↧
KIGOGO WA CMM ATUA CHADEMA LEO..
↧
EDWARD LOWASA AHAMA NA VYOMBO VYAKE.
↧
↧
IMPERIAL SOLUTIONS LIMITED NDIO HABARI YA MJINI WAONE HAPA LIVE!!
↧
BREAKING NEWS: WAZEE CHADEMA WAMALIZA MGOGORO KATI YA DR SLAA NA CHAMA
Taarifa za awali zilizotifikia chumba chetu cha habari zinaarifu ya kuwa wazee wa CHADEMA wamekutana na kuzungumzo katibu wa chama Dr Wilbroad Slaa nyumbani kwake kuhusu sintofahamu iliyojitokeza ambapo huenda Dr Slaa
atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Picha na taarifa zaidi zitafuata kadri tutakavyozipata, endelea kufuatilia hapa hapa
Hapo juu ni picha ya Dr Slaa na wazee wa chama hicho!
↧
BREAKIN NEWZZ!!:- VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OLEMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!!
![]() |
Mkutano Mkuu wa Chadema/UKAWA sasa hivi Mliman City live!! |
![]() |
Naibu Waziri wa Kazi Mh. Mahanga |
![]() |
Mbunge wa Arumeru CCM Olemedeyi |
↧
↧
SIO SIRI KWAMBA ALIKUWA ANAAANDALIWA TOKA MAPEMA HUU NI USHAHIDI WA KUTOSHA LIVE!!
↧
LE MUTUZ NATION HANGING OUT WITH MY SUPER FRIEND EFM RADIO BOSS MR. SEBO LIVE AT TRIPPLE 7 CLUB MIKOCHEN!!
↧
LE MUTUZ NATION HANGING OUT AT THE HOME OF MY SUPER BILIONEA FRIEND MZAMIRI KATUNZI MBEZI BEACH LIVE!!
↧
BREAKIN NEWZZ!!:- ONA LE MAFURIKOZ YA MAGUFULI KWENDA KUCHUKUA FOMU YA URAIS SASA HIVI MAKAO MAKUU YA TUME YA UCHAGUZI DOWNTOWN BONGO!! MAGUFULI NI NOMAZZZ!!
↧
↧
TWANGA PEPETA YASHUSHA VYOMBO VIPYA NA ITAFANYA BALAHAAA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 8/7/2015 MANGO GADERN LIVE!!
![]() |
Twanga Pepeta IMECHOSHWA na Masimango ya Uchakavu wa Vyombo Kila Uchao. Asha Baraka Avunja KIBUBU ashusha Sound Mpya kabisa kwenye Makaratasi. Jumamosi Kuzindua vyombo rasmi The Dream Team unayoijua wewe ndani ya Nyumba. Igge Muyaba, Chokoraa na wengine Kibao.... HAPATOSHI. |
↧
LE BIG SHOW HANGING OUT WITH MISS TABATA 2014 & SUPER MODEL RUKIA LIVE AT MY OFFICE + SERENA HOTEL LIVE!
↧
MOKKA CITY CAFFEE AT DOWNTOWN BONGO LE BIG SHOW LIVE AT SUPER LUNCH U KNOW!!
↧
BREAKIN NEWZZZZ!!:- CHADEMA/UKAWA WAMACHAGUA RASMI MGOMBEA WAO WA URAIS 2015 MJUE HAPA LIVE!!
Habari za Hivi Punde!
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA unaoendelea Mlimani City Wamekubaliana Kwa Asilimia 100 Kuwa Ndugu Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wa chama hicho na UKAWA kwa ujumla. Pia umeridhia Ndg Juma Duni Haji kuwa tokea CUF kuwa Mgombea Mwenza akilazimika kuwa na uachama wa CHADEMA kutimiza hitaji la Kikatiba!
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA unaoendelea Mlimani City Wamekubaliana Kwa Asilimia 100 Kuwa Ndugu Edward Lowassa kuwa mgombea Urais wa chama hicho na UKAWA kwa ujumla. Pia umeridhia Ndg Juma Duni Haji kuwa tokea CUF kuwa Mgombea Mwenza akilazimika kuwa na uachama wa CHADEMA kutimiza hitaji la Kikatiba!
↧
↧
MSUMARI WA MWISHO KWENYE JENEZA WA MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA LIVE!!
"Haukuwa uamuzi rahisi.. Kamati Kuu ilifanya utafiti kwa vikao vingi na mashauriano. Tafiti zilituambia kuwa Edward Lowassa akipeperusha bendera ya Chadema/UKAWA,
ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... "- Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA
ndoto ya mabadiliko makubwa nchini itatimia. Kwa Kauli moja, Kamati Kuu iliridhia Edward Lowassa awe mgombea kwa Chadema na baadae tukawauliza wenzetu wa UKAWA kama wanakubali ama kukataa. Wajumbe wote akiwemo Katibu Mkuu Dr W Slaa waliridhia... baadae kuna watu labda wakamshauri vingine... "- Freeman Mbowe.. Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA
↧
BREAKIN NEWZZ!!:- ONA KITIMU TIMU CHA MKUTANO MKUU WA CHADEMA SASA HIVI MLIMAN CITY LIVE!!
![]() |
Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Singida Msindai akikabibdhiwa rasmi kadi ya Chadema sasa hivi live!! |
![]() |
Kati kati Freddy Lowassa mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu Lowasa. |
![]() |
Wachungaji maarufu sana hapa mjini Kakobe kushoto na Gwajima kulia live at Mliman City |
![]() |
Mgombea mwenza wa Urais Bwana Duni, atagombea urais na Lowasa. |
↧
MGOMBEA URAIS WA CCM MAGUFULI AKIONGEA NA WANANCHI BAADA YA KUCHUKUA FOMU YA URAIS LEO LIVE!!
↧
PICHA ZA KWANZA ZA YULE KIJANA ALIYETUKANA MAPOLISI WALIOULIWA KINYAMA SITAKISHARI NA SASA YUPO RUMANDE HIZI HAPA LIVE!!
↧
↧
WAZIRI WA AWAMU YA KWANZA MZEE PETER KISUMO AFARIKI DUNIA!!
↧
MUANDISHI MAARUFU MTATA WA JAMIIFORUMS MWANAKIJIJI AFUNGUKA KUHUSU LOWASA KUHAMIA CHADEMA NA KUKUBALIWA LIVE!!
A Program Note: Tutaweka Hoja Zetu Wazi
Stay Tuned: Tunatarajia kutengeneza njia mahali hapa ambapo panaonekana hakuna njia. Siyo sahihi kuwaachia nchi na hatima ya nchi watu ambao hawakutoa hata tone moja la jasho kupigania mabadiliko ya siasa.
Iweje leo hii baada ya yote ambayo watu wamesimamia wengine kwa damu na wengine hata kwa uhai wao waje watu wavune wasichopanda kwa ahadi kuwa ati na sisi tutakula nao watakachovuna?
Kesho Inshallah, tutaweka hoja zetu wazi ili wao waamue kama wanataka kuungwa mkono nasi au la; hatutaki wao watuwekee masharti ya sisi kuwaunga wao mkono au kutupigisha mikwara ya kwanini tukae kimya ili wao wafanye wanalotaka.
Hatukukaa kimya kwa watawala walioshindwa wa sasa, na hatuwezi kukaa kimya kwa wanaotaka kuwa wa kesho!
MM
NB: Nitajaribu kutoa majibu ya hoja zilizotolewa na baadhi ya watu (ikiwemo ile mada ya Character X) kuhusiana na kuunga mkono hili la Lowassa.
The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com
↧
SALUTE TO THE SON OF THE KING KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI UBUNGE CCM CHALINZE SALUTE!!
↧