Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

MREMBO WA KITANZANIA ANAYEFANANA NA WEMA SEPETU. SI SURA TU, PIA ANA FIGA KALI


KWA STYLE HII UNADHANI DIAMOND ANASHIDA YA UBUNGE KAMA WEMA SEPETU?

$
0
0


When other Artist in Bongo flava even Bongo Movies either they didn't see a lot of opportunity surrounded them or they cant use their bland to attract big company to invest on their talent but things is different for Diamond this week again he deal is done between him and Fastjet!! must see photos.This
shows how Diamond is opportunistic he catch every opportunity hanging in Bongo Flava industry, You must see this another Done Deal from diamond!! MUST READ.


 

KUTANA NA MODAL MWENYE MIAKA 50 LAKINI BADO WA MOTO BAND.

UTUMIAJI WA SMARTPHONE DAKIKA 68 KWA SIKU NI UGONJWA.

$
0
0
Research of Professor David Mohr, of Northwestern University Feinberg School of Medicine said,
Those who spend longer on their phones are more likely to be depressed.
  • Doctors said using a phone stops people dealing with difficult feelings.




  • MIPASUO YA KIMAGHARIBI HAIELEZEKI.

    JEURI YA PESA: CHUMBA CHA MTOTO WA AUNT, COOKIE USIPIME

    $
    0
    0

    CHUMBA cha mtoto wa mastaa Aunt Ezekiel na Moses Iyobo aitwaye Cookie usipime, kwani kimenakshiwa kwa gharama inayofikia shilingi milioni saba, ambazo zimetumika kwa kuwekewa vifaa maalum.
    “Gharama kubwa iliyotumika ni kumtenge nezea vifaa maalumu kama bafu na kitanda pamoja na vitu vingine vya watoto vitakavyomfanya mtoto wetu ajisikie vizuri muda wote,” alisema Aunt Ezekiel, staa wa filamu Bongo.

    Staa huyo alisema yeye na mzazi mwenzake hawaoni shida kuingia gharama kwa ajili ya mtoto wao kwani anawapa faraja hivyo watatumia nguvu nyingi na kujituma kuhakikisha mambo yote juu yake yanakwenda vizuri.

    TAZAMA HUMU KAJALA AKIWA KATIKA UBORA WAKE NA MWANAE DAH AISEE KUZAA MAPEMA RAHA JAMANI JIONEE PICHA ZA KUTOSHA HUMU

    WALIMU WAMCHAMBUA MKE WA MAGUFULI AMBAYE NI MWALIMU MWENZAO!

    $
    0
    0

    Mke wa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Janeth Pombe. KUMEKUCHA! Siku chache baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais kupitia chama hicho, mkewe, Janeth Pombe amechambuliwa vilivyo na walimu wenzake, Amani lina kila kitu.
    Juzi, Amani lilifika Shule ya Msingi Mbuyuni, Oysterbay jijini Dar ambayo Janeth amekuwa akifundisha na kufanikiwa kuzungumza na mwalimu mkuu wa shule hiyo na walimu wengine.
     

    BINTI AJITIA KWENYE JENEZA NA KUJIPIGA PICHA NA KUJIZUSHIA KIFO, NDUGU WAANGUA KILIO

    $
    0
    0

    Embu jifanye ww ndo umekufa apo alafu fkria je wangapi walio karbu yako wameshapoteza maisha na tumeshasahau then jifanye ndo ww ujione hivi nami nikifa ntasaulika kama yule na yule? Hivi n kweli nami ntakufa ntakua siongei tena dah.
    Je nikifa itakuwaje uko niendako nn naenda kukikuta mbeleni 
    Je waliotangulia mbele yangu ntawaona au n nn knafuata juu ya maisha yangu baada ya kuiaga Dunia?
    Ukipata jibu ndo ufanye masihara na kifo. Wanasema kuishi kwingi kuona mengi.  



    DIAMOND THE PLATNUMZ DOING PHYSICAL EXERCISE AT GYM

    $
    0
    0

    Many people knows Diamond he is the best performer on stage and with collaboration with his team (Wasafi classic Dancers) you will get full entertainment when you visit his show!!, but they didn't know where his stamina comes from but in

    reality While Others Are Sleeping, Others Are Busy Working Out To Be The Best this is Diamond new classy home, his gymnasium which training every day and night to keep his body strong and flexible for his performance on stage!!.

    MASOGANGE LAZIMA APATE PRESHA TU KWA HILI TOO AISEE MMH HUYU

    JACQUELINE WOLPER: MIMI NA LOWASA HADI KIFO!

    $
    0
    0
    Staa wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper.
    STAA wa sinema za Bongo, Jacqueline Wolper Massawe amejikuta akimwaga machozi usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita kufuatia kambi yake ya kisiasa ya Edward Lowassa ‘Timu Lowassa’ kukatwa jina kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku akisema yeye na Lowassa ni mpaka kifo, Amani limeinyaka.
    Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.Kwa mujibu wa chanzo kimoja ambacho ni rafiki wa Wolper (jina lipo), Jumamosi usiku aliposikia kwamba, jina la Lowassa lilimegwa kwenye mchakato wa Kamati Kuu ya CCM (CC), staa huyo alianza kulia huku akisema amekwisha!    

    BONYEZA HAPA KUSOMA YOTE

    EDWARD LOWASA ALETA MSHIKE MSHIKE ARUMERU.

    PICHA SENETOR WA KENYA SONKO AKIFANYA YAKE

    $
    0
    0
    A few months ago, many Kenyans were left in shock after a woman from Coast came out in the public and alleged that Nairobi Senator, Mike Sonko, had neglected two babies he had sired with her. 
    The woman named, Josephine Nduku, filed a case in court demanding that the wealthy Senator pays her Ksh 140,000 as a monthly up-keep for the two babies. 
    However, Josephine ended up being embarrassed after DNA tests proved that Sonko was not the biological father to her two children. Sonko claimed that he was maintaining the Coast based woman out of his “good heart” just like he does to other families. 
    But she accused the flamboyant Senator of doctoring the DNA results and insisted that they were still having an affair. 
    Josephine claimed that Sonko would invite her to his hotel room every time he visited Coast.   

    THE MAGAZETI YA BONGO LEO THURSDAY /ALHAMISI 16/07/2015 LIVE!!

    $
    0
    0
    DSC00642
     DSC00643 DSC00644 DSC00645 DSC00646 DSC00647 DSC00654 DSC00655 DSC00656 DSC00657 DSC00658 DSC00659DSC00660 
    DSC00661 DSC00662 DSC00663 DSC00665 DSC00666 DSC00668 DSC00669 DSC00670 DSC00671 DSC00672 DSC00673 DSC00674 DSC00675 DSC00676 DSC00677 DSC00678 DSC00679 DSC00680 DSC00681DSC00648 DSC00649 DSC00650 DSC00651 DSC00652 DSC00653   DSC00682
    Dr Mwaka - Foreplan Clinic

    MHESHIMIWA JERY SLAA KUWANIA UBUNGE KUPITIA JIMBO LA UKONGA

    $
    0
    0
    Na hii ndo kauli ya jerry slNimekuwa mwanachama wa CCM kwa miaka 14 sasa....
    Nimetumikia Chama na Serikali kwa Miaka zaidi ya kumi sasa.
    Ninaomba wanaCCM wenzangu na Chama Changu kinipe fursa ya Kupeperusha Bendera ya CCM kugombea Ubunge Jimbo la Ukonga.
    Jimbo nililozaliwa,kusomea Shule ya msingi hadi form IV....
    Jimbo ambalo asilimia 70% ya familia yangu inaishi na maziara ya familia yapo....
    Naamini ninakila sababu ya kutoa mchango kwenye maendeleo ya Jimbo letu.....
    #KaziIendeleeaa

    BREAKING NEWS EDWAED LOWASA AIBUKIA MONDULI.AFUNGUKA MANENO MAZITO TAZAMA VIDEO

    $
    0
    0

    Muheshimiwa Edward Lowasa ametua jimboni kwake Monduli kujiandikisha kupiga kura,Ukimya wake ni sintofahamu nzito kwa watanzania,Japo upepo wa siasa waonesha kuna uwezekano wa kufanya maamuzi magumu na kuendeleza safari ya matumaini.





     


    SUPER STAR DIAMOND AZIDI KUPAA...AWA NOMINATED TUZO ZA AFRICAN ENTERTAINMENT AWARDS

    SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA LA LEOPARDS, KIINGILIO BURE !

    $
    0
    0
    SIMBA DAY 2015 Simba Kucheza na AFC Leopards, Kiingilio bure.
    Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group Imani kajula Akiwa Pamoja na Rais Wa Simba Sport Club Evans Aveva wakati wa Uzinduzi wa Simba Day
    Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa Simba Evans Aveva alisema ‘’Kila mwaka timu yetu ya Simba imekuwa na utaratibu wa kuwa na siku maalum kwa ajili ya kufurahi, kuwatambulisha rasmi wachezaji, jezi za timu na kujiandaa kwa msimu mpya, siku hii imekuwa maarufu kama Simba Day. Tangu ianzishwe imekua ikiboreka siku hadi siku, mwaka huu tumeona ni muhimu kuiboresha zaidi na hususani kuangalia mchango wa timu yetu kwa jamii inayoizunguka’’.
    Aliongeza kusema ‘’Hivyo basi mwaka huu tunaanzisha Simba Week ambayo lengo lake kuu ni kuwa wiki ya Simba Sports Club kufanya kazi za jamii, kukuza vipaji vya soka vya vijana, kutembelea wadau wa maendeleo na pia shughuli nyingine zenye tija kwa timu yetu na jamii kwa ujumla. Wiki hii itahitimishwa siku ya Simba Day ambapo mambo mengi mazuri yatafanyika. Tofauti na miaka mingine, tutatengeneza program ambayo itawashirikisha wana Simba Nchi nzima.
    Tunategemea kuwa na siku za kujitolea kwa jamii, wapenzi wote wa Simba Nchi nzima watajitokeza kufanya shughuli za kijamii kwenye maeneo yao. Simba inaamini kwa dhati tukiunganisha Nguvu zetu tunaweza kuleta madabiliko makubwa sana Nchini kwetu’’.
    Pia Rais huyo wa simba Alisema, Napenda kuwataarifu rasmi kuwa siku ya Simba Day, Simba Sports Club itacheza mechi na AFC Leopards ya Kenya kwenye mechi hii wachezaji wetu wapya wataonekana rasmi baada ya maandalizi ya kutosha, kabla ya mechi hii kutakuwa na mechi kali ya utangulizi kati ya Viongozi wa Simba na Bongo movie ambao watachanganyika na Bongo Flava, mechi hii nina uhakika itakuwa burudani tosha. Jambo jema na jipya ni kuwa Kiingilio cha siku hii ni BURE!. BURE kwa wanachama wa Simba ambao watakuwa na kadi mpya za Simba hivyo nawaomba wanachama wachangamkie fursa hii kwa kuchukua kadi mpya!. Simba itaendelea kujali wanachama wake mara zote!
    Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa EAG Group amabo ni washauri na watekelezaji wa Masoko na Biashara wa Simba, Imani Kajula alisema ‘’ Siku ya Simba Day jezi mpya za Simba zitaanza kuuzwa rasmi, napenda kutumia jukwaa hili kutahadharisha wauza jezi feki kuwa mkono wa dora utawafikia.
    Kwa wale wanaotaka kuwa mawakala au wauzaji wa jezi za Simba milango iko wazi wawasiliane nasi kwa anuani zilizopo kwenye tovuti ya klabu www.simbasports.co.tz au kufika kwenye klabu ya Simba. Pia wapenzi wanaotaka kuwa wanachama wanaweza kujiunga kupitia tovuti ya klabu na mawakala kwani kwa kuwa mwanachama wa Simba Sports Club mwanachama anapata faida nyingi ikiwemo bima ya maisha hadi 250,000 ikiwa mwanachama atafiwa na mwenza, mtoto au yeye mwenyewe akifariki’’

    SHAMSA FORD: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?!

    $
    0
    0

    Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Shamsha Ford. Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Shamsha Ford, amefunguka kuwa anatamani sana kuzaa mtoto mwingine lakini bado anaumiza kichwa ni nani atakayezaa naye mtoto huyo ili isije ikatokea kama mwanzoni kwa baba wa mtoto wake. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Shamsha alisema hakuna kitu ambacho anakipenda kama watoto na pia kazi ya kulea anaifahamu vizuri sana hivyo alitamani mno kuongeza mtoto mwingine japo awe nao wawili.


    “Yaani natamani mtoto sana lakini jamani nazaa na nani maana hapo ndipo pa muhimu kuangalia kwa kuwa mwanzo naona baba hakuwa sahihi japokuwa mtoto wangu nampenda sana,” alisema Shamsa.
    Viewing all 32622 articles
    Browse latest View live


    <script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>