Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

BREAKING NEWS : EDWARD LOWASSA SASA RASMI CHADEMA

$
0
0


BAADA ya vuta nikuvute katika vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuhusu kukubaliwa au kutokubaliwa kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa kujiunga na umoja huo ili kuongeza nguvu ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa huyo maarufu nchini amekubaliwa na tayari amejiunga rasmi Ukawa akiwa mwanachama halisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imefahamika.

Taarifa rasmi kutoka Ukawa na kwa msemaji wa Lowassa ambaye hakutaka jina lake litajwe, imeeleza kuwa uamuzi huo ulifikiwa baada ya majadiliano ya kina katika Mkutano Mkuu wa Ukawa uliofanyika mapema wiki hii huku ajenda kubwa ikiwa ni kumpokea Lowassa ili kuimarisha kambi ya upinzani ikiwa ni pamoja na kumsimamisha kama mgombea urais wa umoja huo.

BOFYA KUSOMA ZAIDI

KINGEREZA CHA MKIMBIZA DIAMOND PLATNUM KWENYE PARTY.

$
0
0
VANESSA MDEE NA WIZ KID WAKIWA DURBAN SOUTH AFRICA BAADA YA TUZO ZA MTVMAMA.

MBUNGE WA CCM AKIMBILIA CHADEMA KULA UGALI NA DAGAA.

$
0
0
ESTER BULAYA AKIWA ZIARANI LEO BUNDA MKOANI  MUSOMA.AMEDAI PAMOJA NA VYEO VYA UWAZIRI ALIVYO AHIDIWA ILI ASIHAME CCM AMEKATAA NA KWENDA CHADEMA KUWATUMIKIA WANANCHI.NI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MH STEVEN WASIRA.


TAZAMA VIDEO DIAMOND AKITUKANA KINGEREZA,MASHABIKI WAMJIA JUU.

PENZI MOTO MOTO LA WASANII WA BONGO FLEVA LAZALIWA UPYA.

MASTAA WAMLIZA KAJALA USIKU

$
0
0
IMG-20150722-WA0001-001
Kajala Masanja akibugujikwa na machozi baada ya kufanyiwa sapraizi hiyo.
Machozi ya furaha! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja juzikati alijikuta akiangua kilio baada ya kufanyiwa ‘sapraizi’ na mastaa wenzake katika siku yake ya kuzaliwa.
Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa Julai 22, mwaka huu
nyumbani kwake Sinza Afrikasana jijini Dar ambapo akiwa hana hili wala lile, mastaa hao akiwemo Jacob Steven ‘JB’, Jennifer Kyaka ‘Odama’, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda, Leah Richard ‘Lamata’ na wengineo walifika nyumbani hapo mida ya saa 6 usiku kisha wakajibanza  
nje. 

SARAFINA YULE WA AFRIKA KUSINI AWAFUNDA MASTAA WANAOTUMIKA KINGONO BONGO!

$
0
0
Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’.Imelda Mtema, Zanzibar
 Staa mwenye jina kubwa duniani kutoka Sauzi, Leleti Khumalo ‘Sarafina’ amewafunda mastaa wa kike kwa kuwataka wajitume ili kujiletea maendeleo kwa kuwa muda wa kutumiwa kingono na wanaume umepita. 

Akizungumza na Ijumaa mjini hapa akiwa mmoja wa wasanii waliohudhuria Tamasha la Ziff, Sarafina aliseme kuwa baadhi ya wasanii wamekuwa wakijiweka nyuma na wakati mwingine kukubali kutumiwa kingono ili watoke wakati uwezo wanao.
 
“Hapa Afrika waongozaji wa filamu wa kike ni kama hamna wapo wachache sana, wanawake wanahitaji kusimama na kufanya kazi zao wenyewe, muda wa kutumiwa kingono umepita, amkeni mfanye kazi wanawake wenzangu,” alisema Sarafina.

ZOEZI LA BVR NI BALAA DAR

$
0
0
Haruni Sanchawa, Dar 
Zoezi la uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kutumia mashine za Biometric Voters Registration (BVR) lililoanza juzi jijini Dar es Salam, limekuwa ni balaa kwa wakazi wake kutokana na matatizo mengi yaliyojitokeza hivyo kusababisha adha kwa wananchi.
Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wetu juzi na jana katika vituo mbalimbali vya uandikishaji jijini Dar, umebaini kasoro nyingi ambazo zimefanya wananchi wanaokwenda kujiandikisha kutoa lawama kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi inayoongozwa na Jaji Damian Lubuva. 

Katika Kata ya Chanika, wilayani Ilala, gazeti hili lilishuhudia jana maofisa wakifika kituoni wakiwa wamechelewa kwani saa mbili zoezi la uandikishaji lilikuwa bado kuanza huku wananchi wakiwa wamewahi kufika saa 11 alfajiri, hivyo kuzusha manung’uniko. 
“Tumefika tangu saa kumi na moja alfajiri, lakini watendaji wamechelewa hii inaonesha ni jinsi gani Tume ya Uchaguzi ya Taifa haiku makini kusimamia watu wake,” alisema Rehema Abdallah. 

Kero nyingine iliyolalamikiwa na wananchi ni ucheleweshwaji wanapoingia kwenye mashine hizo tatizo ambalo lilielezwa na mtaalamu mmoja wa mtandao (IT) aliyeomba jina lake kuhifadhiwa kwa kuwa siyo msemaji kwamba linachangiwa na vumbi. 
“Tatizo linguine linasababishwa na wananchi wanaofika kujiandikisha, hujipaka mafuta katika viganja vyao, hivyo kusababisha mashine kutotambua alama zao,” alisema mtaalamu huyo. 

Aliongeza kusema kuwa mashine hizo ni za kielektroniki, hivyo zinatakiwa kuwa safi hazipaswi kukutana na vumbi. 
Katika Kituo cha Mwenge Mlalakua, wananchi wengi walilalamikia foleni kuwa ndefu na zoezi kwenda taratibu sana huku wakidai kuwa kuna makundi ya wazee wanaingizwa ndani na huchukua muda mrefu kutoka.
“Tulikuwa watu wengi sana hapa, zaidi ya mia tatu, lakini tukaambiwa wataandikishwa watu mia mbili tu kutokana na uwezo wa mashine. Hii ni mbaya na inakatisha tamaa,” alisema John Kijo mkazi wa Mwenge. 

Gazeti hili lilifika Mitaa ya Kawe, Bunju, Sinza, Msasani, Kijitonyama na Kinondoni na kukuta matatizo ni hayohayo. 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki alipozungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana alisema ana imani zoezi hilo litakwenda kama lilivyopangwa kwani uandikishaji huanza saa mbili hadi saa 12 jioni.
“Tangu juzi hadi jana hakuna taarifa yoyote iliyonifikia kuhusu uvunjifu wa amani au mtu kuharibu utaratibu uliokuwa umeandaliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, changamoto nyingine zitatatuliwa haraka,”alisema. 

Jiji la Dar es Salaam lina jumla ya watu 4,713,217 kati yake wenye sifa ya kupiga kura ni 2,932,930 na lina Wilaya za Temeke, Kigamboni, Ubungo, Kinondoni na Ilala, huku majimbo yakiwa ni kumi baada ya Nec kuongeza majimbo mawili ya Mbagala na Kibamba.

BREAKING NEWS : WEMA ATIKISA UCHAGUZI WA CCM SINGIDA LEO

$
0
0
Ikiwa leo ndio Uchaguzi wabunge wa Viti Maalum Kupitia Chama cha Mapinduzi Nchini katika Mkoa wa Singida Mgombea Wema Sepetu Ametikisa Uchaguzi huo Leo.Wema Sepetu amekuwa Gumzo wakati Akiwasili Katika Uchaguzi Huo Leo na Kuteka Wajumbe wote walioudhuria Uchaguzi huo
wakitaka Kusalimiana nae Pamoja na Kupiga nae Picha. Hali Hiyo ilijitokeza wakati Mgombea Huyo Alipowasili kwenye ukumbi wa Mkutano Tayari kwa uchagguzi endelea Kuwa Nasi kwa Matokeo ya uchaguzi huo, Chini Kabis  

BOFYA KUONA PICHA ZAIDI WEMA ALIVYOWASILI

MTANZANIA SALUM AONGOZA MKUTANO WA GLOBAL PEACE FOUNDATION ZANZIBAR LIVE NOW!

$
0
0
Mr. Salum Rais wa Global Peace Foundation in Tanzania akiwa na rais Rupia Banda wa Malawi na Rais wa zamani wa Zanzibar Aman Karume kwenye mkutano maalumu unaoendelea Zanzibar sasa hivi.  
      

KAMA WEWE NI SHABIKI WA KWELI WA WEMA SEPETU

ZITTO KABWE ATOBOA SIRI NZITO KUHUSU UKAWA NA EDWARD LOWASA.

$
0
0

Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Liongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo ameandika ujumbe Mzito Kupitia Ukarasa leo Kuhusu Siasa za Tanzania Hasa Kipindi Hiki Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge Na Madiwani 

WEMA SEPETU AKATWA UBUNGE SINGIDA.....MATOKEO YOTE NIMEKUWEKEA

$
0
0
Naomba kuchukuwa fursa hii kumpongeza @wemasepetu kwa uthubutu wake wa kutia nia katika harakati za kutaka kuwatumikia wananchi wa Singida lakini kwakuwa katika mashindano kuna kushinda na kushindwa kuwa nafas ya nne sio mbaya katika siasa jipange upya miaka mitano ijayo si mbali panapo uhai naamini huwezi rudi nyuma na usikatishwe tamaa kwa matokeo ya mwaka huu unarudi Dar na kasi ya hatari

1. AYSHAROSE MATTEMBE KURA 311
2. MARTHA MLATA KURA 235
3. DIANA CHILOLO KURA 182
4. WEMA SEPETU KURA 90

HII NDIO SABABU VIDUME WENGI WA KENYA HUTAMANI KUMUOA MREMBO MTANGAZAJI HUYU ANAITWA TANYA

FASHENI ZA MITOKO YA KILEO NI BALAA.MNAMKUMBUKA HUYU JAMAA


ALICHOKIANDIKA MR BLUE KUHUSU MKE WATU, MASHABIKI WABIKI MIDOMO WAZI WAKISHANGAA!

$
0
0






Diamond Platnumz hana maneno ya kuwaeleza walimwengu ili wajue ni kwa kiasi gani anampenda mchumba wake, Zari the Bosslady. Lakini inaonesha kuwa siku za hivi karibuni wanawake wamekuwa na mchango mkubwa zaidi katika ustawi wa maisha ya wapenzi wao. Mr Blue pia hana maneno ya kueleza ili watu waelewe anavyompenda mke wake Wahyda.
Blue amepost picha Instagram akiwa na mke wake huyo na kuandika,” Morning ig…@wahyda_bysers_heart …siwezi kuelezea jinsi gani nampenda mke wangu….##kumekucha#lifeisgud.”

Hivi karibuni Mr Blue byser alitangaza hadharani kuwa sasa sio mfuasi tena wa vilevi vya aina yoyote, na ashukuriwe mke wake kwa kuwezesha hilo. Kupitia akaunti yake ya Instagram, hit maker huyo wa ‘Pesa’ alikiri kuwa sasa ana furaha zaidi baada ya kufanikiwa kuacha kuvuta bangi, sigara (fegi) mirungi na pombe. Alimshukuru mama mtoto wake kwa kumwezesha kuacha kutumia vilevi hivyo.

Hiki ndicho aliandika Blue:

“Alhamdulilahi ..nimeamka salama nikiwa mwenye furaha ahsante mungu ..na nashukuru pia kwa kufaulu mtihani ahsante mke wangu@wahyda_bysers_heart kwa kunifanikisha kuacha vilevi vyote..(bangi, fegi, mirungi, pombe) na kuishi km binadamu wa kawaida..nawashauri ndugu zangu kuwa makini na marafiki wengine wapo kwa ajili ya kukuharibia maisha yako ..kuwa makini…

HIVI HAWA MAMA ZETU ZIMO KWELI??? JIONEE HUYU MBUTULAA

NCHI 10 ZINAZOONGOZA KWA ULEVI AFRIKA.

$
0
0

The 10 biggest alcohol drinking nations in Africa has always been a topic of big debate between us Africans, but for sure alcohol consumption in eastern Europe and south America is a culture, especially in Russian federation, Belarus and Ukraine even Germany all have a record on alcohol consumption.


In many countries people don’t always wake up to a Saturday morning the same. some get up really sober why some get up really hang overred, On this exclusive article we shall try to solve the puzzle of the 10 biggest alcohol drinking countries in Africa using a statistical calculation of the liters consumed per year.
Honestly, when i first got my hand the list i was famished, because i had some countries i never expected them on the list, but to my greatest surprise they made the exclusive list. before we deep in to the list, i must warn you that the majority of the type of alcohol consumed in most of this nations in the 10 biggest alcohol drinking countries in Africa, is very very traditional and locally made. which is not good for the human liver.
Remember excessive alcohol consumption is very harmful to your health, so keep those bottles down and you will stay around a lot longer. So, here are the 10 Biggest Alcohol Drinking Countries in Africa
10. Tanzania-7.7 liters/year
In Tanzania 11% of alcohol consumption comes from beer, and only 0.2% comes from wine, which is actually beneficial to heart. 1.8% comes from spirits and 87% of alcohol consumption is from other types of alcohol. Tanzanians are known to make moonshine-and very traditional type of alcoholic drinks, which the local population tend to Obliged more. since virtually halve the population live below $1 per day. and the moon shine alternatives are way cheaper.
9. Botswana – 7.96 liters/year
Botswana also one of the 10 biggest alcohol drinking countries in Africa,among the alcohol consumption – 42% – coming from the “other” category. But its beer consumption is even higher, making up 57% of the total. This may be due to the high consumption of Botswana’s national beer, St Louis, though many (locals and visitors alike) say that St. Louis is worse than the cheapest light beers found elsewhere in the world. Many opt for beer imports from nearby South Africa or Namibia instead. which firmly solidifies its spot among the elite 10 biggest alcohol drinking countries in Africa.


8. Gabon – 9.32 liters/year
The favored alcoholic drink of choice for Gabonians is clear. While 10% and 22% of alcohol consumption in Gabon comes from wine and spirits respectively, 68% comes from beer. The cheapest and most popular beer in Gabon is Regab, costing from $0.70 to $2, and the lack of tax on any alcoholic beverages makes it easy to import from abroad. In-fact Gabon is a dream nation for all alcohol aficionado, because it has the cheapest priced alcoholic beverages in Africa and only second to the Russian Federation in the world.


7. South Africa – 9.46 liters/year
Alcohol is a lot more expensive than in Gabon, In such a big country, it’s no surprise there’s a wider break-up of preferred beverage choice: 56% of consumption comes from beer, which is no surprise because people are little more economically sound, while 17%, 16%, and 11% come from wine, spirits, and “other” respectively. The most popular beer brands are Castle and Black Label, but the country’s extensive wine vineyards, particularly in Stellenbosch and the Western Cape, produce some of the world’s most popular wines as well. The wine capital of African takes the 7th spot in the 10 biggest alcohol drinking countries in Africa.


6. Burundi – 9.47 liters/year
Narrowly beating out South Africa, drinkers in Burundi overwhelmingly prefer “other” drinks, which make up 81% of consumption. Beer, by comparison, makes up 19% of alcohol consumption and wine and spirits barely make a showing. The most famous drink in the Burundi is urwarwa or banana wine, produced in the traditional method and consumed most often during festivals and special occasions. Alcohol drinking in Burundi is almost like a tradition.


5. Namibia – 9.62 liters/year
Like its South African neighbor, Namibia has a wide break-down of favorite drinks, but beer carries the most weight with 67% of alcohol consumption. Spirits make up 20%, wine makes up 7% and “other” chips in at 6%. The country’s flagship beer, Windhoek Lager, is popular across the country and surrounding region, and is similar to many lighter German beers (not surprising, given the colonial history) is almost like Namibia was colonized to consume alcohol.


4. Rwanda – 9.10 liters/year
Just 8% of alcohol consumption comes from beer in Rwanda, despite the popular Turbo King, Primus, and Amstel brands being widely available. The other 92 percent is largely from homemade drinks such as the banana beer, urgwagwa, and the fermented honey drink, ubuki. Ikigage, made from dry sorghum, is also common in Rwanda.


3. Kenya – 9.72 liters/year
While just 43% of Kenya’s alcohol consumption comes from beer, some of the popular beer brands in Kenya includes Tusker Lager, Tusker Premium Lager, Alcohol consumption in Kenya became so rampant that the government made steps to cub the rate. Also in Kenya women are not left out in Alcohol consumption unlike in most countries on this list, especially Nigeria. Kenyan women also drink as much alcohol as the men. there are also other alcoholic brands in Kenya and the consumption of wine is also rampant, but only among the very “elite” those at the apex of the Kenyan economy.


2. Uganda – 11.93 liters/year
Ahead of the pack by a long shot is Uganda with 11.93 liters of alcohol consumed each year. Just 4% of consumption comes from beer and 2% from wine, with the “other” category a resounding winner at 94% of consumption. The generic term for domestically distilled beverages in Uganda is the famous Ugandan Waragi,which contain around 42% of Alcohol making it one of the most alcoholic spirit in the world. but this can cover a wide variety of drinks: pombe and lubisi, or locally made banana or millet beer, tonto, a traditionally fermented drink made from bananas, banana wine, and many more.

During my visit to Kampala, most times i wondered if people actually had jobs. because from 24hrs to 7 days a week at every time people where always in the pubs consuming alcohol. if not for the respect of statistics and the heavy population of Nigeria, Uganda would have easily become the Drunkest nation in Africa by a million Miles. A fun country to visit for alcohol aficionados. strongly remains 2nd in the 10 Biggest alcohol drinking countries in Africa.


1. Nigeria – 12.28 liters/year
No. 1 in Africa for alcohol consumption by the virtue of population which technically results in higher volume and liters consumed per year. Beer makes up just 16% of alcohol consumption in Nigeria, while “other” drinks make up 84% due to the high popularity of home-brewed beverages. Religious lawmakers are making it more difficult and expensive to produce and sell alcohol in the country. Known as Nigeria’s home brew, “ogogoro” is an extremely alcoholic drink .


It has 30%-to-60% ethyl alcohol content, depending on how it’s made, and is produced from the juice of raffia palm trees, also some Nigerians also have the famous palm wine especially in the east of the country, palm win is simply the natural alcohol and is also found in other parts of west and central Africa.
So that is the 1O Biggest Alcohol Drinking Countries In Africa you can also contribute your own opinion about the list.

BREAKNG NEWZZZ....WEMA SEPETU ASHINDWA UBUNGE WA VITI MAALUMU KUPITIA MKOA WA SINGIDA KWA TIKETI YA CCM

$
0
0
http://4.bp.blogspot.com/-ybUcbbAJifo/VYEOxIM0gMI/AAAAAAAASWY/WT6jdqAjyis/s640/11352050_439601742887061_1959096012_n.jpgWEMA SEPETU ASHINDWA UBUNGE WA VITI MAALUMU KUPITIA MKOA WA SINGIDA KWA TIKETI YA CCM BAADA YA KURA ZAKE KUTO TOSHELEZA ,KATIKA UCHAGUZI ULIO FANYIKA LEO HII
KULIKUWA NA TAKRIBANI WAGOMBEA 11 AMBAPO KULIKUWA NA NAFASI 2 TU KUTOKA KATIKA MKOA HUO,

Mgawanyo wa kura uko hivi

1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3. Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)

RAIS GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA DR. SALEM ABDULLA ALIPOAGANA NA MARAIS NA MAWAZIRI WA NCHI 20 ZA DUNIA LEO ASUBUHI ZANZIBAR LIVE!

$
0
0
 Mkutano huu ulihudhuriwa  na nchi 20.na mabalozi.marais.wabunge. viongozi wa dini mbali mbali.
 Dr. Salem Abdulla rais wa Global Peace Foundation Tanzania leo asubuhi baada ya kukifunga rasmi kikao cha semina kilichofanyika Zanzibar kilichowakutanisha Marais wa sasa na wa zamani wa Nchi kadhaa za KiAfrika na pia Viongozi wa Dini.
 
      semina ilihudhuriwa kwa muda mchache na mgombea Urais mteule wa CCM Dr. Magufuli ambaye alipitia hapo kumuona rafiki yake wa karibu sana Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Bw. Raila Odinga
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live