Quantcast
Channel: Blogu ya Wananchi
Viewing all 32622 articles
Browse latest View live

USHINDI WA TINGA TINGA WAANZA KUONEKANA MAPEMA.

$
0
0
Mgombea rasmi wa Urais Mhe. John P. Magufuli akiwa na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan akichukua fomu ya kugombea Urais katika ofisi za Tume ya Uchaguzi (NEC).

JOHN MNYIKA NA EDWARD LOWASA LAO MOJA.N

$
0
0
Naibu katibu mkuu bara John Mnyika akipia stori na mgombea urais wa Ukawa kwa tiketi ya Chadema mapema leo.Wengi walikuwa wakihoji kutoonekana kwa naibu katibu huyo kwenye vikao kwa siku za karibuni.

PICHA HIZI DHAZIHIRISHA MH MAGUFULI NI KIPENZI CHA RAIS KIKWETE.

HUYU NDIO MGOMBEA MWENZA WA EDWARD LOWASA.

$
0
0
DUNI HAJI MGOMBEA MWENZA WA EDWARD LOWASA ALIYEVULIWA UWANA CHAMA WA CUF NA KUPEWA WA CHADEMA ILI KUKIDHI MATAKWA YA KATIBA.INGAWA JINA LAKE NI UTATA DUNI HAJI JE NI DUNI KWELI?

KIPANYA TAFAKARI YA LEO.

PICHA ZA USHINDI WA KISHINDO WA SUPER MOGUL DAVIS MOSHA KURA ZA MAONI CCM UBUNGE WA MOSHI MJINI LIVE!!

$
0
0

Mh. Davis Mosha akitete jambo na Hendrew Mpiganaji ngumi za kulipwa wa zamani nje ya ofisi za CCM Wilaya ya Moshi mjini
Davis Mosha akiwa na wananchi wa wilaya ya Moshi Mjini
Davis Mosha akiwa na Kamanda wa Vijana Wilaya ya Moshi Mjini na Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM ndugu Agrey Marealle, Nje ya Ofisi ya CCM Wilaya ya Moshi

Mh. Davis Mosha akiwa na wanachama wa ccm baada ya majumuisho ya matokeo ya awali kutoka kwa mawakala wa vituo kuonesha ameshinda kwa kishindo.



Waendesha pikipiki wakifurahia ushindi wa Mh. Davis Mosha
Mh. Davis mosha akizungumza na wanachama waliokuja nje ya nyumba yake kumpongeza.


Mh. Davis mosha hakusita kuonesha furaha yake kwa wapiga kura wake

Marafiki na wafanyaiashara Hawakua nyuma kuhakikisha Jimbo linakombolewa.


Furaha inapozidi unashindwa kuzungumza na kubaki na zawadi ya Tabasamu.
"Nawashukuru sana tuendelee na umoja wetuu"
Mh. Davis Mosha akiingia katika Tafrija ya Fmilia ya Mama Anna Mkapa aliyoalikwa kwa heshima. Pembeni ni William Malecela (Le Mutuz)
Mh. Rais Mstaafu ndugu Benjamin Wiliam Mkapa akimpa mkono wa Pongezi Mh. Davis Mosha
"Hongera sana"
Mama Anna Mkapa akimpongeza Mh. Devis Mosha
Mh. Davis Mosha akiingia katika ofisi ya ccm wilaya ya Moshi Mjni
Mh. Davis Mosha akikumbatiwa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya ccm Bi. elizabeth Minde



Kamanda wa vijana ccm wilaya ya Moshi Mjini Mh. Agrey Marealle akiingia katika ofisi za ccm Wilaya ya Moshi mjini


Wanachama wa ccm wakiwa nje ya ofisi ya cm wilaya ya Moshi mjini
Wagombea wakiwa katika kikao cha majumuisho ya matokeo

Wanachama na wanahabari wakisubiri matokeo kwa hamu

Matokeo ya kura za maoni yakisomwa nje ya ofisi ya ccm



Wanachama wa ccm wakishangilia baada ya matokeo kutangazwa


Mmoja wa wagombea ndugu Priscus tarimo akimpongeza Davis Mosha baada ya kutangazwa kwa matokeo.


Haya ndiyo matokeo rasmi ya kura za maoni




Wanachama wakishangilia huku wakitembea na Mh. Davis Mosha

Mh. Davis Mosha akiwa katika Maandamano na wanachama wa ccm

Furaha inapozidi hata chini nitalala

Kilometa zaidi ya sitini bila kuchoka

Kila alipopita hakuchoka kusimama na kushukuru wanachama waliomchagua


Mh. Davis Mosha akizungumza na wanachama wa kata ya njoro
Furaha imepitilizaa

Mh. Davis Mosha akiongea na wanachama wa ccm baada ya kutembea zaidi ya kilometa 60 na kumalizia kata ya kiboriloni.

PETER MSIGWA NI NGUMU KURUDI BUNGENI KWA MWENDO HUU WA MWAKALEBELA KUPITA IRINGA MJINI

$
0
0
MKUU wa wilaya ya Wanging’ombe, Frederick Mwakalebela ameibuka kidedea katika kura za maoni za kutafuta kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Iringa Mjini kwa kuwabwaga vibaya washindani wenzake 12. (Picha na Friday Simbaya)
Iringa: ZOEZI la kuhesabu kura za kuwania ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kwa majimbo matatu limeendelea vizuri.



Jimbo la Iringa Mjini.


Jimbo la Iringa mjini lilikuwa na wagombea 13 ambao ni Fredrick
Mwakalebela ameshinda kwa kura 40388, Jesca Msambatavangu 2077, Yahaya Msigwa 1097, Augustine Mahiga 745, Mahamood Madenge 423, Addo Mwasongwe ,259, Nuru Hepautwa 191, Frank Kibiki 183, Maiko Mlowe 183, Fales Kibasa171, Kiponda Stephen 135 Mwanilwa Joseph 79 na Adelino Gwilino 66. Jumla ya kura z zilikuwa 10,216 ,zilizoharibika 220 kura halali 9997.




Jimbo la kalenga
Wagombea ubunge Kwenye Jimbo la kalenga walikuwa watano ambao ni Abbas Kandoro alipata kura 674, Jackson Kiswaga kura 3,439, Brayson Kibasa kura 289, George Mlawa kuwa 301, na Geofrey Mgimwa kura 15550. Jumla zilikuwa kura 22,253 na zilizoharibika zilikuwa kura 32.



Jimbo la Ismani
Mbunge wa jimbo la Ismani Willium Lukuvi kwenye kura za maoni alipata kura 10,799, Festo Kiswaga 1237, Hamis Maliga 323,Eliasa Kazikuboma 62, Kiyoyo Antony Sebastian 155, Jumla ya kura zilikuwa 12,560 zilizoharibika zilikuwa kura 42.


Akizungumza katibu wilaya ya Iringa Elisha Mwampashi alisema aliwataka wagombea hao kuwa wamoja kwa ajili ya kukijenga chama huku akisema wagombea hao wasiwabeze wenzake ambao kura hazikutosha kwa sababu bado safari ndefu chama kitaenda kuchuja na kuleta jina la atakaye peperusha bendera ya chama cha mapinduzi jimbo la Iringa amjini.


Naye Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa Mjini Abeid Kiponza
aliwatakawagombea hao kuacha makundi ndani ya chama ili kuweza kumtafuta mgombea aliye safi.


“Safari hii imeanza tulishapata mgombea urais sasa ni kwenu wabunge na madiwani sitaki kusikia makundi ndani ya chama cha mapinduzi nitakayemsikia anaanzisha kundi nitahakikisha kanuni za chama zitafuatwa juu yake.”alisema Kiponza.

Akizungumza kwa niaba ya wagombea wote wa jimbo la iringa mjini Addo Mwasongwe alisema kuwa maendeleo ya Iringa yanajengwa na wanairinga wenyewe, hata kama hutapata kuleta maendeleo kwa njia ya ubunge tafuta nafasi nyingine utawaletea maendeleo endapo wataungana na kuwa kitu kimoja pasipo kuwa na majungu ndani ya chama

EDWARD LOWASSA AFUNGUKA KILICHOMPELEKA UKAWA!!

$
0
0
Lowassa: Nataka nichukue fursa hii kuwapongeza wale wenzangu waliojiunga nami, maamuzi magumu lazima yafanyike.
Lowassa: Watanzania wajue katika muungano huu tuna nguvu kubwa, nguvu ya kuweza kuchukua dola asubuhi oktoba 25.
Lowassa: Marafiki zangu na ndugu zangu mlioko Z'bar nawaambia hadharani kwamba nimejiunga na mtu ambaye havunji muungano
Lowassa: Kwa watu ambao wamehangaika juu ya nchi hii ni
viongozi wa dini, Gwajima, Kakobe na wengine asanteni sana.
Lowassa: CHADEMA 'I came to join you for a reason; , kuwaondoa CCM madarakani
Lowassa: Nataka kuwahaidi kuwa nitapita kila jimbo la nchi hii, kwahiyo unapoondoka hapa kajiandae katika jimbo lako.
Lowassa: Niliwahi kuwaambia waandishi wa habari kwamba sina msamiati wa kushindwa
Lowassa: Mchaka mchaka .....chinja... Aluta continue ..Nawashukuruni sana kwa kunisikiliza. Tutakutana kwenye majimbo
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond

ZAHARA LIYESHINDWA NA IRENE UWOYA KURA ZA MAONI ANENA MAZITO YA KUVUTIA,MSIKIE HAPA

$
0
0
Baada ya kura kutotosha kumfanya apite katika kura za maoni kugombea Ubunge kwa viti vya Vijana mkoani Tabora, Zahara Muhidin Issa Michuzi (pichani) amepokea matokeo kwa moyo mkunjufu na kumpongeza mshindi Irene Uwoya na kumuahidi ushirikiano katika mambo yote mema ya kuendeleza vijana mkoani humo. 
Zahara ambaye sasa ataelekeza nguvu zake katika kusaka digrii ya pili ya uchumi, amesema kwamba anawashukuru wajumbe wa mkutano wa uchaguzi, baba yake, mama walezi, kaka Mkala Fundikira wa Tanzania Bloggers Network (TBN) kanda ya Magharibi na wana TBN wote wa ndani na nje ya nchi akiwemo kaka Jeff Msangi wa Canada na Mubelwa Bandio na DJ Luke wa Marekani, wanahabari wote wa makundi ya Whatsapp chini ya Francis Godwin na walimu wake pamoja na wananchi wote kwa ujumla kwa kumpa heshima ya kumuunga mkono kwa kujitokeza kujaribu kuomba nafasi hiyo.(VICTOR) 

Amesema kushindwa kwake hakumaanishi lolote zaidi ya kwamba demokrasia imechukua mkondo wake na aliyehitajika kuendeleza mapambano amepita na yeye hana kinyongo naye na ataendelea kuutumikia mkoa wa Tabora katika nafasi yake ya mtu ambaye si kiongozi. 
Zahara ametoa mwito kwa wagombea wa nafasi zote kwamba kushindwa ni moja ya matokeo katika ushindani wowote hivyo ipo haja ya kujenga utamaduni wa kukubali matokeo bila ya hasira ama kinyongo kwani dunia i duara, na kwamba mlango mmoja ukifungwa kuna mwingine utafunguka. 
Amesema hana mpango wa kuhama CCM ambayo anaiamini kuwa ni chama ambacho kitaenzi na kutunza hadhi na mustakabali wa Taifa la Tanzania kuliko chama chochote. 
“Kushindwa kwangu kupata kura za kutosha sio mwisho wa dunia. Nina imani kwamba wapiga kura walijua wanachokifanya. Mimi ni nani kuwaoneshea kidole? Maisha yaendelee kama kawaida na Mola awajaalie wote kwa yote” alisema.

BREAKING NEWZZ:UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!

$
0
0
Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais 
Profesa Nguyulu Ibrahim Haruna Lipumba (CUF) - Makamu 
Freeman Aikaeli Mbowe (Chadema) - Mambo ya Nje

BAADA YA RAIS JK KUSEMA WAPINZANI WATAISOMA NAMBA, LOWASSA NA YEYE AKAJIBU NA KUIPA UKAWA JEURI, ONA ALICHOJIBU LOWASSA HAPA

$
0
0

Dar es Salaam.Sasa ni rasmi, waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema. Mwanasiasa huyo mkongwe na ambaye amekuwa gumzo ndani ya CCM, alikitosa chama hicho na kujiunga na upinzani.
Baada ya kujiunga na Chadema, alichukua fomu za kugombea urais na kudhaminiwa na wanachama wapatao 1.6 milioni. Jana alitambulishwa na kupitishwa rasmi na Mkutano Mkuu wa Chadema pamoja na mgombea wake mwenza, Juma Duni Haji. 

BREAKING NEWZZZ...PROF. LIPUMBA AJIANDAA KUJIONDOA CUF NA KUUNGANA NA DR.SLAA....SABABU NI LOWASA

$
0
0

Kutoka CUF Buguruni: Kikao na waandishi chaahirishwa, Lipumba ana kikao na wazeeLeo mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba ameita waandishi wa habari makao makuu ya chama hicho, Buguruni Dar es Salaam. Tuwe pamoja kujulishana kitachojiri makuu ya chama, Buguruni baada ya muda si mrefu.
Sakaya: Majadiliano yamechukua muda mrefu kuliko tulivyodhani, tunaomba radhi kwa kuchelewa na tunaahirisha press conference ya leo.
Kuna majadiliano kati ya wazee na mwenyekiti wa chama na yakikamilika na ikaonekana bado kuna haja ya kuwaita waandishi, mtaitwa. 

WAKATI SINTOFAHAMU YA DR. SLAA IKIENDELEA KUITAFUNA UKAWA MMMH ZITTO KABWE NAYE APIGILIA MSUMALI WA MOTO

LE MUTUZ NATION HANGING OUT WITH MY PEOPLE AT DOWNTOWN BONGO LE TAMBALALEZZZZZ LIVE!!

LE MUTUZ NATION HANGING OUT WITH BONGO CELEBRITIES LIVE AT DOWNTOWN BONGO!!


BAADA YA USHINDI WA KURA ZA MAONI CCM MOSHI MJINI NOW NI MATAYARISHO YA KUMALIZIA STUDIO ZA RADIO NA TV STATION YA "NEW AFRICAN SWAHILI MEDIA" WITH SUPER BILIONEA DAVIS MOSHA LIVE!!

$
0
0
Le Mutuz Nation last night working the phones with Super Mogul Bilionea Davis Mosha, Mshindi wa kura za Maoni Moshi Mjini CCM live at Kempisk Hyatt Hotel
on matayarisho ya ufunguzi wa Radio na TV mpya ya African Swahili Media LTD, ambayo inategemea kuanza kurusha matangazo yake katika miezi miwili ijayo hapa mjini Dar.




LE BIG SHOW HANGING OUT AT KEMPISK HYATT HOTEL RELAXATIONS U KNOW WITH SU[PER STAR ACTRESS SHAMSA FORD LIVE!!

MH MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE WAKIPANGA MIKAKATI YA USHINDI WA CCM NA WEMA SEPETU

THE KING OF ALL BONGO SOCIAL MEDIA NETWORK SASA KUOA KARIBUNI SANA SUPER MODEL FROM KENYA HUYU HAPA LIVE!!

$
0
0
The King of All Bongo Social Media Network live anasema now he is ready to marry a Kenyan Super Model Melina.

Super Model Melina live from Kenya









BLOGU YA WANANCHI MEDIA COMPANY LTD. HATIMAYE TUMEINGIA MKATABA MPYA WA KUITANGAZA M-BET YA SPAIN KWA MIAKA 5 IJAYO MKTABA HUU UMEANZA RASMI LEO!!

$
0
0

Le Mutuz Nation I am super humbled kuingia mkataba mpya wa kuitangaza Kampuni ya Mbet ya Spain baada ya kuingia nao mkataba wa Miaka 5 na kazi yao imeanza rasmi leo na wiki hii pia ninategemea kupata mikataba ya matangazo ya Makampuni 2 makubwa moja ya TV na nyingine ya mtandao, nawashukuru sana my fans I mean you the viewers kwa kupitia this blog kila siku. As now ninajitayarisha kuingia kwenye area mpya ya Radio na TV ninamshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kuanzisha this blog Mwaka 2012 ambayo sasa ni Kampuni inayotoa ajira kwa Vijana kama 5 na ni system working on itself hata bila mimi mwenyewe kuwepo. Kwa mfano the last I was here ilikuwa two weeks ago but the system works. Najua kuwa sisi binadam tuna mapungufu kama mlivyo wasomaji, but I am determined to make sure this Blog stay strong, tumetoa ajira na sasa tuna ofisi yetu here at at TANCOT HOUSE 2ND FLOOR downtown Posta Mpya, soon nategemea kuanza kufungua vituo vya this Blog Mikoa yote ya Tanzania. Sio lazima kuajiriwa sometimes tunahitaji kutumia akili kidogo tu kwamba Online business ndio the way to siku hizi leo this blog inapitiwa na Viewers 75,000 per day imagine gazeti linalouza kwa wingi hapa mjini linauza copy 35,000 tu! now kama una tangazo la biashara unataka kulipeleka wapi? Kwenye Social Media where you get smart Consumers au Magazetini ambayo hayafiki Tanzania nzima kulinganisha na sisi Blog tunaopatikana Tanzania nzima kwa njia hata ya simu za kisasa smart phone? Kama ni Marketer think about that!! Again nawashukuru sana people this thing the Blog is here to stay na it works cause it is working now na again thank you my super viewers love U all!! - Le Mutuz Nation 




Viewing all 32622 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>