Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

MAKALIO FEKI YAMUUMBUA MDADA AKIWA MAZOEZINI.

$
0
0
MAKALIO YA KUPANDIKIZWA YA MDADA PICHANI YAPATA ITILAFU AKIWA GYM,AMEWAHISHA HOSPITALI KUTIBU AJALI HIYO.



INDIA HATUITAKI KONDOM WACHA WATU WAZAANE.

$
0
0
Wananchi nchini India wa kabila la parsi wameimizwa kuto tumia kondom kampeni yenye lengo la kufanya kabila hilo dogo watu wazaliane kwa wingi.

JOKATE KIDOTI, DIAMOND PLATINUMZ KIMENUKA MBAYA INSTAGRAM! SHUHUDIA JINSI ILIVYO HAPA..

$
0
0
photo-collage
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @   

HUU NDO UJUMBE MPYA ALIO UANDIKA LOWASA MDA MFUPI ULIO PITA

MWANAUME HUYU WA KENYA ALIYEJIBADILI NA KUWA MWANAMKE

$
0
0

It's the season of transitioning and coming out. Jefferson one of the open gays in Kenya has at last jumped out of the closet announcing to the world his transition to become a woman.
This comes at a time when the world is abuzz with Bruce Jenner who transitioned himself to a woman now known as Caitlyn Jenner. The Kenyan now says he's fully a woman we can't confirm but you know his tools of trade might have as well been traded. 

KAJALA KAMFUNIKA MBAYA WEMA SEPETU KATIKA HILI...SHUHUDIA MWENYEWE HAPA!

$
0
0
KAJALA HAS BIGGER AND MORE BEAUTIFUL GOODIES THAN WEMA.
J

MY SUPER FRIEND JOE KUSAGA AFUNGUKA KUHUSU TUZO YA DIAMOND PLATINUMS

$
0
0

Historia nyingine nzuri ya TZ kwenye Burudani ilichukua headlines zake zenye uzito kutoka Durban South Africa ambako Diamond Platnumz aliibuka na Ushindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015, jana July 19 2015 Uwanja wa Ndege Dar es Salaam kukajaa watu kwa zaidi ya saa mbili wakimsubiri kumpokea Diamond na Tuzo yake !!
Wakati show ya Leo Tena ikiendelea on #CloudsFM, akakaribishwa Mkurugenzi wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga.. akapiga stori kwa kama dakika mbili hivi, lakini aliuzungumzia pia ushindi wa Diamond. 

Diamond pamoja na Managers wake, Babu Tale upande wa kushoto na Salam kulia. 
Hivi ndivyo alivyomzungumzia Diamond Platnumz na ushindi alioupata MTV MAMA 2015 >>> “Diamond ni mtoto wangu.. kiukweli ushindi wake unatokana na juhudi, hakuna kitu ambacho kinakuja kirahisi hivihivi tu.. ni lazima ufanye kazi… Amefanya kazi kubwa sana yeye mwenyewe akiwa na nidhamu ya hali ya juu na akijituma ndio maana alifika alipofika.“

Hapa ni Durban South Africa ambapo zilitolewa Tuzo za MTV MAMA 2015
Hizi ni sentensi nyingine za Joseph Kusaga >>>> “Ni nafasi ya watu wengi, Tanzania ni nchi ambayo imejaaliwa vipaji vya ajabu sana, kila mtu ana kipaji Tanzania ni namna unavyoweza kukikuza kukiendeleza kipaji chako… nimpongeze sana kwa kazi nzuri aliyoifanya kuiletea sifa nchi yetu.“

“Ameiletea sifa nchi yetu, ni lazima nchi yetu nayo impe changamoto zaidi za kufanya vizuri zaidi.. nafikiria Serikali ingehusika kwa kiasi kikubwa sana, Mawaziri wetu hata Rais kwa sababu anapenda burudani… angeichukulia hii kwa kumpa heshima fulani.” >>>> Joseph Kusaga, Mkurugenzi wa Clouds Media Group.

SUPER STAR DIAMOND NA DAVIDO KUJA NA BONGE LA COLLABO, TAZAMA VIDEO HAPA

$
0
0

Baada ya wote wawili kuibuka washindi kwenye tuzo za MTV MAMA 2015 zilizotolewa Jumamosi iliyopita Durban, Afrika Kusini, Davido na Diamond wameweka wazi ujio wa collabo yao mpya.
Wakiwa na furaha huku wakiwa wamebeba tuzo zao mikononi mara baada ya tukio la utolewaji tuzo hizo kuisha, staa wa Nigeria Davido akiwa na Diamond ametoa ahadi ya collabo yao mpya.


Katika kipande cha video (hapo chini) Davido ametamka kwa kinywa chake:
“New F*ckin Diamond and Davido we gonna dropin next month, we do this f*ckn East Africa West Africa biggest artist we do this…we are uniting…” Wakati Davido akiyaongea hayo, Diamond alikua akiitikia “I’m telling you”.
Diamond aliibuka mshindi wa tuzo ya ‘Best Live Act’ na Davido naye aliibuka mshindi wa tuzo kubwa ya Best male ambayo pia alishinda mwaka jana.

MBUNGE WA CCM AFANYA MAAMUZI WAGUMU KUJIVUA GAMBA.

$
0
0


Habarini watanzania, nimesema nitagombea jimbo la Bunda mjini lakini sitogombea kwa tiketi ya CCM, sina ugomvi na CCM wamenilea na nimekulia huko, na kutogombea kwangu kupitia CCM kusihusishwe na mtu na nafasi ya Urais. Ila nimelitumikia Taifa langu nikiwa CCM naona nitalitumikia Vizuri zaidi nikiwa kwingine. Kumbukeni chama ni njia ya kupita ila umuhimu wa kulijenga Taifa letu ni la watanzania wote bila kujali vyama vyetu. Mungu ibariki Tanzania.

EDWARD LOWASA ALILIWA UKAWA.

$
0
0

Chama cha CUF, kimeibuka na kumtetea aliyekuwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kwamba Chama Cha CCM kilimuonea kwa kukata jina katika ngazi ya Kamati ya Maadili na kushindwa kulifikisha Kamati Kuu ya CCM (CC).

Kadhalika, CUF kimesema kipo tayari kumpokea Lowassa ndani ya chama hicho kwa kuwa ni msafi na hajawahi kufikishwa hata mahakamani kwa ajili ya kushitakiwa kutokana na madai ya rushwa. Source Nipashe.

RAIS UHURU KENYATA AMPOTEZEA MKE WAKE KAMA HAMJUI.

$
0
0
Rais Uhuru Kenyata akisalimiana na mke wake Magreth Kenyata mke wake kama hawafahamiani ndowana kutana mara ya kwanza.


BREAKING NEWS: MAJAMBAZI YALIYOUA STAKISHARI YAKAMATWA

$
0
0
East Africa Radio's photo.
Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limefanikiwa kuwakamata majambazi watano wanaodaiwa kuhusika na tukio la uvamizi katika kituo cha polisi cha Stakishari kilichopo Ukonga. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema majambazi hayo yamekamatwa Mbagala ambapo katika tukio hilo pia wamekamata pia fedha shilingi milioni 170 na bunduki 16 miongoni mwao ni zile zilizoibiwa katika kituo cha Stakishari.

DIAMOND PLATNUM AKUTANA NA MUME WA ZARI KUYAJENGA,USHAHIDI HUU.

$
0
0

LE WATANYOOKAZZZ.



Mume wa Zari ajulikanae Ivan akiwa pichana na Davido nchini South Afrika kwenye tunzo za MTVAfrica eneo ambalo Diamond alikuwepo kutumbuiza na kuchukua tunzo ya mtumbuizaji bora Afrika.


Wabunge marafiki wa Lowassa wajitosa tena kuwania ubunge.

$
0
0

Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliokuwa wakimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, katika harakati za kusaka urais, wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa kuwania ubunge kupitia chama hicho.


Kabla ya hapo, kulikuwa na uvumi kuwa wabunge hao hawatachukua fomu kutokana na kukatwa kwa Lowassa katika kinyang’anyiro cha urais.

Baadhi ya wabunge hao ambao wamechukua fomu hizo na kuzirejesha jana ni pamoja na Kangi Lugola (Mwibara), Andrew Chenge (Bariadi Mashariki), Philipo Mulugo (Songwe).

Tanga
Mkoani Tanga, wabunge watatu waliokuwa wakimuunga mkono Lowassa nao wamechukua na kurudisha fomu za kuomba kutetea majimbo yao.

Wabunge hao ni Stephen Ngonyani maarufu kama Majimarefu ambaye ni Mbunge wa Korogwe Vijijini, Beatrice Shelukindo (Kilindi) na Henry Shekifu wa Lushoto.

Mtandao huu umefuatilia mchakato wa uchukuaji na urudishaji fomu ndani ya CCM ambao ulihitimishwa jana saa 10:00 jioni na kubaini kuwa wabunge hao wameshachukua na kurudisha fomu za kutetea nafasi zao licha ya kuwapo kwenye ushindani mkali kutokana na idadi ya wagombea kuongezeka kwenye majimbo yao.

Katika majimbo yote 11 ya Mkoa wa Tanga, wabunge wote waliokuwapo katika awamu inayomalizika, wamejitosa tena na kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

Kwa sasa Mkoa wa Tanga una jumla ya majimbo 12 baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuongeza jimbo moja la Handeni Vijijini.

Kilimanjaro
Vigogo watano wa CCM mkoani Kilimanjaro wakiwamo Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango-Malecela na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, ni miongoni mwa mawaziri `waliokabwa koo' kwa kupata upinzani mkali ndani ya majimbo yao.

Wengine ni Waziri wa zamani wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Mathayo David Mathayo, ambaye anakabiliwa na upinzani mkali baada ya makada wenzake 13 kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea kiti hicho katika Jimbo la Same Mashariki.

Waliojitosa kutaka kumng’oa Dk. Mathayo David ni John Chaggama, Daniel Mkemi, Alfred Ngelula, David Mawa, Amon Shahidi, Gerald William, Katery Daniel, Yusuph Singo, Michael Mrindoko, Ahadi Kakore, Jordan Mmbaga na Mwalimu John Singo.

Anne Kilango naye anakabiliwa na upinzani baada ya makada wanane akiwamo Dk. Michael Kadeghe, Dk. Eliji Kibacha, Semi Kiondo, Abraham Shakuri, Nyangasu Werema, Daudi Mambo na Ombeni Mfariji kujitosa kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo.

Kigogo mwingine aliyepata upinzani, ni Naibu Waziri wa Tamisemi, Mwanri, ambaye jimboni kwake, wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimasai wamelazimika kumwangukia, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (Nec), Meijo Laizer, kujitoa katika orodha ya makada watatu waliotangaza kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea kiti hicho.

Kwa upande wa Jimbo Moshi Mjini ambalo kwa muda mrefu limekuwa ngome ya Chadema, makada 12 wamejitokeza kuwania kiti hicho.

Makada hao ni Patrick Boisafi, David Mosha, Buni Ramole, Priscus Tarimo, Edmund Utaraka, Shaniel Ngindu, Innocent Siriwa, Amani Ngowi, Omari Mwariko, Michael Mwita, Daudi Mrindoko na Khalifa Kiwango.

Katika Jimbo la Moshi Vijijini, Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, Dk. Cyril Chami, amekutana na kikwazo baada makada watano kujitokeza kutaka kuteuliwa kugombea kiti hicho, huku Jimbo la Vunjo likiwa na watia nia wanane ambao wanakabana koo kutaka kuteuliwa kugombea kiti hicho.

Dodoma
Waziri wa Nishati na Madini ambaye ni Mbunge anayemaliza muda wake Jimbo la Kibakwe, George Simbachawene, Livingstone Lusinde (Mtera), Gregory Teu (Mpwapwa), Omari Badwel (Bahi) na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai (Kongwa), ni miongoni mwa makada waliochukua fomu kutetea nafasi zao.

Bahi;
Mbunge wa sasa Badwel atapambana na Pascal Mwaja, Levison Chilewa, Donald Mejitii, Hebron Kipiko, Anthony Lyamunda, Salum Kanyika na Kondo Chaurembo.

Mpwapwa:
Mbunge wa sasa Teu, amepata wapinzani ambao ni George Lubeleje, June Fusi, Nyange Mtoro, Charles Kuziganika, Rehema Halahala, Emmanuel Mbeho na Gabriel Hango.

Kibakwe:
Simbachawene atapambana na Amani Bendera, Gabriel Mwikola, Sabas Chambas, Shahel Gayesh, Aclay Mnyang’ali na Solomoni Ngiliule.

Kongwa:
Ndugui amepata wapinzani wake ambao ni Samwel Chimanyni, Dk. Elieza Chilongani, Epafra Mtango, Pascal Mahinyila, Hussein Madeni, Simon Katunga na Joseph Palingo.

Mtera:
Lusinde atapambana na Richard Masimba, Samwel Malecela, Essan Mzuri, Lameck Lubote na Dk. Michael Msendekwa.

Chilonwa:
Waliojitokeza kutaka kuwania jimbo hilo ni Peter Nasoni Mlugu (Mwalimu wa Shule ya Msingi Chilonwa), Kusakula Amosi (mfanyabiashara jijini Dar es Salaam), Chibutii Masagasi, Charles Ulang, (Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Chamwino) na Vincent Chomol.
 
Wenslous Mazanda (Mwalimu wa Shule ya sekondari Mpunguzi), Joel Mwaka  (Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi, Wilaya ya Chamwino), Daniel Robina Logoha, Palolet  K. Mgema (Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea), Deo Ndejembi, Godrick Ngoli, Anderson Kusenha Magolola na Kk. David Mapana.

Kyela
WANACHAMA 10 wamejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Kyela mkoani Mbeya kupambana na Mbunge wa sasa, Dk. Harrison Mwakyembe.

Dk.Mwakyembe ambaye ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki alichukuliwa fomu na baadhi ya wananchi ambao walijichangisha fedha na kumkabidhi jana mjini Kyela ambaye alizirudisha Makao Makuu ya CCM Kyela.

Wengine waliochukua fomu na kurejesha katika jimbo hilo ni Gabriel Kipija, ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela, John Mwaipopo, Profesa Leonard Mwaikambo, Gwakisa Mwandembwa, Vincent Mwamakingula, George Mwakalinga, Benjamin Richard, Asajile Mwambambale na Ackim Jackison.

Mbeya Vijijini
Waliochukua fomu Jimbo la Mbeya Vijijini ni Mbunge wa sasa, Luckison Mwanjale, Oran Njera, Godon Kalulunga (Mwandishi wa Habari),Japhet Mwanasenga, Anderson Kabenga, Walimu Sikwembe, Kassim Chakachaka.

Ileje
Aliko Kibona (Mbunge wa sasa) na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janneth Mbene.

Mbeya mjini
Nwaka Mwakisu, Aman Kajuna, Charles Mwakipesile

Vwawa
Mchungaji Tito Nduka, Japhet Hasunga na Mtella Mwampamba.

Maswa Magharibi
Waliochukua fomu ni Michael Bukwimba, Mashimba Ndaki, Benjamin Rungu, Aaron Mbojo (Mjumbe wa Nec) na Henry Mbichi.

Maswa Mashariki
Waliojitokeza kuwania ubunge Jimbo la Maswi Mashariki ni George Nangale (Mbunge wa Afrika Mashariki), Peter Bunyongole (Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Maswi), George Lugomela, Ali Ntegwa, Stanslaus Nyongo na Jonathan Mnyela.

MAMA SALMA AWASILI NAIROBI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS WA AFRIKA KUHUSU KANSA YA MATITI,SHINGO YA KIZAZI NA TEZI DUME.

$
0
0
s1
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa binti Esther Wanjiru anayelelewa katika Kituo cha watoto cha Mama Ngina huko Nairobi muda mfupi  baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta nchini Kenya tarehe 19.7.2015.  Mama Salma yupo nchini Kenya kuhudhuria Mkutano wa 9 wa wake wa Marais wa Nchi za Afrika unaozungumzia masuala ya kansa Barani Afrika.

s2
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha wageni mara baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta huko Narobi tarehe 19.7.2015. Aliyesimama nyuma kulia ni Mheshimiwa Korere Sarah, Mbunge wa Jimbo la Laikipya katika Mkoa wa Rift Valley aliyekuja kumpokea rasmi.
s3
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiambatana na Mheshimiwa Korere Sarah  wakipata mapumziko mafupi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta kabla ya kuelekea hotelini walikopangiwa.
s4
Balozi wa Tanzania nchini Kenya Ndugu John Haule akisalimiana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati alipowasili kwenye Hoteli ya Intercontinental iliyoko Nairobi tarehe 19.7.2015 kuhudhuria mkutano wa siku tatu wa wake wa Marais wa Afrika utakaozungumzia magonjwa ya kansa ya shingo ya kizazi, matiti na tezi dume.
s5
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Mke wa Rais wa Kenya Mama Margret Kenyatta wakati wa tafrija ya kuwakaribisha kwenye mkutano wa 9 wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika unaozungumzia masuala ya kansa ya matiti, shingo ya kizazi na tezi dume. Tafrija hiyo ilifanyika kwenye Hoteli ya Intercontinental jijini Nairobi tarehe 19.7.2015.
s6
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Madame Lordina Draman Mahama, Mke wa Rais wa Ghana wakati wa tafrija ya kuwakaribisha iliyofanyika kwenye Hoteli ya Intercontinental jijini Nairobi tarehe 19.7.2015.
s7
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Mke wa Rais wa Niger Dkt. Lalla Malika Issofou Mahammadou wakati wa tafrija ya kuwakaribisha wajumbe wa mkutano wa 9 wa wake wa Marais wa Africa wanaokutana Nairobi kuzungumzia kansa ya matiti, kizazi na tezi dume.
s8
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo na Mke wa Rais wa Namibia Mheshimiwa Monica Geingob wakati wa tafrija kwa wajumbe wa mkutanon wa 9 wa wake wa Marais wa  nchi za Afrika tarehe 19,7.2015.       PICHA NA JOHN LUKUWI

SHILOLE,MZIWANDA WARUSHIANA VIJEMBE MTANDAONI.

$
0
0
Shilole , Mziwanda Warushiana Vijembe MtandaoniPenzi la mastaa wa hapa Bongo, Shilole na Mziwanda linaonekana kupumulia  mashine kwa sasa hivi  baada ya wawili hao kuibuka mtandaoni na kurushiana maneno ya kejeli.
Alianza Shilole kwa kuandika haya;
"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi ...GaNdALaNdiZi"

Baada ya saa 2 Mziwanda alijibu mapigo kwa kuandika;
Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu
....AsHaNgeDerE

DIAMOND PLATNUM AZUILIWA NA MABAUNSA KUPIGA PICHA ZA WIZ KID,AT AMCHEKA.

$
0
0






Wizkid kamchomolea kaka kupokea salamu yake kajikuta Mabaunsa wanamzuia akae mbali ila hicho ni kipimo to cha udogo bado hajakua Masiki roho yake Kioo kimemcheza ila tunajua mengi tu ya aibu tunamstiri mtu vile bado dogo maana pia Kutumia ID insta zaidi ya 30 utukane watu pia ni udogo unaweka wazi huna watu wa ukweli wote wakukodi mwisho wa siku chenga tu


Waulizeni wakuu wa Muziki mm ni nani Naheshma yangu ni Ipi Natamani Km @Officialalikiba kuimba na R kelly wala sitamani kuimba na Wanageria kamwe afadhali ata ya #YondoSiterananivutia au Kandabongoman maana km nikiamua naimba nao tu Conection za kijinga izo ninazo km milioni thamani ya Msanii ipo mikononi mwa Raia wema imeandikwa #Watashindana ila #Hawatashinda na mkae mkijua ni bora uongopee watu kuliko kuongopea nafsi yk Matamasha tunayolipwa wao Wanaomba bure pia Wanakosa Karibuni tamasha la #Ziff

Halafu lazima mujue mm hamu yngu ni nini ktk huu muziki pia utofauti wa muziki pia nikieka kitu angalieni naongelea nini sio napost kitu mnahusisha na mambo yenu binafsi ili mzalishe upuuzi mpate ya kusema km mkiona hamna la kusema ni kheir mkae kimnya tu maana ntazipata shari kuu

LE MBEBEZ ASHIKWA SEHEMU YA AJABU.

BAADA YA SHILOLE KUMWAGA MBOGA NUHU NAE AMWAGA UGALI JIONEE ALIVOMWANIKA MWANDANI WAKE HUYO!! BALAA TUPU

$
0
0

Wakati bado tupo kwenye shamra shamra ile couple ya wendawazimu flani hivi amazing imeibuka kusikojulikana na kuanza kumwaga mchele kwenye kuku, koh koh koh majogoo na matetea wakaanza kudonoa kama hivi
Shilole kaanza kwa kumwaga mboga, kumkashifu aliekua mwandani wake
"Mwanaume hata umfanyie nini haridhik lol! Pamoja na kukubali shida zake zote lakin mh! Nimejitahid nimehangaika'ila sasa kama gari limewaka'aka babu weeee kanikuta na maisha yangu wacha niendelee na maisha yangu'Mimi na yeye baaaaaaasi #GaNdALaNdiZi™@shilolekiuno"
Nuhu nae akaona isiwe tabu akamwaga ugali, na kachumbari
"Mwanaume wa kweli ukaa kimya'sibishani na upumbavu'mwanamke asieridhika na kujua kua kathaminiwa mpaka tatoo kachorwa'na kuvumilia mambo yote alionifanyia ya kuniaibisha mbele ya mashabiki zangu'familia na'wasanii wenzangu na wadau'anaanza kunitukana mitandaoni for whaaaat!!! Mxeeeeew'mimi bado kijana na nna time ya kupata maisha yangu na mtu atakae thamini moyo wangu 'nawaachia wanaume wenzangu na nyie mjaribu zari 'mimi nacheka tu #AsHaNgeDerE™@mziwandanation"

TANZANIA YAPATA MSAADA WA MAGARI MAALUMU 50 ILI KUONGEZA NGUVU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI

$
0
0
NYA1
Waziri wa Maliasili na Utalii. Mhe. Lazaro Nyalandu akiwa na  Balozi wa China nchini,   Lu  Youqing   wakizindua magari maalumu 50 yatakayotumika katika vita dhidi ya Ujangili.
NYA2
Haya ni baadhi ya magari maalumu yaliyotolewa na  Serikali ya China  yatakayotumika katika vita dhidi ya Ujangili.  Mwingine ni  Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Adelhem Meru.

Serikali  ya Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekabidhiwa msaada wa magari maalumu  50 pamoja  na  vifaa vya vingine 417  na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China ili kuongeza nguvu  katika mapambano dhidi ya Ujangili.
Katika makabidhiano hayo , Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China imetoa  magari 50 yenye thamani ya  bilioni 2.6  yakiwemo magari yenye matairi matatu yenye uwezo ya kutembea sehemu yoyote ya pori hata mahali pasipo na barabara  ili kuweza kuwasaidia Askari wanyamapori  kukabiliana na majangili watakaothubutu kutoroka.
Mbali ya magari hayo , China  imetoa  vifaa maalumu  vya kukagua  makontena ili  kubaini endapo yamebeba nyara za Serikali ambapo kwa awamu hii ya kwanza vifaa hivyo vitaanza kutumika katika Bandari ya Dares Salaam.
Akizungumza  jana jijin Dares Salaam muda mfupi  mara baada ya  makabidhiano hayo , Waziri wa Maliasili na Utalii. Mhe. Lazaro Nyalandu alisema magari hayo maalumu yatasaidia Askari wanyamapori kumudu kazi  kwa kushirikiana na vyombo vya usalama  katika  kuwakamata majangili popote walipo.
Amesema Serikali ya Jamhuri ya watu wa China imeonesha njia kwa Mataifa  makubwa kwa kuisaidia Tanzania kupambana na  Ujangili,  ‘’ Serikali ya Tanzania haina mzaha na mtu yeyote anayejihusisha na Ujangili, ‘’ Mhe, Nyalandu alisema.
‘’Magari haya tuliyokabidhiwa leo yatapelekwa moja kwa moja kwenye  maeneo ya kazi  na kamwe  hayatabaki hapa kwa ajili ya matumizi ya maofisa,, Huu ni mpango endelevu  wa  vitendea kazi  kwa ajili ya Askari wanyamapori ili kuwasaidia kumudu kazi ya kupambana na majangili’’ Mhe. Nyalandu alisema.
‘’Serikali inatoa onyo kwa wananchi wanaowahifadhi majangili na wanaoshirikiana na majangili ninawasihi waache mara moja’’  Mhe. Nyalandu alisisitiza
Mhe. Nyalandu amesema  vita dhidi ya Ujangili ni vita  ya kidunia hivyo Tanzania imekuwa  ikishirikiana  na Askari wa  Kimataifa ( Interpol)  pamoja  na kupata  msaada  kutoka kwa mataifa makubwa katika kutokomeza mtandao wa Ujangili.
Akizungumza katika  makabidhiano  hayo.  Balozi wa China nchini  Tanzania Bw. Lu  Youqing  amesema  nchi yake itaendelea kuisadia Tanzania katika vita dhidi ya Ujangili kutoka na tatizo kubwa la ujangili  lililopo licha ya jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Tanzania.
‘’Tumeamua kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya Ujangili kutokana na si Tanzania tu inayoathirika na tatizo la Ujangili bali ni tatizo linaloathiri hata mataiafa makubwa Makubwa ikwemo sisi’’ Balozi wa China nchini Tanzania,  Bw. Lu  Youqing  alisema.
Alisema wameanza kuonyesha kwa vitendo kushirikiana na Tanzania katika vita dhidi ya Ujangili kwa kutoa  vifaa vya kisasa ambavyo vitawawezesha Askari  wanyamapori kuweza kuwasiliana kwa urahisi  katika maeneo yao ya kazi.
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>