Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

MSANII WA BONGO MOVIE ANAYE TAMANI KUIGIZA MOVIES ZA NUSU UTUPU, TAZAMA HAPA

$
0
0

 

Mrembo na mkali wa Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuigiza nusu utupu kwa sinema za nje ya nchi. Akipiga stori mbili-tatu na kona hii, Batuli alisema kuwa muvi nyingi Bongo huwa zinafungiwa kwa kukosa
maadili na kwamba kama ikitokea nafasi akaitwa nje ya nchi kuigiza sini hizo, atakuwa tayari.



“Zamani nilikuwa nikiogopa kuigiza nusu utupWenzetu Nigeria wameendelea na ndiyo maana wanaigiza hata nusu utupu, kama itatokea nafasi ya kuigiza huko (nje ya Bongo) nusu utupu, nipo tayari,” alisema Batuli.

DUNIA IMEOZA HEBU JIONEE LAANA HII

WASICHANA WA AINA HII NI HATARI SANA KUWA NAO KIMAPENZI

$
0
0
Hakikisha unawakwepa aina hii ya wanawake ili usijiingize kwenye matatizo. Nitakwambia ni kwa nini…..
1.Demu wako wa zamani 

Ni vizuri kutorudia mahusiano ya zamani na zaidi kama kwenye mahusiano yenu ya mwanzo mambo hayakuishia kwa uzuri. Sababu kuu ya msingi, kiukweli ni kwamba hakikamwanzoni mlikuwa hamuendani na ndio sababu ya
iliyopelekea kuvunjika kwa mahusiano yenu, ndani ya hizo sababu kuna vitu vilivyopolekea kutokea kwa hayo, ukichunguza na kuziangalia kwa makini utagundua ni za asili na ambazo si rahisi kwa mmoja wenu kuzibadilisha sababu ni vitu au mambo ambayo yatakuwa ni ya damuni.  

JIONEE MADENTI WAKIJIACHIA LIVEEE

$
0
0
 
The way Some University students party... its like tomorrow will never come... I came across their Facebook group and i was like damn! is this ....!!?? see fi yo self...

























P

SAHAU KUHUSU WOTE UNAOWAJUA WA HAPA BONGO>>>MMASAI HUYU NI ZAIDI YA WOTE

KAULI YA KWANZA YA CCM MARA BAADA YA LOWASSA KUHAMIA CHADEMA

$
0
0
  Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli saa chache zilizopita alitangaza Rasmi Kukihama  Chama Cha Mapinduzi na Kujiunga na Chadema kwa Kile alichokiita ni mizengwe Ndani ya CCM na
Kuandaliwa Mizengwe,Mara baada ya Lowasa kutimka CCM Watoa Kauli nzito kupitia Kurasa zake za Mitandaoni 
   

MREMBO ANAYETIKISA MITANDAO YA KIJAMII BONGO KWA SASA NI BALAA

HATIMAYE WEMA SEPETU AMJIBU DAIMOND PLATINUMS

$
0
0
Wema Sepetu baada ya kushindwa kura za maoni na kuambulia kura 90 dhidi ya wapinzani wake .Jana mapema Wema Sepetu aliwasili kutokea Dodoma na kupokelewa na umati mkubwa watu na msafara hadi nyumbi kwoa Sizna .Baada ya kufika aliweza kutoa shukrani zake na maneno yake ya hekima, .Kilichokuja kuibuka ni kwamba ilikuwa kama anarusha dongo kwa timu pinzani yani Team Zari na Team Daimond.



”Wanasema watanyoka watanyooka wao, sasa naomba niulize tumewanyoosha au mwanetunyoosha ?

MTANGAZAJI MREMBO ZAIDI HUKO KENYA

AJALI MBAYA YAUWA WANNE KAGERA

$
0
0
Taswira baada ya ajali hiyo.
WATU wanne wanasadikiwa kupoteza maisha baada ya Basi la Kampuni ya Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Karagwe na Mwanza kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser iliyokuwa imebeba masista ikitokea Bukoba Mjini kuelekea Mutukura.
Miili baada ya ajali hiyo.
Ajali hiyo imetokea leo Jumanne katika Kata ya Bugorora, Wilaya ya Bukoba Vijijini mkoani Kagera.

WAKATI WABUNGE WENGINE WAKIZOMEWA MAJIMBONI MWAO MBUNGE MOROGORO AWA GUMZO JIMBONI KWAKE

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Morogror Mjini Mh Aziz Abood akiwa jukwani Pamoja na Mashabiki katika Uwanja wa Jamuhuri Mkoani Morogoro Kushuhudia Mechi ya Kirafiki kati ya Mbeya City na Mtibwa Sugar.Wakazi wa Jimbo hili wamekuwa wakimuunga Mkono Mbunge Huyu katika Harakati zake za Kurudi Bungeni.
    

Mama Mmoja kutoka jimbo la Morogoro Mjini akimchangia Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini katika harakati zake za Kuomba Uteuzi wa Kupeperusha Bendera ya CCM Jimbo la Morogoro Mjini Katika Uchaguzi Mkuu wa Rais ,Wabunge na Madiwani Utakaofanyika Mwezi October Mwaka Huu
Wakina Mama hawa nao hawakuwa NyumA Kumchangia Mbunge Huyo 
Aziz Abood Akipiga Mpira wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye Mechi ya Kirafiki kati ya Mtibwa Sugar na Mbeya City

BREAKING NEWZZZ : DR SLAA ,MNYIKA NA LISSU HAWAMTAKI LOWASA ..WAJIANDAA KUHAMA CHADEMA KWENDA ACT..WAGOMA KUHUDHURIA MKUTANO WA JANA

$
0
0
TETESI ZILIZO ENEA KWA WINGI NA HUENDA ZIKAWA KWELI NI KUHUSIANAN NA LISSU,SLAA,NA MNYIKA KUTO HUDHURIA SHUGHULI YA KUMKARIBISHA LOWASA KUJIUNGA NA CHAMA CHA CHADEMA KUTOKEA CCM HAPO JANA
..YASEMEKANA HAWA VIONGOZI WATATU WAKIWEPO NA WANACHAMA WENGINE HAWAKUBALIANI NA KITENDO CHA LOWASA KUJIUNGA NA CHADEMA .HIVYO WANAJIANDAA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU KWANI KUBAKI CHADEMA NI KAMA KULA MATAPISHI YAO WENYEWE WALIVYO KUWA WAKIMTUHUMU LOWASA ALAFU LEO HII WAKIMSIFIA   

MBUNGE WA CHALINZE CCM RIDHIWANI KIKWETE NAYE AFUNGUKA LIVE ONA HAPA!!

$
0
0
  


"Nimewamiss sana Familia Yangu.tuombeane Mungu."

MAGUFULI AMTUPIA KOMBORA LOWASSA ,ASEMA SIO SAIZI YAKE

$
0
0
Hiki ndicho alichosema Dk.Magufuli baada ya Lowassa kutangaza rasmi kuihama CCM,Asema CCM haitatikisika na itashinda kwa mshindo mkuu zaidi ya 2005,amtakia maisha mema ila kasema sio saizi yake atampwelepweta 

SHUHUDIA PICHA ZA AUNT EZEKIEL AKIWA NA SERENGETI BOY WAKE WAKILA MAISHA ZANZIBAR WATU WAHOFIA WASIJE WAKAMHARIBU MTOTO


KIMENUKA CHADEMA TIZAMA WANAVYOPARANGANYIKA WENYEWE KWA WENYEWE KUHUSU LOWASA LIVE!!

$
0
0
The fact that Dr. Wilbord Slaa, John Mnyika and Tundu Lissu did not show up on yesterday Lowassa-Ukawa press conference is very crucial… I mean there must be something going on behind the curtains, let’s just wait and see!

KUMEKUCHA: Siasa ni tamuu! Nasikia Dr Wilbroad Slaa amekataa katakata kukubaliana na maamuzi ya kumleta Lowassa Sijui ni kweli Au?!

Anasema bora akae bila Chama kuliko kukaa chama kimoja na Lowassa. Na inaonesha anaungwa Mkono na Lissu, Mnyika na wengine wengi. Utakuwa mchezo wa kupishana huyu anatoka huyo anaingia! Ngoja tusubirie tuone mwisho wake
:

THE MAGAZETI YA BONGO LEO WEDNESDAY /JUMATANO 29/7/2015 LIVE!!

ANGALIA UJUMBE MZITO ALIOANDIKA LOWASA KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK

LOWASA ADAI ANACHUKIA SANA UMASKINI NDIO MAANA MARAFIKI ZAKE NI MATAJIRI,ATAKA KILA MTU AWE KAMA MENGI AU BAKHRESA

$
0
0
Wakati akitangaza Kujiunga na Chama cha Chedema leo hii mmoja wa waandishi ameuliza swali kwanini yupo karibu sana na matajiri ..Lowassa amejibu swali hilo kwa kusema kuwa anachukia sana umaskini ndio maana yupo karibu nao na nia yake ni kufanya watanzania wote wawe matajiri kama kina Mengi na Bhakresa

SUPER STAR LULU NA KIBONDE NI MWACHE MWACHE UKARIBU WAO WAWAPA WATU MASWALI SIRI NZITO YAVUJA JIONEE

Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>