Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

NUH MZIWANDA MZEE WA GANDA LA NDIZI AOMBA MASHABIKI WAKE MSAMAHA

$
0
0
Samahani sana mashabiki na @shilolekiuno kwa kuvujisha huu wimbo bila idhini yake tuliorekodi mda mimi na yeye na ndio sababu kubwa yeye kukasirika mpaka malumbano yooote yaliyotokea'twende sawa na tupendane jamani bila
makwaruzano'mana tuna sababu bilioni za

kujiamini na kupendana pia natangaza rasmi wimbo mpya kabisa wa Nuh Mziwanda na Shishi wimbo mpya kabisa ‪#‎GandaLaNdizi‬ unaweza usikiliza kwa kubonyeza link hapo kwenye Bio yangu ya Blue'nawapenda sana 

BOFYA HAPA KUONA VIDEO MZIWANDA AKIOMBA MSAMAHA 

JIONEE VIDEO ALICHOFANYIWA MREMBO HUYU MARA BAADA YA KUVAA NGUO YA AIBU

$
0
0
If a lady want to have freedom based on faulty understanding, give it to her and watch her use it. 
Leave your comments please

BREAKING NEWZZ...HUU NDO UJUMBE MZITO ALIOANDIKA DR.NCHIMBI KUHUSU WATU WA SONGEA

$
0
0

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (pichani), amefunguka kuhusu mambo kadhaa na kueleza kuwa Watanzania wanapaswa kuelewa kuwa kutofautiana katika vyama vya siasa ni jambo la kawaida katika nchi yenye demokrasia.

Dk. Nchimbi alisema hayo jana ikiwa ni siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Songea Mjini kuikataa fomu ya kuomba kuwania ubunge aliyochukuliwa na wananchi kwa madai haikuwa imekidhi  vigezo.  

MSANII WA INJILI ATUPIA MAPICHA MENGINE AKIWANA DEMU MWENZIE, TAZAMA HAPA

PICHA ZA MSANII BONGO MOVIE AKIJIFUNGUA ZAANIKWA MITANDAONI,AFUNGUKA LIVE

$
0
0

Imelda MtemaMSANII zao la Kundi la Sanaa la Kaole, Mwasiti Mohamed ‘Sishi’ zimeanikwa katika mtandao wa kijamii wa Instagram zikimuonesha wakati akijifungua akiwa kwenye uchungu mkali.
Sishi ambaye kwa sasa anaishi Ufaransa, katika picha hizo alionekana kusaidiwa na mama aliyejulikana kwa jina la Bi. Rukia, ambaye ndiye aliyempeleka nchini humo, huku mashabiki
walioziona picha hizo baadhi wakimuonea huruma huku wengine wakishangazwa na kitendo hicho wakidai hakikuwa cha kimaadili.
Gazeti hili lilipowasiliana na Bi. Rukia kwa njia ya mtandao wa WhatsApp alisema; “Mbona hakuna cha ajabu jamani? Ile ni kumbukumbu tu na huku ni vitu vya kawaida mno, sasa watu wakichukulia kama ishu kubwa mimi nitashangaa sana kwa kweli.”

ASKOFU GWAJIMA YAMTOKEA PUANI: AULIZWA MALIMAO YAKO WAPI?

$
0
0
Katika Mkutano wa Lowassa Huku Arusha wa Kutangaza nia ya Urais Mchungaji Askofu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo alikuwa mmoja wa Watu waliopewa nafasi ya kuongea..Askofu Gwajima Alipopewa Kipaza Sauti aliwabeza watu wanaomchukua Lowassa na Kudai Wanaokerwa Wakale Malimao Kwani Lowassa ndio Joshua wa Kuwavusha Watanzania Katika Nchi ya Ahadi ...

Sasa watu mbali mbali wanamuuliza YAKO WAPI MALIMAO ULIYOSEMA?
Angalia Video Hapa Akitoa Vijembe Vyake vya Kula Malimao...

JAMAA ALIEJIFANYA OBAMA HUKO KENYA NA KUSABABISHA MAFURIKO YA WATU

MUME WA IRENE UWOYA MAISHA YAMNYOOSHA.

$
0
0
Ndikumana mume wa ndoa wa msanii wa bongo movie Irene Uwoya,Mchezaji mpira wa klabu mbali mbali zikiwemo hadi za nchini Uingereza Hivi sasa amesajiliwa na Stand United ya mkoani Shinyanga timu iliyopanda daraja kuingia ligi kuu Tanzania msimu huu.


SHAMEFUL PHOTOS!!! CHECK OUT NIGERIAN SEX WORKERS IN ITALY (PHOTOS)

$
0
0




Shameful Photos!!! Check out Nigerian Sex Workers in Italy
Shameful Photos! Deep Inside The Forest Of Italy Lies Loads Of Sex Workers Who Come From Nigeria.


According to statistics , there are currently 10,000 to 20,000 Nigerian sex workers in Italy. The early 1980s , Nigeria, Africa and France have a lot of immigrants came to work in Italy.


At first, they just do farming activities in some tomato farm land , however, when the farm closed, in order to survive they have to start making money in other ways , such as transport drugs or to provide sexual services . But income sex workers are still minimal, sometimes only 10 euros only. Many sex workers from Nigeria have chosen to work in the forest, they will place a mattress in the forest, and to provide sexual services on it.

In this corner of Italy developed European countries , they use their own way , to seek a way out .
Photographer Paolo Patrizi they use their own cameras , recording several Nigerian sex workers in the forest .
Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

Nigerian Sex Workers in Italy

MTOTO WA BILIONEA AMPIGA MPENZI WAKE BAADA YA KUMPIGA CHINI

MREMBO KAMA HUYU ANAFIKIA NINI HADI KUFANYA UCHAFU KAMA HUU

$
0
0
Now the joy, fun and all the crazy things you were planning to do is now over... oh there is still 1st which many people are waiting for to do for the last time their ratchet
behaviours and the following morning start with "my new year resolution..." and such stuff..



well, these guys probably had the best....

ANGALIA PICHA ZA MADINGI WAKIFANYA YAO VICHAKANI

WAZAZI WATAZIMIA WAKIZIONA PICHA HIZI ZA WATOTO WAO WANACHOKIFANYA HUKO BATANI

FANTASTIC WATCH THIS NEVER HAPPEN BEFORE

MANGE KIMAMBI MGONJWA,DAKTARI ATHIBITISHA

$
0
0
Mange Kimambi mgonjwa wa akili
Psychopathology ni somo la sayansi kuhusiana na matatizo ya akili (mental disorder), linalokusanya matatizo yote ya kiakili ambayo hujumuisha migogoro ya kisaikolojia, baiolojia na mengine mengi, ikiwemo sababu mbalimbali za kijamii.
Psychopathology neno hili lina asili ya muunganiko wa maneno ya Kigiriki, psyche (nafsi), pathos (ugonjwa), na ology (somo). Maana ya moja kwa moja ya Psychopathology ni asili ya matatizo ya akili,
jinsi yanavyokua na dalili ambazo zinaweza kujionesha kwa anayeugua.
Ndani ya Psychopathology kuna makundi nane ya kutambua matatizo ya akili ambayo ni Major Depressive Disorder (kukosa mudi, kutokuwa na nguvu au kutamani kujiua nk), Bipolar Disorder (kuwa na mizuka mingi), Dysthymia (kukosa mudi), na Schizophrenia (kupingana na uhalisia, kuwa na mitazamo hasi na kuzungumza bila mpangilio) 

BOFYA HAPA KUSOMA YOTE

KWANINI WANAWAKE WANAVAA HIVI WAKIWA GYM???

$
0
0
Some ladies have perfected the skill of tempting men but this bootylicious lady has decided to take things to another level.
One even wonders whether she had gone to the gym for a work-out or to s3duce men. 


SITTI MTEMU BAADA YA KUPOKONYWA UMISS TZ, AHAMIA UBUNGE!!

$
0
0
Sitti Mtemvu.
HAPATOSHI! Vita kali ya kugombea ubunge imezuka katika familia ya Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu kufuatia watoto wake wawili, Lulu na Sitti Abbasi Mtemvu ambao kwa pamoja wamechukua fomu ya kugombea ubunge viti maalum kupitia kundi la umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa wa Morogoro.
Lulu Mtemvu.
Watoto hao wazaliwa wa mkoani Morogoro waliochangia baba, kwa nyakati tofauti wiki iliyopita walitinga ofisi za UVCCM Mkoa na kuchukua fomu hizo kimyakimya.
Mashuhuda wa tukio hilo walipenyeza ubuyu kuwa Lulu ndiye alikuwa wa kwanza kuchukua fomu hiyo na siku iliyofuata Sitti aliyeongozana na mama yake mzazi Mariam Mtemvu walitinga kwenye ofisi hizo na kuchukua fomu hiyo huku mama yake akibeba jukumu la kupiga picha za tukio hilo.
Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Morogoro, lgnas Said Kinywa alithibitisha kuwepo kwa tukio hilo na kudai kuwa kigezo kikuu cha nafasi hiyo ni kwa mwanachama kuwa na kadi na kutozidi umri wa miaka 30.
Lulu anayeishi maeneo ya Kiwanja cha Ndege alithibitisha kuchukua fomu na mdogo wake, akidai ni demokrasia mpya katika familia yao, lakini Sitti aliyeachia ngazi ya umalkia wa urembo nchini (mwaka 2014) kwa kashfa ya kudanganya umri hakupatikana kupitia simu yake ya mkononi iliyokuwa ikiita bila kupokelewa

THE MAGAZETI YA BONGO LEO FRIDAY /IJUMAA 24/7/2015 LIVE!!

$
0
0
.
..
.
.
.
.

.

.

.

.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Nit.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

MBUNGE MAARUFU AWAPIGIA MAGOTI WA PIGA KURA WAKE.

$
0
0
MTANGAZA NIA YA  UBUNGE JIJINI MBEYA AKIWAANGUKIA WAPIGA KURA.SANAA YA SIASA KATIKA UBORA WAKE.

KIPANYA AFUNGUKA YALIYOMKUTA MTAANI.

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live