↧
KIVAZI CHA LINAH NAYE MOTOOO TAZAMA PICHA HIZI ALIVYOKUWA KATUPIA DUH MBONA BALAA HILI CHINI YANI HAKUNA KITU ZAIDI YA KICHANDARUA TU DUH MMH
↧
SIMBA SPORT CLUB YAZINDUA MKAKATI UITWAO MABALOZI WA SIMBA
Dhima yetu ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari Rais wa Simba Evans Aveva alisema ‘’Katika kukuza wigo wake wa kuwashirikisha wapenzi wake katika kuleta maendeleo ya klabu Simba Sports Club inazindua makakati wa kuwashirikisha wapenzi wenye nia ya kuwa chachu ya maendeleo kwenye klabu yao.
Simba ni klabu ya wanachama na wapenzi wa Simba, hili ndilo jambo la msingi
Simba ni klabu ya wanachama na wapenzi wa Simba, hili ndilo jambo la msingi
na kujivunia zaidi. Kwa msingi huu wigo wetu wa wapenzi nimtaji muhimu katika kuetekeleza
malengo mbalimbali ya klabu ya Simba. Hivyo basi leo hii klabu ya Simba inazindua rasmi Mabalozi wa Simba, hawa ni wapenzi wa Simba ambao wako tayari kushirikiana na klabu katika kuleta maendeleo ya klabu yetu’’.
Aveva aliendelea kusema ‘’ Katika ahadi zetu wakati wa uchaguzi tuliahidi kuwa tumenuia kwa dhati kuleta mapinduzi ya kimaendeleo ndani ya Simba. Napenda kusema safari yakuendelea kuifanya Simba kuwa klabu bora ndani na nje ya uwanja imepamba moto. Kwa uhakika malengo mengii kiwemo la kujenga uwanja na kambi ya mazoezi ya Simba sio ndoto. Kupitia mabalozi wa Simba na mikakati yetu mingine ya utunishaji wa mapato tunaamini kwa dhati malengo yetu tutayafikia.
Kihistoria Simba imekua ni timu yenye kutendana kufikiriki maendeleo na kutumia nguvu za wapenzi na wanachama, tulianza kwa kuwawa kwanza kujenga jengo la klabu, Mzee Dalali aliona mbali na kununua uwanja Bunju, nasisi tutaanza ujenzi, hii ndio dhima ya uongozi ndani ya Simba kupokezana vijiti vya maendeleo’’.
Kwa upande wake MkurugenziMtendajiwa EAG Group LTD ambao ni washauri watekelezaji wa mikakati ya biashara na masoko wa Simba ImaniKajula alisema ‘’Zoezi la kuteua mabalozi wa Simba ni endelevu na litafika kila kona ya Tanzania. Hawa ni mashabiki ambao mawazo, michango yao ya hali na mali, kutumia ushawishi wao kutaleta maendeleo kwenye klabu yetu. Hawa watakuwa mstari wa mbele kwenye Simba Week kuhamasisha ufanyaji kazi za jamii na kushiriki kwa wapenzi na wapenda maendeleo katika kusukuma maendeleo ya Simba.
Napenda kuwashukuru sana Mabalozi hawa kwa kutenga muda na kuwa tayari kusaidia juhudi za kuiletea Simba maendeleo. Uongozi wangu utakuwa bega kwa bega nanyi katika kazi hii adhimu.
↧
↧
TASWIRA KATIKA PICHAZ WAKATI MBUNGE JAMES DAVID LEMBELI AKITANGAZA KUONDOKA CCM NA KUJIUNGA RASMI NA CHADEMA
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitangaza kuondoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Pamoja na kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia chama hicho.
Lembeli akizungumza na wanahabari.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
↧
NAPE AMRUSHIA KOMBORA LOWASSA , ASEMA CCM IMEWEZA KUYAZUIA MAFURIKO KWA MIKONO

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejigamba kwamba kimeweza kuzuia ‘mafuriko’ kwa mikono huku kikiwatakia kila la kheri baadhi ya makada wake waliotangaza kutogombea kupitia chama hicho pamoja na wale waliokihama na wanaotaka kukihama.Mwishoni mwa wiki iliyopita waliokuwa madiwani jimbo la Monduli kupitia CCM mkoani Arusha, walitangaza kujiunga na Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli aliyekuwa Mbunge wa Kahama wakitangaza kutogombea kupitia chama hicho
Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akizungumza na mtandao huu jana alisema CCM hakina uwezo wa kuzuia mtu anayetaka kukihama kwa sababu hiyo ndiyo demokrasia.
BOFYA KUSOMA YOTE
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), huku wabunge wa viti maalum, Ester Bulaya na James Lembeli aliyekuwa Mbunge wa Kahama wakitangaza kutogombea kupitia chama hicho
Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akizungumza na mtandao huu jana alisema CCM hakina uwezo wa kuzuia mtu anayetaka kukihama kwa sababu hiyo ndiyo demokrasia.
BOFYA KUSOMA YOTE
↧
SUPER STAR DIAMOND PLATNUM ADHIHILISHA BIFU NA JOKATE NA HIKI NDO ALICHOKIANDIKA,NI SHIDAAA!!!!

“unajua kwanza nimecheka afu nimeskitishwa kwasababu nimeambiwa, sijasoma nimeambiwa kuna post ameandika amezungumzia vitu vingi… Yeye kacheza kama fan wa nyimbo yangu, na mimi nimempost kama fan wangu, ile caption yangu sijamuandika jina kwanini achukulie vibaya? Ukiona mtu anajishuku ukiona hivyo kuna namna nyuma. Mbona mi napost watu wengi tu, tena naandika caption zangu za vituko vituko manake mimi nina caption za vituko, mi ni mswahili nimezaliwa Tandale nimekulia Tandale na Tandale ndio kumenifanya leo niwe hapa nilipo…kwahiyo nina caption zangu za uswahili kwasababu uswahili ndio umenikuza…siziachi kuziandika mbona naziandikaga katika caption nyingi nyingi kwanini kwake yeye tu aione tatizo, kwani kuna ubaya gani mi kuandika mtanyooka tu kama yeye haimuhusu ina maana labda kuna kitu kinamuhusu.”

↧
↧
BREAKING NEWS : LEMBELI RASMI AJIUNGA CHADEMA
↧
WAPI TUNAELEKEA BINTI ATUPIA PICHA TATA MTANDAONI
00Ps!! ladies have gone crazy to seek attention! They will do anything to win men who will say they are hot or try to engage them in talks.A lady cannot believe she is hot unless she has several
who are trying to win her.They will do anything on social media to attract men.This is a Kenyan lady posting n’ude pics on social media to seek men who will appreciate her beauty.This is crazy
↧
JAMANI TUWENI MAKINI NA VYOO VYETU HEBU JIONEE BALAA
↧
LE MBEBES MWENYE UMBO MATATA ALIYETIKISA SIKU YA LEO
↧
↧
DIAMOND PLATNUMZ AKIMBIZA KATIKA KUWANIA TUZO ZA AFRIMMA 2015
Diamond Platnumz.
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametajwa mara sita katika kuwania Tuzo za AFRIMMA zitakazofanyika huko Dallas nchini Marekani Mwezi Oktoba 2015.
Vipengele anavyowania staa huyo ni pamoja na:
1. Best Artist Of the Year
2. Best Dance Video (Nana)
3. Best Video (Ntampata Wapi)
4. Best East Artist of the Year
5. Best Collaboration (Nana)
6. Song of the Year (Ntampata Wapi)
Msanii huyo pia anawania Tuzo ya Best Inspiration Song kwa Wimbo wa Alive ambao alishirikishwa na Bracket & Tiwasavage.
Wasanii wengine wanaowania tuzo hizo kutoka Tanzania ni Mrisho Mpoto, Ommy Dimpoz, Ali Kiba, Khadija Kopa, Vanessa Mdee, Lady Jaydee na Prodyuza Sheddy Clever.
↧
MREMBO AACHIA PICHA ZAKE MATATA
↧
MAJANGA YA KIFASHENI>>>HEBU JIONEE STYLE HII YA UVAAJI NGUO YA MATOBO MATOBO
↧
MREMBO ANAEUA WANAUME WENGI KWA SURA,RANGI NA UMBO LAKE!!!
↧
↧
WEMA SEPETU ,AUNT EZEKEL WAKUTANA LIVE WAPIGANA VIKUMBO HADHARANI..KIMENUKA TENA
MAFAHARI wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wamezidi ‘kusherehesha’ bifu lao baada ya kupigana vikumbo kwenye mgahawa unaojulikana kama Snow Cream na kuchuniana kama vile hawajuani.

↧
MBEBES MKALI KUTOKA GHANA NI BALAAAAAAA
↧
KUTANA NA MWANAMKE HUYU WA AJABU DUNIANI.STORY NA PICHA ZAIDI ZIKO HAPA
![]() |
![]() |

Sarah ambaye amewahi kuvunja choo mara tu baada ya kukikalia, ana mzunguko wa futi 7 ambapo mara kadhaa amekuwa akipata shida kupita mlangoni.
Hata hivyo mwanamama huyu mwenye umri wa miaka 33 anasema anajivunia kuwa mmoja wa wanawake wenye ‘figa’ la kufa mtu hapa ulimwenguni.

↧
BREAKING NEWS: DR,NCHIMBI AWAWEKA HADHARANI WATU ANAO WAKUBALI NDANI YA CCM ..TAZAMA PICHA
↧
↧
BREAKING NEWZZZ : LOWASSA AANDIKA TENA UJUMBE HUU MZITO MUDA HUU KUHUSU UCHAGUZI MKUU UJAO

↧
LE MAJANAGAZ WACHUMBA WAFUNGA NDOA NDANI YA JENEZA

Miongoni mwa matukio ya kushangaza kama sio kufurahisha yaliyofanywa siku ya Jumamosi Feb.14 katika siku ya wapendanao Valentine’s day, ni lile la wachumba kumi walioamua kufunga ndoa zao wakiwa ndani ya jeneza huko Bangkok, Thailand.Tukio hilo ambalo lilikusanya mamia kwa maelufu ya ndgu na wageni waalikwa imekuwa kali ya mwaka ambapo jeneza kubwa lilokuwa
limepambwa kwa rangi ya pinki lilowekewa mto mkubwa kisha maharusi kungia ndani na kulala chali kisha kila mmoja kubeba ua.
Baada ya kulala chali wazee wawili wa kimila waliovaa nguo za rangi ya Chungwa wanawafunika na shuka nyeupe kisha nyimbo za kimila huimbwa na vigelegele kuendelea kama kawaida.

Inasemekana kuwa wapenzi hao walifanya hivyo kwa kuamini kuwa ni njia ya kuondoa mikosi katika ndoa zao.

Wazee wa kimila wakiendelea na shughuli.

↧
SUPER STAR DIAMOND PLATNUMZ ALEWA SIFA NA KUTUKANA HADHARANI

Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana.......
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI TUKIO HILI
↧