoff her "Upaja"!! M 






ZARI WA LEO, WA KESHO

$
0
0
10843996_788400007864260_370710352_n
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’
Siku za kujifungua za mwandani wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari the Boss Lady’ sasa zinahesabika.
Habari kutoka kwa chanzo chetu ndani ya Wasafi Classic Baby (WCB) kimelieleza gazeti hili kwamba, kwa sasa mwanadada huyo ‘amechoka’ ambapo anatarajiwa kujifungua mwishoni mwa mwezi huu au mwanzoni mwa mwezi ujao.
malovee2
“Kama siyo mwishoni mwa mwezi huu, basi itakuwa mwezi ujao maana kwa muonekano tu mama kijacho (Zari) amechoka ndiyo maana hatembei sana na Diamond.
“Kwa sasa yupo Sauzi (Afrika Kusini) na hatuna uhakika sana kama ataweza kuhudhuria utoaji wa Tuzo za MTV Music (Mama) wikiendi ijayo,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:
“Diamond mwenyewe amekuwa akimuomba sana Mungu amjalie bibiye ajifungue salama.”
Kwa upande wake Diamond alikiri kwamba ni kweli Zari atajifungua muda wowote kuanzia sasa.
“Ni kweli siku zinahesabika. Kama siyo mwezi huu mwishoni, basi itakuwa mwezi ujao,” alisema Diamond.
Kwa sasa Diamond yupo kwenye presha kubwa ya kuomba mashabiki wake wampigie kura kwa wingi katika Tuzo za MTV Music (Mama) baada ya kuteuliwa kuwania Vipengele vya Msanii Bora wa Kiume Afrika, Mtumbuizaji Bora wa Kiume Afrika na Nyimbo Bora ya Kushirikiana Afrika.

CHEKI WATOTO HAWA WANAVYOONESHA WALIVYOPEWA NA JALALI!

$
0
0
I spending most of my time on INSTAGRAM not because I like to socialize or sharing comments and photos BUT to look for BEBIZ like these....am I wasting my time? 


Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>